Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kweli kabisa aanzekuaga kimya kimyaAliepewa ushindi wa kafulila aanze kukusanya vyake huko bungeni....kama kiyoyoz cha bunge keshakula imetosha akaanze upya
Kweli kabisa aanzekuaga kimya kimyaAliepewa ushindi wa kafulila aanze kukusanya vyake huko bungeni....kama kiyoyoz cha bunge keshakula imetosha akaanze upya
Kiboko yenu ndio huyoooo anakujaKwa maelezo yako hayo unaamini yanatosha kusema kuwa Kafulila kalikaribia bunge?. Piganeni mahakamani na sio kwenye mitandao...
Nasikia lumumba siku hizi ukipost chochote dhidi ya upinzani hasa lowasa unapewa udc,ongeza bidii kijanaHivi wewe bado tu zile buku mbili za lowassa zinakufanya uishii?
Mungu yupo pamoja nasi mkuuEeeh mungu baba,simama upande wa mwanao David Kafulila ili taifa lako la Tanzania likombolewe toka mikononi mwa madhalimu(CCM).AMEEN!
Maccm hawakosi la kusema mkuuHata kwa Mnyika Kibamba mlisema harudi,bt now yupo mjengoni,so kelele za chura..
Naongeza na pia nakupa pole kupost kwa misifa pale ufipa posho za buku mbili zimefutwaNasikia lumumba siku hizi ukipost chochote dhidi ya upinzani hasa lowasa unapewa udc,ongeza bidii kijana
Ukipata kibarua afadhali maana tutapunguza mazuzu hapa jfNaongeza na pia nakupa pole kupost kwa misifa pale ufipa posho za buku mbili zimefutwa
Hata siku ya hukumu mkipigwa toeni taarifa hivihivi...1.Mwendelezo wa kesi ya kamanda KAFULILA Leo katika mahakama kuu kanda ta Tabora.
Jaji wa mahakama kuu kanda ya Tabora amesema mahakama itatumia kujumulisha matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambazo zilizo na matokeo ya jimbo zima.
2. Hata hivyo jaji kaelekeza mahakama haitofungua masanduku ili kuhakiki matokeo ambayo ndio ilikuwa hoja ya HASINA ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mbunge.
3. Mungu anaendelea kututendea haki awajaze uzima wale ote wanakwenda kumalizia kazi nyepesi ya kujumulisha matokeo.
Huyo ni mtu mvivu wa kufikiri na kazi pia, kwake buk 7 karidhika kabisaUkipata kibarua afadhali maana tutapunguza mazuzu hapa jf
Umeonaeeeeee?Huyo ni mtu mvivu wa kufikiri na kazi pia, kwake buk 7 karidhika kabisa
Sijui Wenje kwanini hakushtuka mapema kama Kafulila!