Kalale wewe,kwanza kapige mswaki ndo ukalalewana arumeru chagueni ccm mambo ya ufundi wa kuongea kama mkutano wa injili itawasaidia nn? Chagueni chama chenye dollar ambacho kinaweza kutekeleza mahitaji yenu kwa wakati kuweni wajanja ishara ya kijani ni njema sana kwenu kama hamtambui hilo tambueni hvy na tarehe 1-4-2012 chagua siyoi kuwa mbunge wako
Uko sawa mkuu, kwenye karne hii bado unashabikia marehemu ccm? Haujui madhara ya kuchagua ccm? Umelishwa nini ndg yangu kuwa mjinga kiasi hicho? Na bado unashawishi wengine wachague marehemu ccm,? Hauoni madhara ya uwepo wa ccm kwa taifa au bado unaota? Hauoni ubaya wa kuwa na wabunge wasioweza kujenga hoja hata kuona kwenye tv? Nakusikitikia...wenzio walijiaminisha hivyo kwa kanu kule kenya. Waliambiwa inaondoka hiyo kwa kuwa walikuwa wamelewa kanu hawakuaminiwana arumeru chagueni ccm mambo ya ufundi wa kuongea kama mkutano wa injili itawasaidia nn? Chagueni chama chenye dollar ambacho kinaweza kutekeleza mahitaji yenu kwa wakati kuweni wajanja ishara ya kijani ni njema sana kwenu kama hamtambui hilo tambueni hvy na tarehe 1-4-2012 chagua siyoi kuwa mbunge wako
Atakuwa aliandikiwa desa na majimarefu au Lusinde wamemlisha kasa. Naskia jamaa huwa anaandikiwa usiku mambo ya kuzungumza kesho yake ili akalili usiku kucha na kugandamizia ndumu (bangi) asubuhi ili apate stimu ya kupandia jukwaani. Akipata ubunge huyo jamaa hadhi ya kuwa mbunge nchi hii itashuka sana
ndugu yangu wakuti usitoe hoja kama hujui unacho waza,ujenge hoja nasio ushabiki usio kuwa na Tija,huu wakati si wakushabikia kama simba na yanga,hoja ya msingi ni kwamba CCM kama chama tawala kinatupeleka wapi?ifike mahali tusiwe shabiki wa vyama tu huu ni ujinga na ni ubwanyenye,tuangalie kuwa serikali iliyopo madarakani inawasaidieje wananchi,ukweli ni kwamba serikali yetu inatupeleka kuzimu na kama tuko ndani ya boti basi hilo boti lina zama, tajiri kalala mafisadi wameamka,watu tunaishi maisha yasiyo eleweka kama kesha kutakucha,ifike mahali tuoneane huruma jamani!hv wee tajiri utalala mpaka lini maisha ya wanachi wako ni magumu kila kona hv wewe unafurahia kweli unako tupeleka,mm sio shabiki wa vyama lakini napata taabu is some thing paradox my life style.nafikiri watanzania tumelishwa libwata kali sana. basi Mh tumwachie Mungu,wasije wakanipeleka
india
CCm itaendelea kuwa juu tu. Tanzania hakuna chama cha siasa hata kimoja vyote ni vyama vya harakati na kutangaza harakati badala ya sera. CCM oyeeeeeeeeeee!
Siyo. Mbunge ni Nasari..Siyoi ndio mbunge wa Arumeru
Naomba kuuliza kama ccm leo hawakuwa na mkutano wa kampeni!walioangalia itv watakubaliana na mimi kwamba taarifa ya jana ilirudiwa.