Rutayuga91
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 449
- 249
Kafulila akirudi bungeni petroli itauzwa lita sh 700
Haaa kweli?!
Basi naanza mfungo maalumu kumuombea ashinde kesi!!
Kafulila akirudi bungeni petroli itauzwa lita sh 700
Wasiempenda anakuja,so waanze kukusanya virago
Sijui Wenje kwanini hakushtuka mapema kama Kafulila!1.Mwendelezo wa kesi ya kamanda KAFULILA Leo katika mahakama kuu kanda ta Tabora.
Jaji wa mahakama kuu kanda ya Tabora amesema mahakama itatumia kujumulisha matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambazo zilizo na matokeo ya jimbo zima.
2. Hata hivyo jaji kaelekeza mahakama haitofungua masanduku ili kuhakiki matokeo ambayo ndio ilikuwa hoja ya HASINA ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mbunge.
3. Mungu anaendelea kututendea haki awajaze uzima wale ote wanakwenda kumalizia kazi nyepesi ya kujumulisha matokeo.
kama ni hivyo,ushindi hauko mbali1.Mwendelezo wa kesi ya kamanda KAFULILA Leo katika mahakama kuu kanda ta Tabora.
Jaji wa mahakama kuu kanda ya Tabora amesema mahakama itatumia kujumulisha matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambazo zilizo na matokeo ya jimbo zima.
2. Hata hivyo jaji kaelekeza mahakama haitofungua masanduku ili kuhakiki matokeo ambayo ndio ilikuwa hoja ya HASINA ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mbunge.
3. Mungu anaendelea kututendea haki awajaze uzima wale ote wanakwenda kumalizia kazi nyepesi ya kujumulisha matokeo.
AmeeeeeenMkuu kweli kabisa na mara zote mnyonge ndio huwa na msaada wa mungu,tuzidi kumuombea
Tushawazowea vijana walumumbaHizo mbio ni za sakafuni maana kamwe hatoshinda ....
Naona yule muhongo sasa hivi anatetemeka kila akisikia habari za KafulilaWasiempenda anakuja,so waanze kukusanya virago
Ni kurudiwa uchaguzi si vinginevyo
Mungu ni mwema na mwaminifu. Tunamuomba aendelee kumpigania kafulilakama ni hivyo,ushindi hauko mbali
Kwa kweli haki itendeke kwa Kafulila na Wenje. Mimi nina imani kubwa sana Mahakama za juu hasa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa. Wanatenda sana haki.