IMANI YA KISHIRIKINA HIYO hao waliokwambia hivyo kuna siku watakupeleka kwa shehe yahya ukaongeze siku za kuishi.hauna kitu kama hicho maisha yako yako kwenye ulimi wako kili sitakufa na utaishi kama unavyojinenea atiiiKuna wakati nilisikia kuwa haiwezi tokea ukaona paka wana-doo na ukiona basi siku zako zinahesabika.
Sasa mimi leo asubuhi kigiza hivi nawahi job nikakuta paka wamekunjana barabarani walivyoona mwanga wa gari yule aliyekuwa juu katoka nduki wa kike kabung'aa kisha naye katoka nduki. Nikawapa story rafiki zangu hapa ofisini wakanambia eti siku zangu si nyingi! Dah nimechoka kwelikweli. Hivi n i kweli ama ULIKUWA UMALAYA WA HAWA PAKA? Na haiwezekani na wao wameanza kukosa maadili?
Nianze kuaga nini?
Nitamtafuta mpaka nimpate. Nitamfikishia saamu ndugu yanguUkifika usisahai kumtafuta Julias Nyerere (BABA WA TAIFA) umweleze kinachojiri TZ. BYE:doh:
Ukifika Mwambie sir God kilichosababisha ufike mapema kabla ya siku alizokupangia yeye....Pia mwambie sisi huku (ambao hatujaona paka...) tunateseka amtume Hata Eliya atuokoe
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaa kumbe umalaya wao tuu.
salamallykum Womanizerteh teh teh..............
paka styleHii style ya hao paka inaitwaje?