Kafulila afichua siri za watumishi - kuna wanaolipwa 20,000,000/= kwa mwezi

Hivi ni kwa nini watu hupenda kutoa takwimu za kubuni bila kuzifanyia uchunguzi...? Kwa mfano mimi nina ushahidi kuwa gavana wa BOT hulipwa USD 25,000 sio Tzs 20m . kwa hiyo natilia mashaka takwimu nyingine kwa kuwa kwa hii niiijuayo ya BOT governor imepunguzwa sana Tzs 20m sidhani kama Tanzania ingeweza kumpata ndulu kutoka WB!!!

Sasa acha u-Kihiyo hapa , kwani USD 25,000/= ni sawa na shilingi ngapi za ki-Tanzania?
 
@Abraham. Sijui kama unaelewa kwamba kuwa gavana wa benki kuu ktk nchi hizi masikini maana yake wewe umekalia mapesa yote na unaweza chezea utakavyo? Kwa hiyo Ndulu hata angeambiwa atalipwa mshahara wa shilingi milioni 5 ,naamini angechagua kazi ya ugavana wa BOT akaachana na kazi WB ya dola 25,000.
 
Kafulila anaweza kuwa na kesi ya kujibu maana mshahara wa mtu ni siri yake na mwajiri wake...najaribu ku-brainstorm
 
Tukumbuke kuwa mishara inayojadiliwa hapa ni mishara ya taasi za serikali/agencies. Ukitaka kuziangalia, hizi taasisi/mashirika yameanzishwa kisheria kwa ajili ya kuregulate masuala fulani either fedha, hifadhi za jamii, miindombinu, mawasiliano, biashara, afya nk. Hawa wanafanya kazi independently na central/local government. Hawa ni kama semi-government, wanajiamulia mambo yao wenyewe, including mishahara.
Sioni kama haya mashirika yanatakiwa yalaumiwe kwa kuwa na kiwango kikubwa cha mishahara cuz ni kutokana na majukumu na dhamana waliyoibeba. Ndani ya hayo mashirika kuna madaktari, waalimu, wahandisi, wahasibu na watu wa kila professional!
Chamuhumu hapa ni kuangalia serikali itainua vipi mishahara ya watumishi wake wa Central n Local government ireflect current state ya economy na mfumuko wa bei uliopo!

Nakupongeza kwa kunielewa, kwani tunachohitaji ni kujadili hoja na kujaribu kupata mwafaka nini kifanyike katika kujenga mfumo wenye kuridhia wengi badala ya wachache tu kujinufaisha na wengi kubaki maskini wa kutupwa. Kujadili hoja kama ulivyofanya hapa hata kama uwe kinyume cha wengi ni bora kwa vile unakuwa umetoa wazo la kufikirisha kuliko mazoea ya mipasho ambayo hayasaidii kuichambua hoja
 
Na ndio maana hata wananchi wa nchi zinazotoa misaada kwa nchi zinazoendelea siku hizi wanalalamika kuwa fedha za wananchi masikini wa nchi tajiri zinapelekwa kunufaisha wananchi matajiri wa nchi masikini...
 
Big up Kafulila,wewe ni broad minded MP kati ya mliopo mjengoni.Shida hapa ni sera (policy). Angalia mfano wangu.niliajiriwa 1978 kwa mshahara wa tshs 770.=per month.wakati huo dola exchange ilikuwa tshs 6.95/$ maana yake nilikuwa napata $ 110.00/month. Nimeacha ajira mwaka 2004 kwa mshahara wa tshs 282,000/= wakati dolla exchange ilikuwa tshs 1385.00/$ maana yake nimaacha kazi nikipata $203.00/month kwa utumishi wa miaka 26.at that time 1978 the highest note value was a 5/=shilling note which is now carrying the same value as our current 5000/=shilling note.hawa watu wamekua wakiongeza sifuri kila wanusapo kelele za hali ngumu ya maisha.Hapa si suala la posho ya tshs 200,000/= kwa wabunge, angalia material value ya pesa unayopokea kama mshahara wako leo,kwani wapo watu na hasa vijana wanapokea dolla 110.=ambazo ni sawa na tshs 180,000.= wameridhika.guys this is less than tsh 770.= niliyokuwa napokea 1978,ondoa sifuri tatu za mwisho utajua thamani halisi.
 
Suala la kumshambulia mtu badala ya hoja aloijenga ni ujinga!Kafulila kajenga hoja, ajibiwe au ichangiwe hoja kama ipo chanya ama hasi kiasi gani!Uwiano wa mishahara na posho ktk kada mbali2 HAUPO hapo!Professional hierarchy HAIJAZINGATIWA nchini!2csome?
 
427254_283836905017217_100001727290468_821661_1663231869_n.jpg
 
Ajiandae na nini acheni kutisha watu kama ni kufa hakuna atakae baki duniani .... Fanya kazi yako Kafulila usiogope mtu
 
Hili suala la mishahara ya wafanyakazi wa umma pamoja na posho zao halijakaa vizuri hata kidogo pia utaratibu waposho sioni sababu ya mtumishi kulipwa posho anaposafiri kikazi kwani anapokuwa safarini mshahara wake upo palepale. Posho hizi hizi zinawafanya watumishi wa umma ambao ni mabosi kupora hata safari ambazo hawastahili kwenda wao. Napendekeza safari zote za nje na ndani ya nje ziwe bila malipo na badala yake serikali ilipie gharama za malazi na chakula kwa watumishi wake.

Hili linawezekana KABISA ninafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa tangu mwaka 1999 na huwa nasafiri sana nje ya nchi lakini sijawahi kulipwa hata senti moja kama posho ya safari. Niliwahi kuwachomekea hiyo hoja wakati fulani na jibu lilikuwa hivi *Man are yuo crazy! everything is covered in your salary* kama kungekuwa hakuna posho za safari za nje hata idadi ya watu wanaokuwa kwenye misafara ya raisi nje ya nchi ingepungua sana. Nawaapia kwamba kuna watu wanahonga mamilioni ili majina yao yawepo kwenye hii misafara kwa ajili ya posho tuu na wanapokuwa saferini kazi zao zinalala.Naomba kuwasilisha.

Mkuu nakuunga mkono nami ndugu yangu yuko mashirika ya nje anakuambia hawana hizo,

Serikali yatu imekuwa kichwa cha mwendawazimu kwanini nasema hivyo ukiangalia sana hotuba za Rais JK ni si ha sa kwa wingi na huyo huyo JK anakuambia si ha sa ni mchezo wa kuzungusha tuuu na ndicho kinacho endelea kuanzia IKULU hadi huku serikalini siku zote ni kubadirisha HOTUBA NYARAKA na BUDGET kila kukicha hakuna utekelezaji wa kilicho andikwa kifanyike hata Papers zote zinazo letwa na wataalamu hutupwa mbali kabisa na ndizo hazitakiwi kabisa kwa mtindo huo wategemea serikali iko makini au ni uhuni na si ha sa za kuzungusha kama JK anavyo sema?

Juzi hapa kumekuwa na mzunguko wa maneno katika hili seke seke la Madaktari kugoma na likaingizwa na la posho wengine wanasema JK kaisha sign posho huku wengine wanakuambia haja sign posh ki utendaji hapo serikali ya CCM ikipima ni zero kwanini serikali hasitoke msemaji mkuu wa serikali na akatamka period na ikawa ndio hilo ofice zote za serikali zika fuata kauli hiyo?? mkiobna serikali inayumba ndiko huko wanasema serikali legelege alafu JK anakuwa mkali kitu kiko live watu au watumishi wake wanajiropokea hovyo hovyo na vyombo vya habari badara ya kukosoa navyo vyashadadia hawatupi reference za matukio ya kauli za viongozi wakiji kanganya mfano mzuri ni kenya NTV huwa wanakipindi kinaitwa BULLSEYE huwa kina jumuisha matukioa na vitendo vingi vya viongozi wa kenya tena kwa video live sio kwa sauti tuu kila raia anashudia kwa runinga yake homu hapo ndipo utapima akili ya viongozi tulio nao hapa kwetu Media huwa zanunualiwa sijui haina reference yoyote kuiambia jamii this is what your so and so said last time and currently that so and so he/she has change the words into this side hapo wananchi wataelewa vyema.

Bunge letu nalo limekuwa kama part ya MEDIA manaa kelele nyingi ila utekelezaji mbovu kabisa haliwajibishi serikali kama ipasavyo kwa nchi nyingi hapa tu kungelikuwa na uchaguzi mwingine maana wana CCM waliko bungeni wana beba upuuzi mwingi na wanapelekwa kama bendera fata upepo wanajua fika hiki sicho ila kwakuwa chama kimesema basi tukubali unafki mkubwa sana huo uliapa nini bungeni kwa kushika msaafu na biblia


 
Na ndio maana hata wananchi wa nchi zinazotoa misaada kwa nchi zinazoendelea siku hizi wanalalamika kuwa fedha za wananchi masikini wa nchi tajiri zinapelekwa kunufaisha wananchi matajiri wa nchi masikini...

Hili mkuu liko wazi na tayari nchi za wenzetu wameanza kutuma wapelelezi kuja kuchunguza je hizo pesa zinazokuja huku kwetu zafika kwa walengwa au? na ukitoa siri nchi wahisani wana kukatia chako

 


Mkuu nakuunga mkono nami ndugu yangu yuko mashirika ya nje anakuambia hawana hizo,

Serikali yatu imekuwa kichwa cha mwendawazimu kwanini nasema hivyo ukiangalia sana hotuba za Rais JK ni si ha sa kwa wingi na huyo huyo JK anakuambia si ha sa ni mchezo wa kuzungusha tuuu na ndicho kinacho endelea kuanzia IKULU hadi huku serikalini siku zote ni kubadirisha HOTUBA NYARAKA na BUDGET kila kukicha hakuna utekelezaji wa kilicho andikwa kifanyike hata Papers zote zinazo letwa na wataalamu hutupwa mbali kabisa na ndizo hazitakiwi kabisa kwa mtindo huo wategemea serikali iko makini au ni uhuni na si ha sa za kuzungusha kama JK anavyo sema?

Juzi hapa kumekuwa na mzunguko wa maneno katika hili seke seke la Madaktari kugoma na likaingizwa na la posho wengine wanasema JK kaisha sign posho huku wengine wanakuambia haja sign posh ki utendaji hapo serikali ya CCM ikipima ni zero kwanini serikali hasitoke msemaji mkuu wa serikali na akatamka period na ikawa ndio hilo ofice zote za serikali zika fuata kauli hiyo?? mkiobna serikali inayumba ndiko huko wanasema serikali legelege alafu JK anakuwa mkali kitu kiko live watu au watumishi wake wanajiropokea hovyo hovyo na vyombo vya habari badara ya kukosoa navyo vyashadadia hawatupi reference za matukio ya kauli za viongozi wakiji kanganya mfano mzuri ni kenya NTV huwa wanakipindi kinaitwa BULLSEYE huwa kina jumuisha matukioa na vitendo vingi vya viongozi wa kenya tena kwa video live sio kwa sauti tuu kila raia anashudia kwa runinga yake homu hapo ndipo utapima akili ya viongozi tulio nao hapa kwetu Media huwa zanunualiwa sijui haina reference yoyote kuiambia jamii this is what your so and so said last time and currently that so and so he/she has change the words into this side hapo wananchi wataelewa vyema.

Bunge letu nalo limekuwa kama part ya MEDIA manaa kelele nyingi ila utekelezaji mbovu kabisa haliwajibishi serikali kama ipasavyo kwa nchi nyingi hapa tu kungelikuwa na uchaguzi mwingine maana wana CCM waliko bungeni wana beba upuuzi mwingi na wanapelekwa kama bendera fata upepo wanajua fika hiki sicho ila kwakuwa chama kimesema basi tukubali unafki mkubwa sana huo uliapa nini bungeni kwa kushika msaafu na biblia



Ujumbe ulioandika tumeupata, maana vyombo vya habari vingekuwa vinanukuru matukio na matamshi ya viongozi wangeshtukia wanaingia vitanzini wakisema kinyume cha walichokitamka kwa vile kunakuwa na reference ya matukio yaliyopita. Lakini kwa hali ilivyo sasa vyombo vya habari vinanunuliwa na kumbukumbu hazitunzwi matokeo viongozi kujenga hoja za kudanganya kinyume cha matamshi ya awali. Na hakuna wa kumnyooshea kidole wakati vyombo vya habari vingekuwa vinafichua ukweli huo.
 
hii inaleta dharau hata kwa baadhi ya taaluma muhimu kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom