Kagoma kutoa mtoto aliyekubali kuzalishwa....

Hili wazo hawakumshirikisha mtu mwanzoni maana huyu mwanamke aliekubali. Mkataba ilikuwa baada ya mwezi tangu kuzaliwa mtoto achukuliwe na hawa wanandoa. Walishaingia gharama zote kununua kila kitu cha mtoto nyumbani kwao kwa ajili ya kachanga huyo as if huyu mkewe kajifungua. Sasa huyu mama alipoambiwa asaini mkataba kuwa hana haki tena na mtoto huyo kisheria ila atabakia kama mama mzazi na ataruhusiwa kukatembelea hako katoto kwa ridhaa ya wanandoa hawa hapo ndio kasheshe ilipoanzia. Huu mwaka wa tatu anakataa katu katu. Ustawi wa jamii wamesema huyo mama mtoto ndo ana uamuzi wa mwisho. Kuzaa tena nje haitawezekana maana umri umeshawatupa mkono na hawataki kurudia hili kosa. Kuhusu kuchukua mtoto yatima huyu baba kakataa maana alitaka alee damu yake mwenyewe ndo maana akatafuta mwanamke wa kufanya nae hiyo dili. Kweli wabongo nuksi, huyu dada hajui ni matatizo gani anasababisha kwenye nyumba ya watu na hata siku moja hawezi kuwa mke wa huyu baba never. Mtu na mkewe wanapendana sana na kiuchumi wako vizuri. Huyu mtoto angekuwa mrithi hapo baadae na nageweza msaidia mama yake cku za usoni (she is 25 years) ambaye yupo kwenye hali ya umaskini.
 
Huoni huyo dada anamtumia mtoto kumkomoa huyo baba kitu ambacho si kizuri?

Ndio maana tangu mwanzo nimesema hivi, huyu baba atumie akili za kiume hapo, ahakikishe huyu mama na mtoto ake wanakuwa salama, na matunzo ya mtoto atoe. Sioni kama ni haki mama huyu kunyanganywa mtoto wakati akiwa mdogo. Na hata kama anafanya kumkomoa huyo baba ni matokeo ya uamuzi mbaya walioufanya tangu mwanzo. Hakuna njia ingine hapo hata aende mahakamani huyu mama mtoto bado ana haki.
 
Hili wazo hawakumshirikisha mtu mwanzoni maana huyu mwanamke aliekubali. Mkataba ilikuwa baada ya mwezi tangu kuzaliwa mtoto achukuliwe na hawa wanandoa. Walishaingia gharama zote kununua kila kitu cha mtoto nyumbani kwao kwa ajili ya kachanga huyo as if huyu mkewe kajifungua. Sasa huyu mama alipoambiwa asaini mkataba kuwa hana haki tena na mtoto huyo kisheria ila atabakia kama mama mzazi na ataruhusiwa kukatembelea hako katoto kwa ridhaa ya wanandoa hawa hapo ndio kasheshe ilipoanzia. Huu mwaka wa tatu anakataa katu katu. Ustawi wa jamii wamesema huyo mama mtoto ndo ana uamuzi wa mwisho. Kuzaa tena nje haitawezekana maana umri umeshawatupa mkono na hawataki kurudia hili kosa. Kuhusu kuchukua mtoto yatima huyu baba kakataa maana alitaka alee damu yake mwenyewe ndo maana akatafuta mwanamke wa kufanya nae hiyo dili. Kweli wabongo nuksi, huyu dada hajui ni matatizo gani anasababisha kwenye nyumba ya watu na hata siku moja hawezi kuwa mke wa huyu baba never. Mtu na mkewe wanapendana sana na kiuchumi wako vizuri. Huyu mtoto angekuwa mrithi hapo baadae na nageweza msaidia mama yake cku za usoni (she is 25 years) ambaye yupo kwenye hali ya umaskini.


Dunia ina mambo, huyo mama mtoto ana utu aisee, yawezekana matatizo tu ndo yalimfanya afanye huo uamuzi.
Na huyo baba alitumia umaskini wa huyo dada kama njia ya kumtapeli amzalie mtoto, si mnyama huyo jamani.

Atumie tu akili hapo, hayo mambo ya wamchukue mtoto hayaniingii akilini. Wakubali tu walikosea, baba amshukuru Mungu amepata mtoto.
Huyo bi mkubwa atulie tu, akubali yote. Hapa akili za kiume zinatakiwa hapa.
 
Dunia ina mambo, huyo mama mtoto ana utu aisee, yawezekana matatizo tu ndo yalimfanya afanye huo uamuzi.
Na huyo baba alitumia umaskini wa huyo dada kama njia ya kumtapeli amzalie mtoto, si mnyama huyo jamani.

Atumie tu akili hapo, hayo mambo ya wamchukue mtoto hayaniingii akilini. Wakubali tu walikosea, baba amshukuru Mungu amepata mtoto.
Huyo bi mkubwa atulie tu, akubali yote. Hapa akili za kiume zinatakiwa hapa.

Sijakuelewa una maanihsa ni kitu haita kaa iwezekane au? ebu nipe ushauri ambao unaweza saidia pande zote mbili. Kumbuka mtoto anakua na lengo lilikuwa katoto kamzoee huyu bi mkubwa kama mama yake mzazi kabisa na sio mtu baki. Sasa miaka inavyozidi kwenda mtoto anachanganyikiwa whici is which. Upande wa mwanamke wamemwambia kama alikubali kutoa huyo mtoto iweje ghafla anakataa na kumyima mtoto baraka na maisha mazuri. Isitoshe huyu bint yi ana miaka 25 tu, ina maana ataolewa na atazaa watoto wengine huku huyu mmoja analelewa kwa wazazi wengine. Au?
 
ahh ndoa itavunjika kw amising ipi?
km mtoto hatak kutoa poa so iweje itikise WANANDOA MPK KUOANA?
km bibie alishirikishwa kwenye uo mchanyato shda itokee wap>


km uyo bmdogo kaanza kunogewa na jamaa iyo ni shda yake haina uhusiano na ndoa yao...wamfungie viooo..ela za matumizi wampe na si kuendekeza swaga nyngne na yeye(hawala)
 
Hili wazo hawakumshirikisha mtu mwanzoni maana huyu mwanamke aliekubali. Mkataba ilikuwa baada ya mwezi tangu kuzaliwa mtoto achukuliwe na hawa wanandoa. Walishaingia gharama zote kununua kila kitu cha mtoto nyumbani kwao kwa ajili ya kachanga huyo as if huyu mkewe kajifungua. Sasa huyu mama alipoambiwa asaini mkataba kuwa hana haki tena na mtoto huyo kisheria ila atabakia kama mama mzazi na ataruhusiwa kukatembelea hako katoto kwa ridhaa ya wanandoa hawa hapo ndio kasheshe ilipoanzia. Huu mwaka wa tatu anakataa katu katu. Ustawi wa jamii wamesema huyo mama mtoto ndo ana uamuzi wa mwisho. Kuzaa tena nje haitawezekana maana umri umeshawatupa mkono na hawataki kurudia hili kosa. Kuhusu kuchukua mtoto yatima huyu baba kakataa maana alitaka alee damu yake mwenyewe ndo maana akatafuta mwanamke wa kufanya nae hiyo dili. Kweli wabongo nuksi, huyu dada hajui ni matatizo gani anasababisha kwenye nyumba ya watu na hata siku moja hawezi kuwa mke wa huyu baba never. Mtu na mkewe wanapendana sana na kiuchumi wako vizuri. Huyu mtoto angekuwa mrithi hapo baadae na nageweza msaidia mama yake cku za usoni (she is 25 years) ambaye yupo kwenye hali ya umaskini.

Hapo kwenye bold umesema asaini mkataba kwamba ana haki na mtoto kisheria? Mwanzoni niliona uyo dada ana matatizo kumbe huyo baba hana akili, kama unaona hiyo ni rahisi ningekushauri umpe mkeo amzalie mtoto mmoja kisha maisha yaendelee au unaonaje?
 
Hapo kwenye bold umesema asaini mkataba kwamba ana haki na mtoto kisheria? Mwanzoni niliona uyo dada ana matatizo kumbe huyo baba hana akili, kama unaona hiyo ni rahisi ningekushauri umpe mkeo amzalie mtoto mmoja kisha maisha yaendelee au unaonaje?

Hawa jamaa ni wasomi na mambo yote wanataka yaende formal ili wasisumbuliwe. Hii ya kusaini kuwa wao ndio walezi wakuu wa mtoto na huyu asiwawekee pingamizi ni kutokana na mfumo wao wa maisha ya kikazi kuwa wanakuwa mda mwingi nje ya nchi hivyo wakitaka kusafiri na mtoto wasihitaji ruhusa from bio-mother na bibie asiwapangie nini cha kufanya nk. Yaani ni sawa na adoption. Katoto kazuri baba yake mtupu.
 
Ndugu yangu Mikataba yeyote ya kuzaa inje ya ndoa ni matatizo tu
Hunabudi kukubali tatizo hili
na huyu Mtoto wenu atabaki kuwa mtoto wenu tu hata kama akibaki kwa Huyo mama.
ANGALIA DNA za mtoto
Mambo ya pesa ni Utumwa kwenu na ni ujinga kwa huyo mama maana hajui kuwa siku nyie hampo atapata wapi pesa?
Huyu binti ajifunze kuwa resposile nje ya Ndoa yenu . ............. yatakayo mpata kwa usumbufu huu atakuja jilaumu.

Ndugu yangu MPENDE MKEO SIKUZOTE ZA MAISHA YAKO NA TUBUNI HIYO DHAMBI NA CHOMENI MOTO HUO MKATABA NA MSIRUDIE TENA
 
Dunia ina mambo, huyo mama mtoto ana utu aisee, yawezekana matatizo tu ndo yalimfanya afanye huo uamuzi.
Na huyo baba alitumia umaskini wa huyo dada kama njia ya kumtapeli amzalie mtoto, si mnyama huyo jamani.

Atumie tu akili hapo, hayo mambo ya wamchukue mtoto hayaniingii akilini. Wakubali tu walikosea, baba amshukuru Mungu amepata mtoto.
Huyo bi mkubwa atulie tu, akubali yote. Hapa akili za kiume zinatakiwa hapa.

Mkuu kama hayo yote niliyosema hujanielewa, basi naomba ujaribu kufatilia ushauri wa wapendwa wengine pia humu,
Halafu kama una muamini Mungu Jitaidi pia Kumwomba kwa unyenyekevu awasaidieni katika hilo.
 
Hawa jamaa ni wasomi na mambo yote wanataka yaende formal ili wasisumbuliwe. Hii ya kusaini kuwa wao ndio walezi wakuu wa mtoto na huyu asiwawekee pingamizi ni kutokana na mfumo wao wa maisha ya kikazi kuwa wanakuwa mda mwingi nje ya nchi hivyo wakitaka kusafiri na mtoto wasihitaji ruhusa from bio-mother na bibie asiwapangie nini cha kufanya nk. Yaani ni sawa na adoption. Katoto kazuri baba yake mtupu.

Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh!!

Wakati mwingine tunaabudu pesa kuliko Mungu.
Maisha ya kuigiza haya. Mwacheni mtoto na mama yake,


huyo baba akubali tu kumtunza mwanae akiwa kwa mama ee.
Hadi awe mkubwa. Akubaliane tu na mazingira na wakati uliopo sasa.
 
Hii kitu ya ya kuzaana kutoa mtoto alelewe na baba yake mbona ipo sana. Please tuangalie pande zote mbili.

Ndio ipo sikatai ila nadhani huyo bi mdogo ameshafanya huyo mtoto kama ndo mtaji wake cha muhimu huyo baba amlee mtoto akiwa huko huko kwa bi mdogo akikuwa afanye utaratibu mwingine wa jinsi kumpata.Na pia mimi naamini ndoa ni ya watu wawili tu sioni ni kitu gani kilichomfanya huyo mwanaume kufanya hvyo angekue muwazi kueleza wazazi wake ukweli kuhusu hilo na yeye,kukubali hali ya mkewe kwani mbona kanisa aliapa atakuwa kwa shida na raha?ila ndo hivyo ishatokea kilichobakia waka adapt mto2 mwingine mdogo kabisa hata kichanga wa siku hiyo kwenye vituo vya kulea watoto hapo pia itamsaidia huyo bi mdogo kupunguza kiburi na kujua kumbe ana mtoto mwingine sio wangu tu.
 
jamani msipoteze muda. huyo bwana na huyo bi mdogo wanapendana. wanawakoroga tu mandugu. Ukila nyama ya mtu utaendelea tu! weshapaendana hao. na hakuna dawa yule bi mkubwa alie tu, hana chake tena.
 
Wewe unawashauri kama nani kwanza?? Ulikuwepo wakati wanaandikiana huo mkataba???

Halafu watoto mbona sio shida sana waende msimbazi centre au mburahati kuna watoto wachanga kabisa pale unajichagulia tu kisa cha kuleta mwanamke mwingine nini???

Huo uamuzi si sahihi. na una hakika mwanaume hana shida yoyote?? Wamethibitisha hospital??

Mambo mengine sio uchawi ni akili zetu wenyewe zinakuwa finyu

umeongea kwa machungu sana ila ukweli mtupu.
Nashangaa kwanini baba hadi ametembea na mwanamke mwingine wakati kuna watoto kibao kwenye vituo angeweza kuchukua mmoja wamlee.
Damu ya mtu haipotezwi kizembe. Wasifanye mchezo.
 
ivi mwanamke mpaka akakubali kubeba mimba miezi tisa lazima kuna jambo alikuwa anategemea au wao walifikiri huyo dada ni mjinga sijui watu wengine huwa wanafikiria nini watoto wenye shida mbona wengi huyo baba amgeuze tu huyo dada nyumba ndogo biashara iishe
 
jamani msipoteze muda. huyo bwana na huyo bi mdogo wanapendana. wanawakoroga tu mandugu. Ukila nyama ya mtu utaendelea tu! weshapaendana hao. na hakuna dawa yule bi mkubwa alie tu, hana chake tena.

Nashukuru sana kwa post yako,
Huu ndio ukweli, kwa sababu walishakosea tangu mwanzo wa maamuzi yao.

Mwanaume atumie akili hapo sasa.
 
Nina rafiki yangu huu mwaka wa kumi na sita kaoa ila mkewe wa ndoa bahati mbaya hazai, jamaa yeye hana tatizo. Mkewe kamruhusu baada ya yeye kumwomba azae nje then amchukue kachanga huyo wamlee wao kama mtoto wao. Mtoto kazaliwa nje ya ndoa sasa ana miaka mitatu ila huyu mwanamke pamoja na kuingia mkataba na wanandoa hawa kagoma kumtoa mtoto mwaka wa tatu sasa na ndoa ya watu iko hati hati kuvunjika maana huyu bibie mdogo anawavuruga sana. Nimejaribu kusuluhisha kwa kila namna imeshindikana na kumbembeleza bibie kasema mtoto hatoi. Naombeni mawazo yenu.

Thanx in advance.
Ha ha haaaa, hivi kweli kabisa walitegemea kweli mwanamke azae na mumewe halafu ampe mtoto, cha msingi ni baba wa mtoto kuwa na busara atoe matunzo kwa mwanae... huku akiendelea kumpenda sana mke wake.... yote ni majaribu!!
 
Watu hamjui kutofautisha kulea mtoto yatima na mtoto wako mwenyewe. Hapa inshu ni kulea mtoto aliyetoka kiunoni kwa mwanaume. Mi namshauri huyo baba apotezee kama vile hajazaa nje kisha huyo mwanamke wa nje aende ustawi wa jamii walipane kisheria ndo atauona ujinga wake.

Tena akipigiwa simu kuhusu swala la kwenda kwa mtoto aende na Bi. Mkubwa katu asiende peke yake
 
Huyu jamaa hakutaka kulea yatima wakati uwezo wa kuzaa anao.
Mkewe alimruhusu kabisa na wakatafuta wote huyo dada na akakubali kuwasaidia. Tunahisi huyu dada kakutana na watu waliombadilisha na dili lote kuharibika. Tumeshasugua viatu jibu huyu dada anadai kamzoea mtoto hawezi kumtoa. Walijaribu kumtelekeza ikashindikana maana huyu jamaa akawa anaduwaa na mawazo yote kwa mtoto wake wa damu. Huyu mwanamke hadi kawa kama adui kwa mke wa ndoa kataki hata kumuona wakati mwanzo wa dili walikuwa wanaelewana tu.

Nashukuruni sana kwa mawazo yenu nimepata mwanga saana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom