Kailima Ramadhan: Uchaguzi 2015 ulikuwa huru na wa haki, CHADEMA imeshindwa kihalali! Hakuna upendeleo kwa CCM, NEC ni Tume huru

Ni ngumu sana kumuelewa Pascal Mayala, uandishi wake naufananisha na mfumo wa panya anapoiba chakula, hung'ata na kupuliza.
Wengi wetu huandika kile kinachoakisi hisia zetu na hivyo kuonyesha upande tunaosimamia, lakini si yeye.

Si ajabu Pascal huyu huyu tunayemshutumu kumpigia tarumbeta mkuu kumuuliza huyo huyo mkuu maswali tatanishi yanayoweza kumvua nguo na kumsababishia kuchutama pale atakapopewa nafasi.
 
Wewe Mayalla hebu acha ujinga!!! Hukuziona picha za majeruhi walioumizwa kwenye sehemu mbali mbali nchini!? Hukusikia yaliyojiri kuhusu wasimamizi wa upinzani kukamatwa au kutolewa ndani ya vituo ili kuruhusu wizi kufanyika?

Utumie akili japo kidogo badala ya kukurupuka ili kutafuta TEUZI.


MONDAY , 27TH NOV , 2017
NA MELLANIA JULIUS
Meya wa Manispaa ya Ubungo kupitia CHADEMA Jacob Boniface ambaye jana alishikiliwa na polisi, ameweka wazi sababu ambayo jana ilimsababishia kukamatwa na jeshi la Polisi na kulala ndani, huku uchaguzi ukiendelea.




case.jpg

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Meya Jacob amesema yeye alikuwa ni msimamizi wa vituo vya kupigia kura ambayo ipo kisheria, lakini baada ya muda alishangaa kuona polisi wanakuja kumkamata kwa tuhuma ambazo hazikuwa za kwlei.

“Nilikuwa nasimamia uchaguzi kama msimamizi wa uchaguzi wa chama changu, nikiwa kituoni nashangaa kuona nakuja kukamatwa na polisi, nilipofika kule wakaniambia kuwa wamepata taarifa kwamba nimejipanga kufanya vurugu na wenzangu, kitu ambacho sio kweli”, amesema Jacob Boniface.

Meya huyo ambaye ni miongoni mwa viongozi machachari wa CHADEMA amesema mpaka sasa hajajua hatma yake kama anapelekwa mahakamani au la, kwani aliachiwa huru majira ya saa saba usiku baada ya kulipa dhamana, huku uchaguzi ukiwa umeshakwisha.
Mayala maana yake ni njaa - Magufuli .
 
Ni kweli mkuu,Kujitoa kwenye press na si kwenye tume hizo ni kick za kutaka sympathy kwa wananchi.
Ndugu yangu mantinki lazima yaakisi uhalisia,kuwaondoa mawakala na kubaki na msimamizi ambaye anafuta maelekezo ya usakama wa taifa kuiba kura,kunasaidia nn kujitoa kwa kujaza maifomu husika?hata kujiyoa kwa press nia jibu tosha
 
Mkuu Mkwepa Kodi, kama sheria, taratibu na kanuni zinakutaka ujaze fomu ya malalamiko ili iende NEC, WEWE UNALALAMIKIA KWENYE MEDIA TUU BILA KUJAZA FOMU, nec WANAKUWA WAKO RIGHT, HAKUNA ALIYELALAMIKA.

Ila hili la umuhimu wa elimu kwa mpiga kura nimelizungumza, na mimi nitajitolea kutoa elimu hiyo bure.

Paskali

Jecha alipofuta uchaguzi ni nani alikuwa amejaza fomu ya malalamiko?

Paschal jiongeze, kama kusoma hujui basi hata picha huoni?.

Unapigwa na pacha mmoja unaenda kumshtakia kwa pacha mwenzie?
 
Wanabodi,

Baada ya figisu figusu za uchaguzi wa marudio wa madiwani, nimebahatika ya kufanya mahojiano na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, yaliyofanyika ofisini kwake jioni hii, kuhusu uchaguzi huo, katika kipindi cha Habari Zaidi ya Habari na PPR, ambacho kinarushwa kupitia Vituo 5 vya TV, TBC, ITV, STAR TV, Channel Ten, Azam TV, Clouds TV na kwenye Youtube.


Hizi ni Baadhi ya Dondoo za Mahojiano Hayo.
  • Zoezi la Uchaguzi limekwenda vizuri kwa asilimia 95%, hakukuwa na kasoro yoyote kubwa kuathiri uchaguzi huo, hivyo uchaguzi umekamilika na taarifa rasmi, itatolewa punde itakapokamilika.
  • Uchaguzi huo ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki, licha ya kutokea mapungufu madogo madogo, lakini matokeo ni matokeo halali, aliyeshinda ameshinda kihalali kwa haki, aliyeshindwa, pia ameshindwa kihalali kwa haki.
  • Hakuna hata chama kimoja, kilicholalamikia jambo lolote kuhusu uchaguzi huo, mpaka sasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, haijapokea malalamiko yoyote, kutoka chama chochote, au mgombea yoyote kwa mujibu wa utaratibu wa kujaza fomu za malalamiko.
  • Hakuna chama kilichojitoa rasmi, ila kama ilivyo kushiriki uchaguzi ni hiyari, vivyo hivyo vyama viko huru kujitoa wakati wowote, lakini mpaka zoezi la uchaguzi linamalizika, hakuna chama kilichojitoa rasmi kwa mujibu wa taratibu za kujitoa.
  • Mawakala wa vyama, wanapatikana kwa mujibu wa sheria, taratkanuni, mtu ambaye hajakidhi taratibu za uchaguzi, hawezi kuruhusiwa
  • Ameelezea kuwa Tume yake ni Tume huru, inayoendesha chaguzi kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni, hakuna chama chochote, kimewahi kulalamikia kipengele chochote cha uchaguzi kinachonyima haki, kitakachoifanya tume isiwe huru.
  • Amesisitiza Tume yake haijawahi kuingiliwa na chombo chochote, wala kupokea maagizo au maelekezo kutoka kwa yeyote.
  • Tume yake haijawahi kufanya upendeleo wowote kwa chama chochote, hata CCM nayo pia inailalamikia tume yake, hata uchaguzi wa Madiwani CCM Arusha wamelalamika.
  • Pia nimeuliza kuhusu Mkurugenzi, Mwenyekiti wa NEC na makashna kuteuliwa na rais ambaye ni mwenyekiti wa chama kimoja, wataweza kutenda haki?, pia amelijibu.
My Take.
Its high time vyama tuanze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, tukubali kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani, badala ya kutafuta visingizio.

Kama hali ya uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania, jee hali itakuwaje uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye sanduku la kura, kuna hatari ya CCM, kuyarejesha majimbo yote ya upinzani mwaka 2020, hivyo Tanzania kuanza safari ya kuelekea kuwa ni nchi ya vyama vingi jina tuu, lakini ukweli tunaelekea kuwa nchi ya chama kimoja.

NB. Kipindi kikiwa tayari, nitakipandisha humu umsikilize mwenyewe.

Wasalaam.

Paskali

pasko mayala kaka yangu usiyekuwa na upande , hujawahi kujiuliza kwanini huwa huna adui hapa, au kwanini una wafuasi wengi? ni kwasababu unasemaga ukweli bila kujali utamuumiza nani na utamfurahisha nani,

UPIZANI WA TANZANIA UMEISHA MWAKA 2015 sasa hivi kuna vikundi vya watu si vyama vya upinzani
 
Una ushahidi wa kuonyesha Chadema imepeleka malalamiko kwa Mange? Usijidhalilishe kiasi hicho mbele ya kadamnasi!!!

Hata kama Chadema haijapeleka malalamiko haiondoi ukweli kwamba uchaguzi haukuwa huru na wa haki.

Na wewe kwa ujuha wako unadhani hicho kitengo cha dikteta uchwara cha wizi wa kura kitatenda haki kwa Chadema?

Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kufanya ubaradhuli kwenye issues za maana.
Wanabodi,

Baada ya figisu figusu za uchaguzi wa marudio wa madiwani, nimebahatika ya kufanya mahojiano na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, yaliyofanyika ofisini kwake jioni hii, kuhusu uchaguzi huo, katika kipindi cha Habari Zaidi ya Habari na PPR, ambacho kinarushwa kupitia Vituo 5 vya TV, TBC, ITV, STAR TV, Channel Ten, Azam TV, Clouds TV na kwenye Youtube.


Hizi ni Baadhi ya Dondoo za Mahojiano Hayo.
  • Zoezi la Uchaguzi limekwenda vizuri kwa asilimia 95%, hakukuwa na kasoro yoyote kubwa kuathiri uchaguzi huo, hivyo uchaguzi umekamilika na taarifa rasmi, itatolewa punde itakapokamilika.
  • Uchaguzi huo ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki, licha ya kutokea mapungufu madogo madogo, lakini matokeo ni matokeo halali, aliyeshinda ameshinda kihalali kwa haki, aliyeshindwa, pia ameshindwa kihalali kwa haki.
  • Hakuna hata chama kimoja, kilicholalamikia jambo lolote kuhusu uchaguzi huo, mpaka sasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, haijapokea malalamiko yoyote, kutoka chama chochote, au mgombea yoyote kwa mujibu wa utaratibu wa kujaza fomu za malalamiko.
  • Hakuna chama kilichojitoa rasmi, ila kama ilivyo kushiriki uchaguzi ni hiyari, vivyo hivyo vyama viko huru kujitoa wakati wowote, lakini mpaka zoezi la uchaguzi linamalizika, hakuna chama kilichojitoa rasmi kwa mujibu wa taratibu za kujitoa.
  • Mawakala wa vyama, wanapatikana kwa mujibu wa sheria, taratkanuni, mtu ambaye hajakidhi taratibu za uchaguzi, hawezi kuruhusiwa
  • Ameelezea kuwa Tume yake ni Tume huru, inayoendesha chaguzi kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni, hakuna chama chochote, kimewahi kulalamikia kipengele chochote cha uchaguzi kinachonyima haki, kitakachoifanya tume isiwe huru.
  • Amesisitiza Tume yake haijawahi kuingiliwa na chombo chochote, wala kupokea maagizo au maelekezo kutoka kwa yeyote.
  • Tume yake haijawahi kufanya upendeleo wowote kwa chama chochote, hata CCM nayo pia inailalamikia tume yake, hata uchaguzi wa Madiwani CCM Arusha wamelalamika.
  • Pia nimeuliza kuhusu Mkurugenzi, Mwenyekiti wa NEC na makashna kuteuliwa na rais ambaye ni mwenyekiti wa chama kimoja, wataweza kutenda haki?, pia amelijibu.
My Take.
Its high time vyama tuanze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, tukubali kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani, badala ya kutafuta visingizio.

Kama hali ya uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania, jee hali itakuwaje uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye sanduku la kura, kuna hatari ya CCM, kuyarejesha majimbo yote ya upinzani mwaka 2020, hivyo Tanzania kuanza safari ya kuelekea kuwa ni nchi ya vyama vingi jina tuu, lakini ukweli tunaelekea kuwa nchi ya chama kimoja.

NB. Kipindi kikiwa tayari, nitakipandisha humu umsikilize mwenyewe.

Wasalaam.

Paskali

Njia iliyopo kwasasa ni opposition kutokubali kupigwa au kukamatwa kwa viongozi wao likitokea vurugu iwe ya kufa mtu. CCM wameshaona kuwa wapinzani na wanachama wao ni waoga. Sisi sote ni watanzania hivyo kama wameamua kupiga na chadema wajibu mapigo. Kumbukeni siasa ya zanzibar kabla Lowassa ajaingia opposition ilikuwa ni jino kwa jino. Bila hivyo hakuna uchaguzi. Na inatakiwa opposition waanze sasa kuandaa maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hata kama watakataa wajitokeze. Yaani kinachotakiwa sasa ni ccm na polisi kuanza kuua watu mpaka tufike 2020 mambo yatakuwa sawa na tume huru itakuwa imepatikana. Opposition mnachotakiwa kwa sasa ni siasa ya iba na wewe iba, piga na wewe piga, ua na wewe ua. Hakuna kuogopa acha wanachama wa opposition ambao ni watanzania wauwawe. Andaeni mikakati kuanzia Zanzibar kama inalipuka ilipuke. Wanaopposition hasa viongozi hamtaishi milele. Angalieni mwenzenu yupo kitandani alishakufa sasa ninyi waogopa nini fanyeni mikutano yenu ya ndani kuhamasisha wanachama mkiibuka ni maandamano ya nguvu. Hata wakijitokeza wachache mtaendelea kuandaa nyingine na nyingine kwani wananchi wataamka
.
 
Uvumilivu Mkuu una kikomo chake na wananchi wakisema basi tumeshoshwa kufanyiwa udhalimu ndani ya nchi yetu, kuonewa, kunyanyaswa, kudhalilishwa kama vile tuna serikali ya makaburu ya Afrika Kusini kutakuwepo na patashika na nguo kuchanika.

Siku Polisi watakapoamua kuweka mitutu yao chini na kuungana na Wananchi kupinga udhalimu, unyanyasaji, mauaji, udhalilishwa wa Watanzania ambao hawana hatia yotyote ile bali kosa lao kubwa la kuuawa, kuteswa, kupigwa ni kutumia haki yao ya kikatiba kuikosoa Serikali au kuhudhuria mikutano ya vyama ambavyo wanaviunga mkono basi siku hiyo ndiyo itakuwa ya ukombozi.

Tumeyaona hayo katika nchi mbali mbali duniani ambapo pamoja na nguvu za dola lakini Wananchi waliposema sasa basi nguvu ya dola haikufua dafu kwenye NGUVU YA UMMA. Tumeona kule Misri, Tunisia na hivi karibuni Zimbabwe ambapo hawa waliodhani wataendelea kufanya udhalimu milele kwa Wananchi kibao kiligeuzwa kwako ama kwa kuondolewa madarakani kwa nguvu na kushtakiwa kwa maovu mbali mbali waliyoyafanya wakiwa madarakani.

Tusikubali kabisa Tanzania yetu ifanywe Burundi au Rwanda nyingine na kundi la wahuni, wauaji na mafisadi wachache ambao nia yao kubwa ni kung'ang'ania madaraka kwa gharama yoyote ile ikiwemo kufanya mauaji.

Njia iliyopo kwasasa ni opposition kutokubali kupigwa au kukamatwa kwa viongozi wao likitokea vurugu iwe ya kufa mtu. CCM wameshaona kuwa wapinzani na wanachama wao ni waoga. Sisi sote ni watanzania hivyo kama wameamua kupiga na chadema wajibu mapigo. Kumbukeni siasa ya zanzibar kabla Lowassa ajaingia opposition ilikuwa ni jino kwa jino. Bila hivyo hakuna uchaguzi. Na inatakiwa opposition waanze sasa kuandaa maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hata kama watakataa wajitokeze. Yaani kinachotakiwa sasa ni ccm na polisi kuanza kuua watu mpaka tufike 2020 mambo yatakuwa sawa na tume huru itakuwa imepatikana. Opposition mnachotakiwa kwa sasa ni siasa ya iba na wewe iba, piga na wewe piga, ua na wewe ua. Hakuna kuogopa acha wanachama wa opposition ambao ni watanzania wauwawe. Andaeni mikakati kuanzia Zanzibar kama inalipuka ilipuke. Wanaopposition hasa viongozi hamtaishi milele. Angalieni mwenzenu yupo kitandani alishakufa sasa ninyi waogopa nini fanyeni mikutano yenu ya ndani kuhamasisha wanachama mkiibuka ni maandamano ya nguvu. Hata wakijitokeza wachache mtaendelea kuandaa nyingine na nyingine kwani wananchi wataamka
.
 
Unaweza Ona Watu Wanacheza Ngoma Lakini Husikii Sauti Ya Ngoma, Ukadhani Ni Vichaa Kumbe Wewe Ndio Kiziwi.!!

Wakati Mnataka Kuaminisha Umma Kuwa Upinzani Hatuna Hoja, Turejee Hoja Kuu Mbili za Msingi Bunge Live na Mikutano ya Kisiasa (Uhuru wa Kutoa Maoni), Hapa Ndipo Sehemu Sahihi ya Kupimana Kwa Hoja.

Nani alitudanganya kazi za vyama vya siasa ni kupambana na ufisadi na kuleta maendeleo? Hizo ni mojawapo ya kazi za serikali. Chama tawala kuishauri serikali yake, vyama vya upinzani kushauri na kuikosoa serikali na chama tawala. Hakuna ukomo wa maendeleo


Wale Wanasifia Kila Kitu Kinachofanywa Na Serikali!! Hawa wanaponda kila kitu kinachofanywa na serikali!! Halafu eti Wanachekana Na Kuzomeana Wakati Wako Kwenye Kundi Moja.

Then nakuomba kesho uandike thread ya kupinga mauaji kwenye uchaguzi.

mr mkiki.
Yes, una uelewa mpana sana ndugu. Safi sana
 
Inasikitisha sana wewe hoja ya msingi kwako ni BUNGE LIVE na mikutano, watanzania hawataki kusikia hoja za kijinga namna hii. Endeleeni kupasha benchi joto mpaka mtakapopata akili.
Maana ndio kunakojadiliwa hoja nzito

Mfano bajeti
Ripoti za CAG
Mipango ya maendeleo
Miswada ya sheria
Uwajibikaji wa serikali

Usisahau pia hoja mbadala hutolewa humo kupitia hotuba za mawaziri vivuli pamoja na bajeti kivuli sasa Huoni hoja ya bunge live inabeba ajenda nyingi sana za kuonyesha SERA MBADALA za upinzani
 
Mauaji yapi kwenye uchaguzi yametokea? Jana na leo nimeangalia taarifa za habari chanel 10, azam na itv sijasikia taarifa ya mauaji.
Alafu hayo 'mauaji' ndo yangezuiliwa na bunge live unalotaka??
Ufipa mnasomeshwa ujinga.
Ninyi ndio wajinga, kwa sababu mnashindwa kutumia akili badala yake mnatumia nguvu na polisi ili mshinde uchaguzi.
 
Mkuu Mkwepa Kodi, kama sheria, taratibu na kanuni zinakutaka ujaze fomu ya malalamiko ili iende NEC, WEWE UNALALAMIKIA KWENYE MEDIA TUU BILA KUJAZA FOMU, nec WANAKUWA WAKO RIGHT, HAKUNA ALIYELALAMIKA.

Ila hili la umuhimu wa elimu kwa mpiga kura nimelizungumza, na mimi nitajitolea kutoa elimu hiyo bure.

Paskali

Taasisi zinazotakiwa kuwa za umma (ikiwemo Tume ya Uchaguzi) kwa maslahi ya umma haziaminiki sio tu kwasababu ya matendo yao, bali pia kwa jinsi zinavyoundwa kwa teuzi za rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala. Pamoja na hayo, taratibu za sheria zilizopo kwasasa lazima zifuatwe ili kutimiza masharti ya sheria hizo husika. Kama vyama vya upinzani (ikiwemo CHADEMA) havijalalamika rasmi kwa mujibu w sheria, basi vimekosea.. Kulalamika kwenye Media peke yake haitoshi.

Hata kama malalamiko hayo hayatochukuliwa hatua kama ilivyo ada, ni muhimu kuendelea kutimiza masharti/wajibu wa kisheria wakati njia nyingine za hatimaye kusikilizwa zinatafutwa na kutumiwa.

Kama Tume ya Uchaguzi itaendelea kama ilivyo na kupatikana kwake kama kulivyo, malalamiko ya kutokuwa na imani na endeshaji wake wa chaguzi yataendelea tu.
 
Unaweza Ona Watu Wanacheza Ngoma Lakini Husikii Sauti Ya Ngoma, Ukadhani Ni Vichaa Kumbe Wewe Ndio Kiziwi.!!

Wakati Mnataka Kuaminisha Umma Kuwa Upinzani Hatuna Hoja, Turejee Hoja Kuu Mbili za Msingi Bunge Live na Mikutano ya Kisiasa (Uhuru wa Kutoa Maoni), Hapa Ndipo Sehemu Sahihi ya Kupimana Kwa Hoja.

Nani alitudanganya kazi za vyama vya siasa ni kupambana na ufisadi na kuleta maendeleo? Hizo ni mojawapo ya kazi za serikali. Chama tawala kuishauri serikali yake, vyama vya upinzani kushauri na kuikosoa serikali na chama tawala. Hakuna ukomo wa maendeleo


Wale Wanasifia Kila Kitu Kinachofanywa Na Serikali!! Hawa wanaponda kila kitu kinachofanywa na serikali!! Halafu eti Wanachekana Na Kuzomeana Wakati Wako Kwenye Kundi Moja.

Then nakuomba kesho uandike thread ya kupinga mauaji kwenye uchaguzi.

mr mkiki.

Kamanda: use your head usibishe gfor the sake of kubisha. Mayala is right. Mwangalie Lema anaongea saa nzima hajaomba kura wala kunyenyekea, badala yake anajisifu kukaa jela na kuwauliza "nani ataishi milele" kama vile ni watoto taahira:

 
Hili Mkuu mie linanisikitisha sana. Sikutegemea hata siku moja kulipwa hili wala kulisikia na cha kusikitisha zaidi ni hawa wahuni waliojivisha ngozi ya uongozi kuliruhusu hili na kukaa kimya ili tu waweze kupata ushindi wa kijambazi bila kujali hizi chuki za kutisha wanazozipandikiza miongoni mwa Watanzania ambazo zinaweza kudumu kwa miaka chungu nzima ijayo na kuwa chanzo cha machafuko ya hali ya juu nchini.

Leo Tanzania imefikia hatua ya Mtanzania mmoja kumnyanyulia Panga Mtanzania mwingine akiamini hiyo ndio njia sahihi ya kushinda na kuwa kiongozi!
 
Back
Top Bottom