Vipi mkuu au na wewe fyekeo la posho limekukumba.Rais Jakaya Kikwete amekuwa akitajwa kuwa nyuma ya kashfa kama vile IPTL EPA na sasa Richmond-Dowans. Kikwete ni rais ajali ya kihistoria kwa taifa na hatari kwa mstakabali wake. Kwanini bunge lisimtimulie mbali kama Lowassa? Naleta hoja.
Vipi mkuu au na wewe fyekeo la posho limekukumba.