matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,595
- 15,389
Kila mtu ndani yake ameumbwa na kitu ambacho mwenzake hana. Hii ndio sababu pekee kwa nini tumeumbwa tofauti na sio watu wenye ufahamu na akili za kufanana kama bata.
Lazima uwe na kitu cha kuchangia katika jamii. Ukiachia wengine hilo jukumu na ukabaki kuwa mnufaika wa michango ya wengine utakoswa maana na sababu ya kuwa hai.
Kaa kikao na maisha yako. Anza kuona ni nini kinaweza kuwa mchango wako kwa jamii inayokuzunguka au dunia kwa ujumla.
Wazo
Ushauri
Ubunifu
Kipaji
Chochote kile. Hata kuandika uzi wenye kuleta mabadiliko kwa mtu mmoja humu jf ni mchango.
Ni hilo tu kwa leo.
Lazima uwe na kitu cha kuchangia katika jamii. Ukiachia wengine hilo jukumu na ukabaki kuwa mnufaika wa michango ya wengine utakoswa maana na sababu ya kuwa hai.
Kaa kikao na maisha yako. Anza kuona ni nini kinaweza kuwa mchango wako kwa jamii inayokuzunguka au dunia kwa ujumla.
Wazo
Ushauri
Ubunifu
Kipaji
Chochote kile. Hata kuandika uzi wenye kuleta mabadiliko kwa mtu mmoja humu jf ni mchango.
Ni hilo tu kwa leo.