security
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 322
- 75
Jamani Tido si alikuwepo, hata Juma Nkamia. Kuna mwingine kwa sasa ni "Mwenda Zake" nimemsahau kidogo. Uzee tabu kwelikweli.
Kuna mtangazaji wa rtd jina lake ni dominic chilambo. huyu mtu akitangaza mpira hapo hachomoki mtu unajua.