Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
wana JF nikiwa pale TRA maeneo ya Mwenge nakutana na kioja cha mwaka!
nilikuwa nimetinga hapo siku ya J3 tarehe 02/07 kurenew Road Licence ya
kijibajaji changu tukiwa kwenye foleni ya kuelekea NMB kulipa vijisenti vyao
nakutana na jamaa "Sharobaro Style" nae amebeba fomu zake kama za kwangu
kwa nia ya kuelekea NMB kulipa!
Cha Ajabu ni pale huyu bwana alipo nisogelea na kuomba Shilingi 200
nikauliza ya nini? akajibu bro nataka nikasmoke kidogo... Dah nilipigwa na butwa
ya mwaka, nikajiuliza maswali mengi kichwani huku nikitafakari lengo la huyu mtu!
mpaka sasa sijaelewa alitaka nini.. naendelea kushangaa mtu anaye enda kulipa maelfu
au malaki ashindwe 200 ya sigara...Mweeeeeeeeeeeh! inawezekana kweli????
nilikuwa nimetinga hapo siku ya J3 tarehe 02/07 kurenew Road Licence ya
kijibajaji changu tukiwa kwenye foleni ya kuelekea NMB kulipa vijisenti vyao
nakutana na jamaa "Sharobaro Style" nae amebeba fomu zake kama za kwangu
kwa nia ya kuelekea NMB kulipa!
Cha Ajabu ni pale huyu bwana alipo nisogelea na kuomba Shilingi 200
nikauliza ya nini? akajibu bro nataka nikasmoke kidogo... Dah nilipigwa na butwa
ya mwaka, nikajiuliza maswali mengi kichwani huku nikitafakari lengo la huyu mtu!
mpaka sasa sijaelewa alitaka nini.. naendelea kushangaa mtu anaye enda kulipa maelfu
au malaki ashindwe 200 ya sigara...Mweeeeeeeeeeeh! inawezekana kweli????