Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,983
- 22,173
SOMO KUU MSAMAHA
WENGI WAMESHINDWA KUELEWA UMUHIMU WA KUKIRI NA KUOMBA MSAMAHA.BINAFSI NAOMBA NIKUJULISHE SIO TU NI MALAIKA BALI TUNAKOSEAGA LAKINI TUMEPEWA UFAHAMU WA KUWAHI KUJUA UMEKOSEA WAPI NA KUOMBA MSAMAHA
NENO HILI NI GUMU SANA KWA WENGI NA WENGI WAMEONDOKEWA NA WENZA WAO KWA KUKOSA UVUMILIVU LAKINI
NAAMINI LAITI WANGEKUWA NA MUUJIZA WA MSAMAHA HAKIKA LEO HII WANEGEKUWA WANAKULA NA KUFAIDI PEPO YA NDOA
Hakuna ndoa isiyokuwa na mikwaruzano ukitaka kujua hili angalia kama umezaliwa na dada ama kaka yako mliotoka tumbo moja umeona mnavyokurwazuna na baadae kuja kuombana msamaha hata kama ni mwezi..je sembuse huyu alietoka kilosa
..ikwiririi,,,mchambakwimba zanzibar,ama kishumundu ambae amekuja dar kwa ajili yako Mungu akakuonyesha ukaanza na ushuhuda wa ametoka kwa bwana AMEN sasa iweje leo umeshindwa kummudu unakimbilia oohh siyawezi umeshindwa wewe nani atauweza mzigo wako
Wakati mkifikiria kuachana jiulizeni hivi mnavyoachana nani ataweza kukaa na mimi..na je mjiulize sababu halisi zilizofanya muwachane je mnaoenda kuwa nao wataziweza kuzibeba..mi nasema hivi kwa nia njema kabla ya kusema naomba msamaha
akikisha umejua tatizo lako nini na wapi pa kujirekebisha..
vinginevyo kuna wanaoshindwa kuvumilia mwisho wasiku wanakuhesabia msamaha na kudai hata yesu alisema mara 7 sabini wew umefikisha 491 badala ya 490 sasa nimechoka na liwalo na liwe ikifika hili mpwa na kama kweli umekuwa unaomba msamaha hilo salaba analitatua malaika gabriel pekeyake
Mwisho jifunze kuomba msamaha neno hili hata makazini linasaidia sana wacha kwenye maisha ya ndoa ukiwa na ufahamu akika shetwani atoweza kukuvuzia nakutakia
JUMAPILI NJEMA
WENGI WAMESHINDWA KUELEWA UMUHIMU WA KUKIRI NA KUOMBA MSAMAHA.BINAFSI NAOMBA NIKUJULISHE SIO TU NI MALAIKA BALI TUNAKOSEAGA LAKINI TUMEPEWA UFAHAMU WA KUWAHI KUJUA UMEKOSEA WAPI NA KUOMBA MSAMAHA
NENO HILI NI GUMU SANA KWA WENGI NA WENGI WAMEONDOKEWA NA WENZA WAO KWA KUKOSA UVUMILIVU LAKINI
NAAMINI LAITI WANGEKUWA NA MUUJIZA WA MSAMAHA HAKIKA LEO HII WANEGEKUWA WANAKULA NA KUFAIDI PEPO YA NDOA
Hakuna ndoa isiyokuwa na mikwaruzano ukitaka kujua hili angalia kama umezaliwa na dada ama kaka yako mliotoka tumbo moja umeona mnavyokurwazuna na baadae kuja kuombana msamaha hata kama ni mwezi..je sembuse huyu alietoka kilosa
..ikwiririi,,,mchambakwimba zanzibar,ama kishumundu ambae amekuja dar kwa ajili yako Mungu akakuonyesha ukaanza na ushuhuda wa ametoka kwa bwana AMEN sasa iweje leo umeshindwa kummudu unakimbilia oohh siyawezi umeshindwa wewe nani atauweza mzigo wako
Wakati mkifikiria kuachana jiulizeni hivi mnavyoachana nani ataweza kukaa na mimi..na je mjiulize sababu halisi zilizofanya muwachane je mnaoenda kuwa nao wataziweza kuzibeba..mi nasema hivi kwa nia njema kabla ya kusema naomba msamaha
akikisha umejua tatizo lako nini na wapi pa kujirekebisha..
vinginevyo kuna wanaoshindwa kuvumilia mwisho wasiku wanakuhesabia msamaha na kudai hata yesu alisema mara 7 sabini wew umefikisha 491 badala ya 490 sasa nimechoka na liwalo na liwe ikifika hili mpwa na kama kweli umekuwa unaomba msamaha hilo salaba analitatua malaika gabriel pekeyake
Mwisho jifunze kuomba msamaha neno hili hata makazini linasaidia sana wacha kwenye maisha ya ndoa ukiwa na ufahamu akika shetwani atoweza kukuvuzia nakutakia
JUMAPILI NJEMA