kinyoba
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,267
- 718
habari za leo wanajamvi, nimekua nikishuhudia kuwa wanaume wengi ndo wanaokoroma kuliko wanawake, je ni kweli? Nini sababu yake? Je kama demu/mkeo/mumeo anakoroma unajisikiaje? Maana nina jirani yangu tumetenganishwa na ukuta mumewe huwa namsikia anakoroma kama kuna mashine ya kusaga nafaka! Sijui huyo anaelalanae anajisikiaje inapotokea hana usingizi.