Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
*****KWA MASHABIKI WA HIPHOP...........
Mfano imeandaliwa show mda mmoja katika eneo moja but kumbi tofauti na kiingilio kinafanana,ukumbi mmoja kuna kundi A ambalo lina hawa wasanii [NIKKI MBISHI,NIKKI WA PILI,ONE INCREDIBLE,STEREO & STAMINA],ukumbi mwingine kuna kundi B ambalo lina wasanii hawa [ROMA,KALA JEREMIA,IZZO B,GODZILLA,Q.RACKA] utachagua wapi???
Mfano imeandaliwa show mda mmoja katika eneo moja but kumbi tofauti na kiingilio kinafanana,ukumbi mmoja kuna kundi A ambalo lina hawa wasanii [NIKKI MBISHI,NIKKI WA PILI,ONE INCREDIBLE,STEREO & STAMINA],ukumbi mwingine kuna kundi B ambalo lina wasanii hawa [ROMA,KALA JEREMIA,IZZO B,GODZILLA,Q.RACKA] utachagua wapi???