Kailima Ramadhan: Uchaguzi 2015 ulikuwa huru na wa haki, CHADEMA imeshindwa kihalali! Hakuna upendeleo kwa CCM, NEC ni Tume huru

Kwa hivyo wangejitoa wakati vitimbi vimeanza baada ya uchaguzi kuanza? Shameless kabisa
Ninyi stahiki yenu ni hii

20 Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!
Isaya 5 :20


Kwenu mtu akifa huwa mnasubiri daktari aandike ripoti kuwa huyu kafa? Si we mwenyewe unaona tu mtu kweli kafa na dokta anakwambia tu kafa then taarifa baadae?

Ninyi ndiyo waandishi mnaotuharibia nchi hii sio siri.

Nimeongea nikiwa huru sina kadi ya chama hapa

hata ukiwa nayo mkuu huo ndo ukweli
 
Nijuavyo mimi, kisheria, wananchi hawaruhusiwi kuvaa mavazi au kitu chochote kinachotambulisha vyama vyao siku ya kupiga kura. Kuna picha zilizorushwa na mashabiki jana kuonesha wahanga wa physical violence, ambao baadhi yao wamevaa mavazi ya vyama vyao.

Hapa naona possibilities mbili:
1. Mashabiki wanatumia vibaya jukwaa hili kwa kuleta picha zisizohusiana na yaliyojiri siku ya uchaguzi ili kupotosha wasomaji.
2. Mashabiki, kwa makusudi, hawataki kufuata sheria na hivyo kujisababishia kasheshe isiyokuwa ya lazima!

mbona ckuelewi mkuu ulicho kiwasilisha hapa na mada husika tofauti kabsaa
 
Mkuu Gamba la Nyoka, msimamo wangu kuhusu kilichotokea Zanzibar uko wazi kabisa, Jecha hakuwa na mamlaka yale ya kujiugeuza ZEC, alichofanya Jecha ni kitendo haramu, lakini ili haramu iwe ni haramu kweli, lazima iharimishwe, haramu isipoharimishwa hugeuka halal!. Kwa vile ile haramu ya Jecha haikuharimishwa, hivyo ikahalalishwa na uchaguzi wa marudio.

Pia nikatolea mfano wa kubakwa. Kubaka ni kosa la jinai, lakini ili liwe kosa, lazima anayebakwa alalamike, mwanamke akibakwa asipolalamika, na akabakwa tena na tena, atahesabika ameridhia, hivyo Wazanzibari katika umoja wao, wameridhia unakaji huu wa demokrasia Zanzibar, kwa sababu hakuna yoyote aliyelalamika rasmi, kulalamikia kwenye media sio utaratibu rasmi wa kuwasilisha , malalamiko.

Kuhusu hili la Zanzibar, mimi mwenyewe tuu nimepandisha nyuzi Zaidi ya 10 na hizi ni baadhi tuu.
  1. Zanzibar: Kama Maalim Kajitangazia Ushindi, kwa nini hajashitakiwa? Jecha Kapata Wapi Mamlaka ile?
  2. Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda
  3. Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote
  4. Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar?
  5. Zanzibar: Japo SMZ ya SUK sio de jure tena bali ni de facto, lakini ipo!, na hakuna aliyejiuzulu!
  6. CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake
  7. Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!.
  8. Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar ni Huru na Haki! Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!
  9. Uhalali wa Rais Dr. Shein Wa Zanzibar ni Kutokana na Uchaguzi Halali, Huru na Wa Haki! .
  10. Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
  11. Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi Zilizopita?!
  12. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Paskali

Nakubaliana na wewe mkuu. Mfano mdogo tu, JPM amepiga marufuku mikutano ya kisiasa, hakuna hatua vyama vya upinzani vimechukua kupinga uvunjaji huo wa katiba. Wamekaa kimya, maana yake wamekubaliana na uvunjaji huo wa katiba. Na nakumbuka ulimuuliza JPM kwamba anapata wapi madaraka ya kupiga marufuku vyama vya siasa kufanya mikutano, hakutoa jibu zaidi ya kusema maana ya jina lako ni njaa na kuna mhimili uliojichimbia zaidi kuliko mingine. Kwa hiyo haramu imehalalishwa ni siyo haramu tena.
 
We ndo mhuni hujitambui una ushahidi kua chadema ni wauwaji OK so waliompiga Lisu risasi ni chadema mwehu kabisa wewe do you have the confirmation that chadema is the killer?
 
Kesi ya kenge upeleke kwa mamba unaakiri au matope
Upumbavu wa vijana wa nchi hii umepitiliza vipimo vya kimataifa! Yaani hawajitambui hata kidogo na wamegeuzwa tarumbeta ili hali hawana ajira kutokana na mfumo mbovu wa chaguzi zetu. Kazaneni kushangilia ila baadaye usijenipiga mzinga wa jero!
 
wazungu wametususa,..
ni swala la sisi wenyewe kukomesha ushenzi huu
unajua ni dharau pale ninapoenda kupiga kura halafu unaipindua kura yangu
Mkuu Nyabhingi, nakiri tuna tatizo. Dawa ya tatizo ni kulikabili kwa kuchukua hatua stahiki na sio kuishia kulalamika tuu bila kuchukua hatua zozote.
P.
 
Mkuu BAK, uchaguzi ni process yenye sheria, taratibu na kanuni, zikiwemo taratibu za kuripoti malalamiko yoyote, kama hayo yote yametokea na hakuna yoyote aliyelalamika rasmi, hadi uchaguzi unakamilika, hakuna yoyote aliyelalamika!, na hata kule kujitoa kwa Chadema, haikujitoa bali ilisusa tuu, kama ilivyo kanuni, unakuwa mgombea kwa kujaza fomu, na kujitoa ni kwa kutoa taarifa rasmi ya maandishi, na sio kuwaambia tuu waandishi wa habari. Tangazo lile ya kujitoa, lilipaswa kufuatiwa na kujaza fomu ya malalamiko, na kutoa taarifa rasmi ya kujitoa. Kama hakuna malalamiko yoyote registered, then tume iko right, no one complained!.

Paskali
Well said
 
Mkuu Nyabhingi, nakiri tuna tatizo. Dawa ya tatizo ni kulikabili kwa kuchukua hatua stahiki na sio kuishia kulalamika tuu bila kuchukua hatua zozote.
P.
Mkuu utaishia kuambiwa unamtetea Msukuma mwenzio. Hawa vijana wengi wamepofushwa kifikra. Unawapa fact za uchaguzi na procedure zake wao wanalalama na issues za mauaji. Issue ya mauaji inaleta public sympathy tu lakini haibadili hatua za uchaguzi kisheria kama hukufata utaratibu. Watu wamekufa na inasikitisha lakini hapa hoja kuu ni Chadema wamefanya nini? Mbona Chadema imeshinda kesi kibao kwanini issues muhimu kama hizi wanaishia kulalamika mitandaoni tu? Wanalia Rais amekataza mikutano kisiasa kinyume na katiba alafu wanalilia mitandaoni na wafuasi wao wanaimba mapambio hayo hayo na kutusi kila anayewashauri.Labda upinzani wa kweli dhidi ya CCM bado haujazaliwa .....
 
Mauaji yapi kwenye uchaguzi yametokea? Jana na leo nimeangalia taarifa za habari chanel 10, azam na itv sijasikia taarifa ya mauaji.
Alafu hayo 'mauaji' ndo yangezuiliwa na bunge live unalotaka??
Ufipa mnasomeshwa ujinga.
Watanzania! Tumefanikiwa sana kupinga nguvu ya ukabila na udini mpaka ikashindwa kutugawa. Sasa tupinge na kukataa sumu ya uchama inayotaka kupenya ili kutugawanya
 
Kama Ccm inapendwa na wananchi uchaguzi uwe huru na haki tuone , mikono ya watawala wetu imejaa dhuluma na damu
 
Magu anatakiwa aelewe kuwa si rahisi hata kwa kutumia nguvu kuondoa wasiomkubali sanasana ataendelea kutugawa watanzania
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Mfano mdogo tu, JPM amepiga marufuku mikutano ya kisiasa, hakuna hatua vyama vya upinzani vimechukua kupinga uvunjaji huo wa katiba. Wamekaa kimya, maana yake wamekubaliana na uvunjaji huo wa katiba. Na nakumbuka ulimuuliza JPM kwamba anapata wapi madaraka ya kupiga marufuku vyama vya siasa kufanya mikutano, hakutoa jibu zaidi ya kusema maana ya jina lako ni njaa na kuna mhimili uliojichimbia zaidi kuliko mingine. Kwa hiyo haramu imehalalishwa ni siyo haramu tena.

una hakika akuna lolote lilofanyika kisheria je,malalamiko mangapi yana wakilishwa kisheria ila mkuu yupo above it-kumbuka mkuu uchaguzi ulikua by election na madiwani walinunuliwa jambo ambalo tuhuma hizi takukuru walipelekewa malalamiko je kesi hio ilifika wapi?polisi kuvuruga uchaguzi ni asilimia mia moja mkulu kuusika kwa hili kwani ndo mkuu wa ulinzi -nyeusi usiibadilishe kua nyeupe hili jambo lipo wazi ,paskali anasema ukibakwa lazma upeleke kesi mahakamani cjakataa ila je serikali inapo ona mtu kabakwa haina nguvu ya kuingilia kati,inapo ona uvi njifu waamani na sheria bila wanainch kupeleka malalamiko ni wajibu wa serikali kuingilia kati-ushabiki wa kinafki aujawai kuliacha bara la kiafrika na siasa za peku peku-
 
Back
Top Bottom