Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
Dr.WP Slaa ni rais wa mioyo ya watanzania sasa na mpaka 2015.....Ee Mola wetu mlinde rais huyu umpe afya njema atufikishe kwenye nchi ya ahadi.
Unamaana Babaaaa Junior?
Dr.WP Slaa ni rais wa mioyo ya watanzania sasa na mpaka 2015.....Ee Mola wetu mlinde rais huyu umpe afya njema atufikishe kwenye nchi ya ahadi.
Ni rais wa familia yako inayoish kifisadyeees u are right . tusiwe wanafiki wakati ukweli tunaujua RAIS EDWARD LOWASA ATAANZA KUTEMBELEA KINGORA RESMI 01/01/2016
Bila shaka maana ZZK kisha jichanganya mwenyewe - I had so much hope kwake.. Mzee wangu Dr.Slaa kesha pakwa vya kutosha na uzee unamkabiri vibaya sana miaka 10 mingine sidhani kama ataiweza, ukweli lazima tuuseme. Hivyo basi kama sio Kitila basi Tundu Lissu hawa wanaweza isipokuwa SERA za CDM lazima ziwe wazi kujibu maswali magumu..
Huyo Messi kwenu huko Ulaya na Afrika huko South Amerika ni mchezaji kama Sunday Juma tu anasimamishwa kama hayupo Uwanjani. Anaogopwa zaidi ni Falcao wa Athretico Madrid..Hata hivyo Dr.Slaa umri unampiga bao sidhani kama anazo nguvu za kuongoza kwa miaka 10 bora akiwa mwenyekiti Mbowe ampishe katibu wake, CDM ikishinda atakuwa waziri mkuu...piga kura yako hapo juu acha kulalamika.slaa kifaaaaaaa kama messi
karibu cdm
Tuwe wakweli jamani, hivi CUF na Chadema ni chama gani kinaonekana cha kidini zaidi. Cuf mikutano yake waislam watupu, viongozi wake na wanachama wake waislam watupu, chadema ni cha kitaifa zaidi. Mimi kura yangu no kwa Dr wa ukweli
atolewe lipumba ili wabaki mfumo kristo pekee sio? Yaani mkatoliki na mluteri sio? Muislamu hafai kwa kuwa ni mdini au sio? Haleluyaaaa!!
Mkuu jibu ni CUF tena dini ya Kina Ponda na FaridTuwe wakweli jamani, hivi CUF na Chadema ni chama gani kinaonekana cha kidini zaidi. Cuf mikutano yake waislam watupu, viongozi wake na wanachama wake waislam watupu, chadema ni cha kitaifa zaidi. Mimi kura yangu no kwa Dr wa ukweli
Masikini ya Mungu umeshakuwa mtumwa wa Udiniccm na cdm wanabadilisha wagombea wao kwenye chaguzi..nyie cuf toka mfumo wa vyama vingi uanze ni lipumba huyo huyo inamaanisha katika cuf msomi ni mmoja tu lipumba? hakuna waislam wengine ambao wanaweza kugombani urais zaidi ya lipumba? kama hamna basi nendeni darasani msome mpate elimu ya uongozi mje mgombanie madaraka kwenye chama chenu..hatuwezi mchagua lipumba na cuf hata siku mbili....ni bora nchi isitawalike kuliko kuwaweka magaidi madarakani
uwe unajitahidi ku'type vizuri jina la mheshimiwa rais.Dr Wilroad Peter Slaa
tunahitaji rais wa kutuongoza miezi 6 tu, kwa miezi 6 nchi inabadilika na mfumo mzima unabadilika. hatuhitaji rais wa kuuza sura na rasilimali zetu kwa miaka 10.Huyo Messi kwenu huko Ulaya na Afrika huko South Amerika ni mchezaji kama Sunday Juma tu anasimamishwa kama hayupo Uwanjani. Anaogopwa zaidi ni Falcao wa Athretico Madrid..Hata hivyo Dr.Slaa umri unampiga bao sidhani kama anazo nguvu za kuongoza kwa miaka 10 bora akiwa mwenyekiti Mbowe ampishe katibu wake, CDM ikishinda atakuwa waziri mkuu...
Usiwe msemaji wa Watanzania wote.. Mi mwenyewe Mtanzania na sina mpango wa kuja kumpa kura au Watanzania gani unaowazungumzia?