Kama Lowassa ni fisadi, Rais Kikwete tamka hadharani

Prof kikwete hawezi kuthubutu kumuita hivo make anajua Lowasa hakula hata elf 1 ya richmond. Richmond ni zigo la kikwete fisadi nyangumi hapa tz.
 
mgosi9

acha mbwembwe, toa hoja za msingi mkuuu. Kumbe wengi hatujielewi tunaongozwa na matukio! JIFUNZE KUFAHAMU UKWELI NA USIFATE MKUMBO mkuuu
 
Last edited by a moderator:
mgosi9

Weeeeeeeeeeeeeee weeeeeeeeeeeeeee acha kabisa weka mbali na watoto.
 
Last edited by a moderator:
Prof kikwete hawezi kuthubutu kumuita hivo make anajua Lowasa hakula hata elf 1 ya richmond. Richmond ni zigo la kikwete fisadi nyangumi hapa tz.

politics ni strategy.......nina uhakika EL hata ishu ya richmond ameiweka kiporo tu.......siamin km yale maelezo ya dk 2 ndo utetezi wake.......i bet anawalia timing waanze wao wenyewe kujinyonga!!
 
politics ni strategy.......nina uhakika EL hata ishu ya richmond ameiweka kiporo tu.......siamin km yale maelezo ya dk 2 ndo utetezi wake.......i bet anawalia timing waanze wao wenyewe kujinyonga!!

Subr kampen zianze uone watu watakavyo mwaga ugali na nch itakavyo kuwa uchi trust me
 
Subr kampen zianze uone watu watakavyo mwaga ugali na nch itakavyo kuwa uchi trust me

mkuu ngoja tusubiri........sisi ambao hatuongozwi na mihemko nadhan tutaenjoy sana kampeni za mwaka huu........ngoja kipyenga kipulizwe
 
Hio ni ndoto hawezi kabisa kumuita fisadi maana anajua siku atakayomuita hivyo ndo siri zote za ufisadi wake zitakua nje... Nchi hii ni zaidi ya uijuavyo ndugu yangu kuna mengi sana yako chini ya carpet yamefichwa.Nafikiri EL si mjinga kukaa kimya akisubiri siku wajaribu kumwaga ugali , ndo na yeye atamwaga mboga na kurusha vyombo huko na kuzima jiko kabisa...

Hahaha wasijaribu kabisa...
 
Daaaah,
Mkuu unatoa mitihani migumu sana kwa wanafunzi.
Anyway, wacha tusubiri kampeni zianze.

Nataka kusikia Rais wetu Kikwete kumaliza huu mnong'ono miongoni mwa watu kuwa Lowasa ni fisadi mara wengine si Fisadi.

Kwa kuwa kikwete ndiye mkuu wa Kaya atuambie Lowassa ni fisadi au si fisadi! Kama akisema ni fisadi hakika nampa kura yangu Magufuli.

Ahsanteni sana nawasilisha.
 
mgosi9

acha mbwembwe, toa hoja za msingi mkuuu. Kumbe wengi hatujielewi tunaongozwa na matukio! JIFUNZE KUFAHAMU UKWELI NA USIFATE MKUMBO mkuuu

Nimependa ushauri huu!! .
.
WANA CCM NISIKILIZENI..!!
Nina ushauri kwa wana CCM wenzangu; Lowasa kuhamia CHADEMA msipaniki. Kama kweli tulimaanisha kuwa hafai, ana uchu wa madaraka, alikiuka kanuni na maadili ya chama, ni mwizi na tena ni fisadi basi inabidi tushangilie kuondoka kwake, kwani kuvuja kwa pakacha sio ndio nafuu ya mchukuzi? Ila kama tulimkata kwa maslahi ya watu wachache na ikiwa tulitumia akili ndogo kulikata jina lake basi itabidi tujilaumu wenyewe kwa lolote tusilolitarajia litakalotokea.
Na tukiendelea kutumia akili ndogo za kudhani tutashinda kwa "magoli ya mikono", basi tunakwenda na maji mchana kweupe!
.
Tukijidanganya kuwa matusi, kejeli, mipasho, maneno ya kwenye kanga na nyimbo za Komba kwamba zitabadilisha huu upepo, pia tutajikuta tunakuwa chama cha upinzani bila hata kujiandaa kisaikolojia. Mwana CCM utakuwa unajichanganya kuushambulia uamuzi wa Lowasa kuhamia CHADEMA kwa sababu kimsingi CCM yetu ilishabariki vijana kadhaa wamshambulie majukwaani ili aonekane hafai na hao vijana wakazawadiwa vyeo. Mtu tuliemuona hafai kwetu inatuuma nini akiondoka kwetu? Ukioa mke kisha ukamtuhumu mbele za watu kuwa ni mzinzi na mshirikina; kisha mkaachana na akaolewa na mume mwingine, unaanzaje kuhangaika nae tena huko alikoenda? Tuwaache wapiga kura waamue kama ni sisi CCM ama UKAWA. .
.
Hata Mh. Mwenyekiti JK alishasema kila mtu ana haki kuongoza hii nchi; tunategemea kushinda lakini haitakuwa ajabu UKAWA wakitwaa madaraka kutokana na makosa yetu kimkakati. Wana CCM tusipaniki, kukomaa kisiasa ni pamoja na kuhimili na kukubali usichotarajia!
Wenu,
Mfurukutwa wa Shina.
😂😂👆
 
Last edited by a moderator:
Haruna Mwegeo sawa kabisa kaka yng. Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja.

Nimependa ushauri huu!! .
.
WANA CCM NISIKILIZENI..!!
Nina ushauri kwa wana CCM wenzangu; Lowasa kuhamia CHADEMA msipaniki. Kama kweli tulimaanisha kuwa hafai, ana uchu wa madaraka, alikiuka kanuni na maadili ya chama, ni mwizi na tena ni fisadi basi inabidi tushangilie kuondoka kwake, kwani kuvuja kwa pakacha sio ndio nafuu ya mchukuzi? Ila kama tulimkata kwa maslahi ya watu wachache na ikiwa tulitumia akili ndogo kulikata jina lake basi itabidi tujilaumu wenyewe kwa lolote tusilolitarajia litakalotokea.
Na tukiendelea kutumia akili ndogo za kudhani tutashinda kwa "magoli ya mikono", basi tunakwenda na maji mchana kweupe!
.
Tukijidanganya kuwa matusi, kejeli, mipasho, maneno ya kwenye kanga na nyimbo za Komba kwamba zitabadilisha huu upepo, pia tutajikuta tunakuwa chama cha upinzani bila hata kujiandaa kisaikolojia. Mwana CCM utakuwa unajichanganya kuushambulia uamuzi wa Lowasa kuhamia CHADEMA kwa sababu kimsingi CCM yetu ilishabariki vijana kadhaa wamshambulie majukwaani ili aonekane hafai na hao vijana wakazawadiwa vyeo. Mtu tuliemuona hafai kwetu inatuuma nini akiondoka kwetu? Ukioa mke kisha ukamtuhumu mbele za watu kuwa ni mzinzi na mshirikina; kisha mkaachana na akaolewa na mume mwingine, unaanzaje kuhangaika nae tena huko alikoenda? Tuwaache wapiga kura waamue kama ni sisi CCM ama UKAWA. .
.
Hata Mh. Mwenyekiti JK alishasema kila mtu ana haki kuongoza hii nchi; tunategemea kushinda lakini haitakuwa ajabu UKAWA wakitwaa madaraka kutokana na makosa yetu kimkakati. Wana CCM tusipaniki, kukomaa kisiasa ni pamoja na kuhimili na kukubali usichotarajia!
Wenu,
Mfurukutwa wa Shina.
😂😂👆
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom