Riadha jr
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 567
- 329
Kwa hivyo wangejitoa wakati vitimbi vimeanza baada ya uchaguzi kuanza? Shameless kabisa
Ninyi stahiki yenu ni hii
20 Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!
Isaya 5 :20
Kwenu mtu akifa huwa mnasubiri daktari aandike ripoti kuwa huyu kafa? Si we mwenyewe unaona tu mtu kweli kafa na dokta anakwambia tu kafa then taarifa baadae?
Ninyi ndiyo waandishi mnaotuharibia nchi hii sio siri.
Nimeongea nikiwa huru sina kadi ya chama hapa
hata ukiwa nayo mkuu huo ndo ukweli