Zimbabwe imetengeneza sarafu ya Dhahabu yenye thamani sawa na USD 900 baada ya pesa Yao kutoimarika.
Sie Watanzania tumebinafsisha migodi yetu, wachimbe pesa Kisha kutupa mgao wa makaratasi, tena Kwa makadirio na wakati mwingine wanatangaza HASARA na kubadili Majina Ili kukwepa Kodi mf Kutoka Barrick kwenda Acacia 😳
Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa Kwa Dunia, Dhahabu haijawahi tetereka katika soko la Dunia.
Kununua Dhahabu Kutoka wachimbaji WADOGO Bado uzalishaji uko chini kutokana na uwekezaji wa Serikali chini ya Mamlaka husika kuzalisha na kuongeza ubora Kwa viwango vya kidunia.
Hivyo kuwaelekeza wafanyabiashara huko kununua Dhahabu Ili waende kuuza kupata dollar za kuagizia mafuta na bidhaa adimu, ni kukosa vision.
Botswana ni Nchi IPO hapa hapa Africa, wao wamebinafsiaha Dhahabu Yao Kwa wageni Kwa kupewa hisa ya 50%.
Sie Watanzania tunapewa mrabaha wa chini ya 20%, na mbaya zaidi tunalipwa cash Dhahabu inaenda.
Ikiwa kama Nchi tunaona uelekeo sahihi ni kununua Dhahabu Kwa wachimbaji wa ndani, kwanini tusianze na makampuni tuloyabinafsishia migodi Ili yatulipe mrabaha in terms of Gold na Si pesa cash?
Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?
Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).
Yaani tunaweka wazalendo kwenye Kila mgodi pale jikoni vinapitengenezwa vitofali yaani gold bars, moja letu, moja lao mwanzo mwisho.
Kwa kufanya hivyo, Nchi ingepata vitofali vingapi Kwa siku? Ni Dhahabu kiasi Gani inapelekwa nje ukizingatia wanafanya KAZI day and night?
Stamico kwanini haisitishi vibali vya utafiti na uchimbaji madini yetu Kwa makampuni ya nje Ili yenyewe iunde na kusimamia migodi itayochimba Dhahabu yetu na tukapata share kubwa zaidi?
Kwanini Benki kuu isianzishe SARAFU ya Dhahabu yenye ubora wa kimataifa Ili kuimarisha currency yetu ya Tshs?
Kwani madini yetu Mungu alitupa tuwagawie majirani au tulipewa yatutajirishe?
Watoto wanakaa chini wakati Dhahabu yetu inaenda kutajirisha wageni ambao hawakujaliwa raslimali hizo!!
Wazalendo wa Nchi wapo wapi?
Karibuni🙏
Sie Watanzania tumebinafsisha migodi yetu, wachimbe pesa Kisha kutupa mgao wa makaratasi, tena Kwa makadirio na wakati mwingine wanatangaza HASARA na kubadili Majina Ili kukwepa Kodi mf Kutoka Barrick kwenda Acacia 😳
Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa Kwa Dunia, Dhahabu haijawahi tetereka katika soko la Dunia.
Kununua Dhahabu Kutoka wachimbaji WADOGO Bado uzalishaji uko chini kutokana na uwekezaji wa Serikali chini ya Mamlaka husika kuzalisha na kuongeza ubora Kwa viwango vya kidunia.
Hivyo kuwaelekeza wafanyabiashara huko kununua Dhahabu Ili waende kuuza kupata dollar za kuagizia mafuta na bidhaa adimu, ni kukosa vision.
Botswana ni Nchi IPO hapa hapa Africa, wao wamebinafsiaha Dhahabu Yao Kwa wageni Kwa kupewa hisa ya 50%.
Sie Watanzania tunapewa mrabaha wa chini ya 20%, na mbaya zaidi tunalipwa cash Dhahabu inaenda.
Ikiwa kama Nchi tunaona uelekeo sahihi ni kununua Dhahabu Kwa wachimbaji wa ndani, kwanini tusianze na makampuni tuloyabinafsishia migodi Ili yatulipe mrabaha in terms of Gold na Si pesa cash?
Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?
Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).
Yaani tunaweka wazalendo kwenye Kila mgodi pale jikoni vinapitengenezwa vitofali yaani gold bars, moja letu, moja lao mwanzo mwisho.
Kwa kufanya hivyo, Nchi ingepata vitofali vingapi Kwa siku? Ni Dhahabu kiasi Gani inapelekwa nje ukizingatia wanafanya KAZI day and night?
Stamico kwanini haisitishi vibali vya utafiti na uchimbaji madini yetu Kwa makampuni ya nje Ili yenyewe iunde na kusimamia migodi itayochimba Dhahabu yetu na tukapata share kubwa zaidi?
Kwanini Benki kuu isianzishe SARAFU ya Dhahabu yenye ubora wa kimataifa Ili kuimarisha currency yetu ya Tshs?
Kwani madini yetu Mungu alitupa tuwagawie majirani au tulipewa yatutajirishe?
Watoto wanakaa chini wakati Dhahabu yetu inaenda kutajirisha wageni ambao hawakujaliwa raslimali hizo!!
Wazalendo wa Nchi wapo wapi?
Karibuni🙏