Kama Dhahabu ni pesa, kwanini tupokee mgao wa makaratasi Badala ya Dhahabu?

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,110
22,563
Zimbabwe imetengeneza sarafu ya Dhahabu yenye thamani sawa na USD 900 baada ya pesa Yao kutoimarika.

Sie Watanzania tumebinafsisha migodi yetu, wachimbe pesa Kisha kutupa mgao wa makaratasi, tena Kwa makadirio na wakati mwingine wanatangaza HASARA na kubadili Majina Ili kukwepa Kodi mf Kutoka Barrick kwenda Acacia 😳

Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa Kwa Dunia, Dhahabu haijawahi tetereka katika soko la Dunia.

Kununua Dhahabu Kutoka wachimbaji WADOGO Bado uzalishaji uko chini kutokana na uwekezaji wa Serikali chini ya Mamlaka husika kuzalisha na kuongeza ubora Kwa viwango vya kidunia.

Hivyo kuwaelekeza wafanyabiashara huko kununua Dhahabu Ili waende kuuza kupata dollar za kuagizia mafuta na bidhaa adimu, ni kukosa vision.

Botswana ni Nchi IPO hapa hapa Africa, wao wamebinafsiaha Dhahabu Yao Kwa wageni Kwa kupewa hisa ya 50%.

Sie Watanzania tunapewa mrabaha wa chini ya 20%, na mbaya zaidi tunalipwa cash Dhahabu inaenda.

Ikiwa kama Nchi tunaona uelekeo sahihi ni kununua Dhahabu Kwa wachimbaji wa ndani, kwanini tusianze na makampuni tuloyabinafsishia migodi Ili yatulipe mrabaha in terms of Gold na Si pesa cash?

Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?

Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).

Yaani tunaweka wazalendo kwenye Kila mgodi pale jikoni vinapitengenezwa vitofali yaani gold bars, moja letu, moja lao mwanzo mwisho.

Kwa kufanya hivyo, Nchi ingepata vitofali vingapi Kwa siku? Ni Dhahabu kiasi Gani inapelekwa nje ukizingatia wanafanya KAZI day and night?

Stamico kwanini haisitishi vibali vya utafiti na uchimbaji madini yetu Kwa makampuni ya nje Ili yenyewe iunde na kusimamia migodi itayochimba Dhahabu yetu na tukapata share kubwa zaidi?

Kwanini Benki kuu isianzishe SARAFU ya Dhahabu yenye ubora wa kimataifa Ili kuimarisha currency yetu ya Tshs?

Kwani madini yetu Mungu alitupa tuwagawie majirani au tulipewa yatutajirishe?

Watoto wanakaa chini wakati Dhahabu yetu inaenda kutajirisha wageni ambao hawakujaliwa raslimali hizo!!

Wazalendo wa Nchi wapo wapi?

Karibuni🙏
 
Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?

Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).

Umetoa pendekezo zuri linalotakiwa kufanyiwa kazi haraka


JIBU LA KUWEZESHA NCHI KUWA NA AKIBA YA DHAHABU, MADINI NA VITO LAPATIKANA

1 July 2023
Gaborone, Botswana

1694638113109.png


Nchi ya Botswana imepata jibu kuwa mfano Tanzania mkataba wa mgodi na mwekezaji wagawane vitofali vya dhahabu na serikali badala ya kusubiri faida ya kwenye balance sheet.

Mgawanyo wa vitofali au almasi au tanzanite inaipa uhuru Tanzania kuhifadhi kitu halisi na kukiuza kwa thamani ya uhakika bila makando kando ya kusubiri mwekezaji asafirishe madini yote nje na mwisho wa siku akuambie faida ni ndogo kama ripoti yake ya katika mahesabu ya mwaka yanavyoonesha .

1 July 2023
Gaborone, Botswana,

Botswana na De Beers Zasaini Mkataba wa Kuendeleza Ushirikiano Tajiri wa Almasi

Chini ya makubaliano mapya ya uchimbaji madini, Botswana itapata mara moja asilimia 30 ya mawe machafu (almasi ambayo bado kuchongwa) yaliyochimbwa, kutoka asilimia 25, na itapanda hadi asilimia 50 ndani ya muongo mmoja, De Beers na maafisa wa serikali walisema.

Afisa wa serikali ya Botswana na mtendaji mkuu wa De Beers, muungano wa kimataifa wa almasi, walitia saini mikataba ya muda siku ya Jumamosi ili kuendeleza ubia wenye faida, wa miongo kadhaa wa uchimbaji madini ya almasi ambao ulionekana kuvunjika katika miezi ya hivi karibuni.

Dakika chache kabla ya tarehe ya mwisho ya usiku wa manane siku ya Ijumaa, pande zote zilitangaza kwamba baada ya mazungumzo ya miaka mingi, walikuwa wamekubaliana kimsingi juu ya mpango wa kuunda upya ushirikiano ambao unaipatia De Beers sehemu kubwa ya almasi yake na serikali ya Botswana sehemu kubwa zaidi ya mapato yake.

Maelezo ya mpango huo bado yanashughulikiwa, maafisa wa serikali na De Beers walisema. Lakini inashughulikia moja ya matatizo makubwa ya serikali ya Botswana, kuhusu mgao wa almasi ambayo inapokea katika ubia wake wa uchimbaji madini na De Beers.

Chini ya makubaliano ya zamani, Botswana ilipokea asilimia 25 ya mawe machafu yaliyochimbwa, huku De Beers ilichukua mengine. Sasa, Botswana itapata mgao wa asilimia 30 mara moja, na hiyo itapanda hadi asilimia 50 ndani ya muongo mmoja, De Beers na maafisa wa serikali walisema.

De Beers alisema katika taarifa yake kwamba imekubali kuwekeza kiasi cha dola milioni 825 katika kipindi cha miaka 10 ijayo kusaidia kuendeleza uchumi wa Botswana. Makubaliano hayo pia yanajumuisha kuanzisha chuo nchini Botswana ambacho kitafundisha wenyeji ujuzi katika biashara ya almasi, maafisa wa serikali walisema

Source : The New York Times
 
1 July 2023

Under the new deal announced on Friday, Botswana gets a bigger share of rough stones from their joint venture, Debswana.

Botswana and mining company De Beers have announced a new diamond sales deal.
View attachment 2709249
The new deal, concluded on Friday, gives Botswana a bigger share of rough stones from their joint venture.

Debswana, a joint venture between Anglo American unit De Beers and Botswana's government, sells 75% of its output to De Beers, with the balance taken up by state-owned Okavango Diamond Co.

The new agreement covers a 10-year sales deal for Debswana rough diamond production through to 2033 and 25-year Debswana mining licences.

In the run-up to Friday's deal, Botswana President Mokgweetsi Masisi, who is expected to seek re-election next year, had pushed De Beers for a bigger share of Debswana's output.

In March, Botswana announced it would take a 24% stake in Belgian gem processing firm HB Antwerp in a move seen as designed to loosen De Beers' grip on the country's gems.

Botswana supplies 70% of De Beers' rough diamonds
 
1 July 2023

Under the new deal announced on Friday, Botswana gets a bigger share of rough stones from their joint venture, Debswana.

Botswana and mining company De Beers have announced a new diamond sales deal.
View attachment 2709249
The new deal, concluded on Friday, gives Botswana a bigger share of rough stones from their joint venture.

Debswana, a joint venture between Anglo American unit De Beers and Botswana's government, sells 75% of its output to De Beers, with the balance taken up by state-owned Okavango Diamond Co.

The new agreement covers a 10-year sales deal for Debswana rough diamond production through to 2033 and 25-year Debswana mining licences.

In the run-up to Friday's deal, Botswana President Mokgweetsi Masisi, who is expected to seek re-election next year, had pushed De Beers for a bigger share of Debswana's output.

In March, Botswana announced it would take a 24% stake in Belgian gem processing firm HB Antwerp in a move seen as designed to loosen De Beers' grip on the country's gems.

Botswana supplies 70% of De Beers' rough diamonds
Asante Kwa kujazia nyama,

Dhahabu ni pesa, hivyo tukisubiri kugawana baada ya hesabu watatupiga,

Tubadili SHERIA, tugawane GOLD BARS(VITOFALI).

Wazalendo wa Nchi hii tuamke, tukifanya hivyo, hatutashangilia tena kukopeshwa 1.5 trillion kujengea madarasa na vyoo!!
 
Wazalendo wa Nchi hii tuamke,

Hili linatakiwa kuanzishwa mara moja katika mikataba yote na vitofali, vito, almasi, nickel, helium, magogo, gesi, mafuta, kilimo cha mashamba makubwa ya wawekezaji na petrol ni mgao wa mali kwa mali badala ya tarakimu za kwenye balance sheet ambazo kuna makandokando mengi.


Na mgawanyo uwe unakwenda serikali kuu, pia halmashauri za wilaya ambapo mgodi upo mfano Geita ili wananchi wachague maendeleo wanayoona ni kipaumbele kwao yaweze kuwa ni barabara za zege / mawe, hospitali, shule, maji safi ya bomba, umeme Tanzania n.k na siyo kununua gari la kifadhari la V8 la mkurugenzi wa Halmashauri n.k
 
Wenzakoe wanawaza uchaguzi na kutengeneza mamluki wa uchaguzi ujao!!

Thinkers wa kweli hawapewi kitara wakiongoze!!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!
 

Bila shaka umerefer hapa Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi.​

Basi yapasa nakala moja imwendee waziri wa nishati na waziri wa madini Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi.​

Wachimbaji WADOGO Wanazalisha Dhahabu yenye kufika viwango vya kimataifa?

Kwann tusipewe vitofali na migodi kama mgao wetu Serikali ipate pa kuanzia?
 
Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?

Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).
Mkuu mbona Shujaa Magufuli alisema tunagawana faida 50 kwa 50!! Means tofali Moja kwa tofali Moja ama vipi?
 
Mkuu mbona Shujaa Magufuli alisema tunagawana faida 50 kwa 50!! Means tofali Moja kwa tofali Moja ama vipi?
Hakufika huko, ingawa alidhamiria kuipeleka Nchi pazuri.

Botswana ndo wamefikia huko. 50/50.

Ndomana nimeshauri mamlaka kusitisha vibali vya uchimbaji Ili kuboresha SHERIA zetu Ili tufikie 50+1% hisa.

Na tugawane mgao wa hisa zetu Kwa kugawana Gold bars/ vitofali.
 
Zimbabwe imetengeneza sarafu ya Dhahabu yenye thamani sawa na USD 900 baada ya pesa Yao kutoimarika.

Sie Watanzania tumebinafsisha migodi yetu, wachimbe pesa Kisha kutupa mgao wa makaratasi, tena Kwa makadirio na wakati mwingine wanatangaza HASARA na kubadili Majina Ili kukwepa Kodi mf Kutoka Barrick kwenda Acacia 😳

Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa Kwa Dunia, Dhahabu haijawahi tetereka katika soko la Dunia.

Kununua Dhahabu Kutoka wachimbaji WADOGO Bado uzalishaji uko chini kutokana na uwekezaji wa Serikali chini ya Mamlaka husika kuzalisha na kuongeza ubora Kwa viwango vya kidunia.

Hivyo kuwaelekeza wafanyabiashara huko kununua Dhahabu Ili waende kuuza kupata dollar za kuagizia mafuta na bidhaa adimu, ni kukosa vision.

Botswana ni Nchi IPO hapa hapa Africa, wao wamebinafsiaha Dhahabu Yao Kwa wageni Kwa kupewa hisa ya 50%.

Sie Watanzania tunapewa mrabaha wa chini ya 20%, na mbaya zaidi tunalipwa cash Dhahabu inaenda.

Ikiwa kama Nchi tunaona uelekeo sahihi ni kununua Dhahabu Kwa wachimbaji wa ndani, kwanini tusianze na makampuni tuloyabinafsishia migodi Ili yatulipe mrabaha in terms of Gold na Si pesa cash?

Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?

Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).

Yaani tunaweka wazalendo kwenye Kila mgodi pale jikoni vinapitengenezwa vitofali yaani gold bars, moja letu, moja lao mwanzo mwisho.

Kwa kufanya hivyo, Nchi ingepata vitofali vingapi Kwa siku? Ni Dhahabu kiasi Gani inapelekwa nje ukizingatia wanafanya KAZI day and night?

Stamico kwanini haisitishi vibali vya utafiti na uchimbaji madini yetu Kwa makampuni ya nje Ili yenyewe iunde na kusimamia migodi itayochimba Dhahabu yetu na tukapata share kubwa zaidi?

Kwanini Benki kuu isianzishe SARAFU ya Dhahabu yenye ubora wa kimataifa Ili kuimarisha currency yetu ya Tshs?

Kwani madini yetu Mungu alitupa tuwagawie majirani au tulipewa yatutajirishe?

Watoto wanakaa chini wakati Dhahabu yetu inaenda kutajirisha wageni ambao hawakujaliwa raslimali hizo!!

Wazalendo wa Nchi wapo wapi?

Karibuni🙏
Cc Faiza fox, Meneja wa makampuni, Lord Denim, Kalamu.
Kwa Zimbambwe ni sawa kwa kuwa wanatatizo la currency stability pesa yao inashuka thamani sana kwq kasi kila kukicha na kwa hapa kwetu hatuna tatizo hilo hivyo si sawa kwenda kuiga ya Zimbambwe ,sisi tuna uhuru wote na currency stability .
 
Zimbabwe imetengeneza sarafu ya Dhahabu yenye thamani sawa na USD 900 baada ya pesa Yao kutoimarika.

Sie Watanzania tumebinafsisha migodi yetu, wachimbe pesa Kisha kutupa mgao wa makaratasi, tena Kwa makadirio na wakati mwingine wanatangaza HASARA na kubadili Majina Ili kukwepa Kodi mf Kutoka Barrick kwenda Acacia 😳

Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa Kwa Dunia, Dhahabu haijawahi tetereka katika soko la Dunia.

Kununua Dhahabu Kutoka wachimbaji WADOGO Bado uzalishaji uko chini kutokana na uwekezaji wa Serikali chini ya Mamlaka husika kuzalisha na kuongeza ubora Kwa viwango vya kidunia.

Hivyo kuwaelekeza wafanyabiashara huko kununua Dhahabu Ili waende kuuza kupata dollar za kuagizia mafuta na bidhaa adimu, ni kukosa vision.

Botswana ni Nchi IPO hapa hapa Africa, wao wamebinafsiaha Dhahabu Yao Kwa wageni Kwa kupewa hisa ya 50%.

Sie Watanzania tunapewa mrabaha wa chini ya 20%, na mbaya zaidi tunalipwa cash Dhahabu inaenda.

Ikiwa kama Nchi tunaona uelekeo sahihi ni kununua Dhahabu Kwa wachimbaji wa ndani, kwanini tusianze na makampuni tuloyabinafsishia migodi Ili yatulipe mrabaha in terms of Gold na Si pesa cash?

Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?

Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).

Yaani tunaweka wazalendo kwenye Kila mgodi pale jikoni vinapitengenezwa vitofali yaani gold bars, moja letu, moja lao mwanzo mwisho.

Kwa kufanya hivyo, Nchi ingepata vitofali vingapi Kwa siku? Ni Dhahabu kiasi Gani inapelekwa nje ukizingatia wanafanya KAZI day and night?

Stamico kwanini haisitishi vibali vya utafiti na uchimbaji madini yetu Kwa makampuni ya nje Ili yenyewe iunde na kusimamia migodi itayochimba Dhahabu yetu na tukapata share kubwa zaidi?

Kwanini Benki kuu isianzishe SARAFU ya Dhahabu yenye ubora wa kimataifa Ili kuimarisha currency yetu ya Tshs?

Kwani madini yetu Mungu alitupa tuwagawie majirani au tulipewa yatutajirishe?

Watoto wanakaa chini wakati Dhahabu yetu inaenda kutajirisha wageni ambao hawakujaliwa raslimali hizo!!

Wazalendo wa Nchi wapo wapi?

Karibuni🙏
Cc Faiza fox, Meneja wa makampuni, Lord Denim, Kalamu.
Tu wajinga.
 
Back
Top Bottom