Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,422
Heheheh...kweli katufunga alafu kakimbia!!Hahahahahahahah lol! Lizzy, BOSS hapa katufunga kamba ...mimi siamini kama kuna kitu kama hiki kinachofanywa na Wayahudi lol!
Heheheh...kweli katufunga alafu kakimbia!!Hahahahahahahah lol! Lizzy, BOSS hapa katufunga kamba ...mimi siamini kama kuna kitu kama hiki kinachofanywa na Wayahudi lol!
Kuna mtu hata alale vipi ananguruma tu! sometimes ananguruma hata akiwa macho! hapo hakuna ujanja ni operation tu. Ila niliona kuna watu wanaweka ka plaster across the nose ao anavaa nose plug. It is so cheap and so efficient, kama unaweza mconvince mpenzi wako kuitumia.Aaamke amshike kichwa chake taratibu na kumlaza vizuri katika style ambayo haiblock njia ya hewa! Kama kalala chali check kichwa chake na shingo vimekaaje, mrekebishe!
Rule No. 5 ya relationship.
If you can neither change it nor avoid it then turn it into romantic.
habari za leo wanajamvi, nimekua nikishuhudia kuwa wanaume wengi ndo wanaokoroma kuliko wanawake, je ni kweli? Nini sababu yake? Je kama demu/mkeo/mumeo anakoroma unajisikiaje? Maana nina jirani yangu tumetenganishwa na ukuta mumewe huwa namsikia anakoroma kama kuna mashine ya kusaga nafaka! Sijui huyo anaelalanae anajisikiaje inapotokea hana usingizi.
Aaamke amshike kichwa chake taratibu na kumlaza vizuri katika style ambayo haiblock njia ya hewa! Kama kalala chali check kichwa chake na shingo vimekaaje, mrekebishe!
Kuna mtu hata alale vipi ananguruma tu! sometimes ananguruma hata akiwa macho! hapo hakuna ujanja ni operation tu. Ila niliona kuna watu wanaweka ka plaster across the nose ao anavaa nose plug. It is so cheap and so efficient, kama unaweza mconvince mpenzi wako kuitumia.
View attachment 33218 View attachment 33219 View attachment 33220
hahahahaha. .. . . Ebwana umenifanya nikawa google hawa wa2 na sheria zao! . . .dah!mimi huwa nacheka na wayahudi siasa kali...Wao hawasex mpaka wanapotafuta mtoto..Na wakati wa sex,wanaweka shuka in between,linatobolewa tundukidogo kwa ajili ya kupitisha kitu kwenda kwa mama.....lolimani zingine kama wehu hivi lol
1. NA AKOROME TU HANA SHIDA.....AKICHOKA ATAACHA MWENYEWE.habari za leo wanajamvi, nimekua nikishuhudia kuwa wanaume wengi ndo wanaokoroma kuliko wanawake, je ni kweli? Nini sababu yake? Je kama demu/mkeo/mumeo anakoroma unajisikiaje? Maana nina jirani yangu tumetenganishwa na ukuta mumewe huwa namsikia anakoroma kama kuna mashine ya kusaga nafaka! Sijui huyo anaelalanae anajisikiaje inapotokea hana usingizi.
Mhhhhh hii kali kuliko hata sred yenyewe kwi kwi kwi!mimi huwa nacheka na wayahudi siasa kali...Wao hawasex mpaka wanapotafuta mtoto..Na wakati wa sex,wanaweka shuka in between,linatobolewa tundukidogo kwa ajili ya kupitisha kitu kwenda kwa mama.....lolimani zingine kama wehu hivi lol