Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 745
- 633
Jamani nimepangiwa kalangalala f5 iliyopo Geita,sasa cjajua hii shule mazingira yke,hasa upande wa malazi(hostel)! Nimepangiwa ktk mchepuo wa HGL,kwa anayeifahamu vizuri anieleze japo kwa kifupi historia yke!