Kaduma: Rais Magufuli arejeshe nyumba za Serikali

Kwani hizi nyumba ziliuzwa kwa tenda, kumpa fursa mtumishi yeyote wa serikali ku bid ili apewe fursa ya kununua na kuzijenga mpya za kisasa kama unavyosema au ni utaratibu gani uliotumiwa kuchagua waliopewa.
Acha uwongo mweupe bid????
 
Na endapo inaonekana makubaliano yalipendelea upande mmoja. Waliuziwa sh ngapi? Hiyo ina reflect real value ya property za Oysterbay for instance? Na masharti waliyopewa wanayafuata?
 
Akirudisha hizo nyumba nitatembea uchi kutoka mwenge hadi morocco
Haitawezekana, utakamatwa na Polisi, sheria hairuhusu hilo. Lakini umeona kuonesha watu matako yako ndo kielelezo cha hisia zako? Inamaana ukiguswa na jambo fulani la kihisia lazima uvue nguo? Daah! kweli vijana mmeharibika
 
Kaduma.jpg

Mwanasiasa mkongwe nchini mbaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Ibrahim Kaduma

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Ibrahim Kaduma amemshauri Rais John Magufuli kurejesha nyumba za Serikali zilizouzwa kwa watu binafsi wengi wao wakiwa waliokuwa watumishi wa umma, akisema ndiyo njia ya “kujisahihisha”.

Kaduma, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, aliyasema hayo wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na gazeti hili kuhusu mambo kadhaa juu ya mwenendo wa CCM na Serikali yake katika kipindi ambacho chama hicho kimeadhimisha miaka 39 tangu kianzishwe.

“Kitu muhimu ambacho namshauri Rais, ni kuzirudisha nyumba za Serikali. Uuzaji wake haukuwafurahisha Watanzania walio wengi. Asimamie urudishaji huo ila afanye hivyo baada ya kutunga sheria ya maadili ya utumishi wa umma,” alisema.

Nyumba hizo za Serikali ziliuzwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Benjamin Mkapa kwa usimamizi wa Dk Magufuli wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi.

Alimtaka Rais Magufuli kurejea kitabu kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere cha ‘Tujisahihishe’ kwa yeye mwenyewe kuanza kujisahihisha kwa kurejesha nyumba ya Serikali aliyoinunua kwa utaratibu ule.

Alishauri kabla ya kufanya hivyo, Rais Magufuli atengeneze Sheria ya Maadili ya Taifa ambayo itamwambia kila mmoja amwogope Mungu na aseme ukweli wa mali wanazomiliki jinsi walivyozipata.

“Tujisahihishe maana yake kwa kiroho ni kutubu, Magufuli yeye mwenyewe angeanza kwa kutubu kwa wananchi, aeleze wazi kuwa CCM iliwakosea Watanzania (katika suala la uuzaji wa nyumba za Serikali).

Kuhusu CCM

Waziri huyo wa zamani wa mambo ya nje, alisema ili CCM iendelee kushika dola, haina budi kuirudia misingi iliyowekwa na waasisi wake ambayo imeachwa.

Alibainisha kuwa chama hicho kilirithi misingi ya vyama vya ukombozi vya Tanu na ASP, hivyo kinatakiwa kujitathmini kama kinatekeleza matakwa yaliyokusudiwa ya kuwakomboa Watanzania na kuwawezesha kupiga hatua ya maendeleo kwa wakati na kujikwamua kiuchumi.

“Taasisi yoyote yenye dhamira ya kuwaletea maendeleo wananchi wake ni lazima iwe na utamaduni wa kujitathmini. CCM ya sasa imepotoka na kusahau misingi yake. Endapo itarudi na kuisimamia, basi itatawala kwa muda mrefu ujao,” alisema.

Kaduma alisema kwa miaka kadhaa iliyopita, Taifa limesahau maadili ya uongozi na kujikuta likiyafumbia macho mambo yasiyofaa hasa yanapofanywa na viongozi wa Serikali.

Alitoa wito kwa wenye dhamana ya uongozi, kwa nafasi zao, kukubaliana juu ya maadili na misingi ya Taifa ili kwa pamoja, kusukuma gurudumu la maendeleo.

“Nchi hii tumeheshimu unafiki kuliko ukweli kwa kusahau maadili na misingi. Ni lazima tukae kama Taifa na tukubaliane juu ya namna tutakavyoiongoza nchi yetu,” alisema.

Kubana matumizi

Wakati Rais Magufuli akikaribia kutimiza siku 100 tangu aingie madarakani, Mzee Kaduma aliwataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono akisema tayari ameonyesha kuwajali na kuwafanyia kazi kama alivyoahidi.

Alisema amejitahidi kubana matumizi ya Serikali, kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma za jamii jambo ambalo mbali na kurejesha heshima ya nchi, litasaidia kuwapunguzia Watanzania umaskini.

“Kufuta safari za nje kwa watendaji wa Serikali kumewaudhi wengi kwa sababu walikuwa wanalipana fedha nyingi sana. Lakini hivi ndivyo tulivyoishi enzi za Mwalimu. Magufuli hana makuu na anawatetea wanyonge, nawaomba sana Watanzania tumuunge mkono.”

Mabadiliko ya sheria

Akizungumzia majukumu ya mkuu wa nchi katika utekelezaji wa utawala bora na demokrasia, Mzee Kaduma alisema ipo haja ya kufanya marekebisho katika baadhi ya sheria.

Alisema ni wakati muafaka sasa wa kuirekebisha Sheria ya Uchaguzi ili kutenganisha majukumu ya kiserikali na kichama kwa Rais.

“Tunahitaji Rais huru ambaye hatakuwa na minyororo ya chama chake ili atuongoze kwa umoja wetu. Yafaa matakwa ya mgombea kutokana na chama cha siasa yaondolewe ikiwa ni pamoja na kuzuia Rais kuwa mwenyekiti wa chama. Endapo Rais atakuwa huru, ataweza kuwaita wenyeviti wa vyama na kuzungumza nao bila upendeleo wowote,” alisema.

Pamoja na maoni hayo, alisema hana shaka na uongozi wa Rais Magufuli. “... Anafanana na Mwalimu Julius Nyerere. Wote wanawajali maskini na walifanya kila wawezalo ili kuwakomboa kutoka kwenye minyororo yote iliyofunga uhuru wao, iwe kiuchumi au kijamii, ili kuwafanya wafurahie rasilimali za Taifa lao.”

Mgogoro Zanzibar

Kaduma aliungana na wadau wengine ambao wanapinga kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar kwa maelezo kuwa maridhiano baina ya pande zinazosigana yana nafasi nzuri ya kutatua mgogoro uliopo.

“Katika suala la Zanzibar nadhani CCM tungekubali kushindwa. Mimi ni mwanaCCM lakini nasema tungekubali kushindwa. Ningekuwa (Dk Ali Mohamed) Shein ningelinda heshima yangu maana hii ni hatari,” alisema.

Mzee Kaduma alisema kwa kuwa suala la Zanzibar ni baina ya vyama vya CCM na CUF, mtu pekee wa kutafuta ukweli ni mwenyekiti wa CCM.

“Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kuweka mambo ya Zanzibar sawa maana yeye ndiye mwenyekiti wa CCM na suala lenyewe linakihusu CCM na CUF, ingawa kwa mbali sana Magufuli naye anaweza kufanya lolote kuondoa tatizo lililopo,” alisema.

Alisema anaamini CCM ingetenda haki kama ingepokea matokeo kama yalivyokuwa ambayo hata waangalizi wa ndani na nje wamesema hayakuwa na dosari.

“Ni vyema Rais Shein angekubali kushindwa. Chama pia kingefanya hivyo. Huko ndiko kujisahihisha. Kufanya hivyo Rais Shein angeondoka na heshima yake.”

Uhuru wa habari

Kuhusu hatua ya Serikali kuonekana kuminya uhuru wa vyombo vya habari kwa kufungia baadhi ya magazeti, Mzee Kaduma alisema: “Kama unataka kushinda ufisadi na rushwa, ni lazima vyombo vya habari viwe huru... ila waandike katika misingi iliyowekwa na inayokubalika kisheria.”

Akieleza jinsi vitendo vya rushwa na ufisadi vilivyotamalaki nchini kwa miaka ya hivi karibuni, alisema ili kufanikisha suala hilo ni lazima wadau wote washirikishwe.

Alisema suala hilo linahitaji ushiriki wa mihimili yote ya dola bila kusahau umuhimu wa vyombo vya habari. “Vita ya rushwa na ufisadi itapiganwa vyema endapo kutakuwa na uhuru wa habari na vyombo vyake. Kitu muhimu ni uwapo wa sheria makini ambayo itazingatiwa na kila mmoja. Naishauri Serikali itekeleze suala hili ili kila Mtanzania atoe mchango wake,” alisema.

Chanzo: Mwananchi
katika vitu ambavyo Makufuli atashindwa kuvigusa katika utawala wake ni
1.kutoa haki kati ya ccm na vyama vingine.
2. mikataba ya gesi
3. kurudisha nyumba za serikali walizojiuzia
 
Kaduma.jpg

Mwanasiasa mkongwe nchini mbaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Ibrahim Kaduma

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Ibrahim Kaduma amemshauri Rais John Magufuli kurejesha nyumba za Serikali zilizouzwa kwa watu binafsi wengi wao wakiwa waliokuwa watumishi wa umma, akisema ndiyo njia ya “kujisahihisha”.

Kaduma, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, aliyasema hayo wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na gazeti hili kuhusu mambo kadhaa juu ya mwenendo wa CCM na Serikali yake katika kipindi ambacho chama hicho kimeadhimisha miaka 39 tangu kianzishwe.

“Kitu muhimu ambacho namshauri Rais, ni kuzirudisha nyumba za Serikali. Uuzaji wake haukuwafurahisha Watanzania walio wengi. Asimamie urudishaji huo ila afanye hivyo baada ya kutunga sheria ya maadili ya utumishi wa umma,” alisema.

Nyumba hizo za Serikali ziliuzwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Benjamin Mkapa kwa usimamizi wa Dk Magufuli wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi.

Alimtaka Rais Magufuli kurejea kitabu kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere cha ‘Tujisahihishe’ kwa yeye mwenyewe kuanza kujisahihisha kwa kurejesha nyumba ya Serikali aliyoinunua kwa utaratibu ule.

Alishauri kabla ya kufanya hivyo, Rais Magufuli atengeneze Sheria ya Maadili ya Taifa ambayo itamwambia kila mmoja amwogope Mungu na aseme ukweli wa mali wanazomiliki jinsi walivyozipata.

“Tujisahihishe maana yake kwa kiroho ni kutubu, Magufuli yeye mwenyewe angeanza kwa kutubu kwa wananchi, aeleze wazi kuwa CCM iliwakosea Watanzania (katika suala la uuzaji wa nyumba za Serikali).

Kuhusu CCM

Waziri huyo wa zamani wa mambo ya nje, alisema ili CCM iendelee kushika dola, haina budi kuirudia misingi iliyowekwa na waasisi wake ambayo imeachwa.

Alibainisha kuwa chama hicho kilirithi misingi ya vyama vya ukombozi vya Tanu na ASP, hivyo kinatakiwa kujitathmini kama kinatekeleza matakwa yaliyokusudiwa ya kuwakomboa Watanzania na kuwawezesha kupiga hatua ya maendeleo kwa wakati na kujikwamua kiuchumi.

“Taasisi yoyote yenye dhamira ya kuwaletea maendeleo wananchi wake ni lazima iwe na utamaduni wa kujitathmini. CCM ya sasa imepotoka na kusahau misingi yake. Endapo itarudi na kuisimamia, basi itatawala kwa muda mrefu ujao,” alisema.

Kaduma alisema kwa miaka kadhaa iliyopita, Taifa limesahau maadili ya uongozi na kujikuta likiyafumbia macho mambo yasiyofaa hasa yanapofanywa na viongozi wa Serikali.

Alitoa wito kwa wenye dhamana ya uongozi, kwa nafasi zao, kukubaliana juu ya maadili na misingi ya Taifa ili kwa pamoja, kusukuma gurudumu la maendeleo.

“Nchi hii tumeheshimu unafiki kuliko ukweli kwa kusahau maadili na misingi. Ni lazima tukae kama Taifa na tukubaliane juu ya namna tutakavyoiongoza nchi yetu,” alisema.

Kubana matumizi

Wakati Rais Magufuli akikaribia kutimiza siku 100 tangu aingie madarakani, Mzee Kaduma aliwataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono akisema tayari ameonyesha kuwajali na kuwafanyia kazi kama alivyoahidi.

Alisema amejitahidi kubana matumizi ya Serikali, kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma za jamii jambo ambalo mbali na kurejesha heshima ya nchi, litasaidia kuwapunguzia Watanzania umaskini.

“Kufuta safari za nje kwa watendaji wa Serikali kumewaudhi wengi kwa sababu walikuwa wanalipana fedha nyingi sana. Lakini hivi ndivyo tulivyoishi enzi za Mwalimu. Magufuli hana makuu na anawatetea wanyonge, nawaomba sana Watanzania tumuunge mkono.”

Mabadiliko ya sheria

Akizungumzia majukumu ya mkuu wa nchi katika utekelezaji wa utawala bora na demokrasia, Mzee Kaduma alisema ipo haja ya kufanya marekebisho katika baadhi ya sheria.

Alisema ni wakati muafaka sasa wa kuirekebisha Sheria ya Uchaguzi ili kutenganisha majukumu ya kiserikali na kichama kwa Rais.

“Tunahitaji Rais huru ambaye hatakuwa na minyororo ya chama chake ili atuongoze kwa umoja wetu. Yafaa matakwa ya mgombea kutokana na chama cha siasa yaondolewe ikiwa ni pamoja na kuzuia Rais kuwa mwenyekiti wa chama. Endapo Rais atakuwa huru, ataweza kuwaita wenyeviti wa vyama na kuzungumza nao bila upendeleo wowote,” alisema.

Pamoja na maoni hayo, alisema hana shaka na uongozi wa Rais Magufuli. “... Anafanana na Mwalimu Julius Nyerere. Wote wanawajali maskini na walifanya kila wawezalo ili kuwakomboa kutoka kwenye minyororo yote iliyofunga uhuru wao, iwe kiuchumi au kijamii, ili kuwafanya wafurahie rasilimali za Taifa lao.”

Mgogoro Zanzibar

Kaduma aliungana na wadau wengine ambao wanapinga kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar kwa maelezo kuwa maridhiano baina ya pande zinazosigana yana nafasi nzuri ya kutatua mgogoro uliopo.

“Katika suala la Zanzibar nadhani CCM tungekubali kushindwa. Mimi ni mwanaCCM lakini nasema tungekubali kushindwa. Ningekuwa (Dk Ali Mohamed) Shein ningelinda heshima yangu maana hii ni hatari,” alisema.

Mzee Kaduma alisema kwa kuwa suala la Zanzibar ni baina ya vyama vya CCM na CUF, mtu pekee wa kutafuta ukweli ni mwenyekiti wa CCM.

“Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kuweka mambo ya Zanzibar sawa maana yeye ndiye mwenyekiti wa CCM na suala lenyewe linakihusu CCM na CUF, ingawa kwa mbali sana Magufuli naye anaweza kufanya lolote kuondoa tatizo lililopo,” alisema.

Alisema anaamini CCM ingetenda haki kama ingepokea matokeo kama yalivyokuwa ambayo hata waangalizi wa ndani na nje wamesema hayakuwa na dosari.

“Ni vyema Rais Shein angekubali kushindwa. Chama pia kingefanya hivyo. Huko ndiko kujisahihisha. Kufanya hivyo Rais Shein angeondoka na heshima yake.”

Uhuru wa habari

Kuhusu hatua ya Serikali kuonekana kuminya uhuru wa vyombo vya habari kwa kufungia baadhi ya magazeti, Mzee Kaduma alisema: “Kama unataka kushinda ufisadi na rushwa, ni lazima vyombo vya habari viwe huru... ila waandike katika misingi iliyowekwa na inayokubalika kisheria.”

Akieleza jinsi vitendo vya rushwa na ufisadi vilivyotamalaki nchini kwa miaka ya hivi karibuni, alisema ili kufanikisha suala hilo ni lazima wadau wote washirikishwe.

Alisema suala hilo linahitaji ushiriki wa mihimili yote ya dola bila kusahau umuhimu wa vyombo vya habari. “Vita ya rushwa na ufisadi itapiganwa vyema endapo kutakuwa na uhuru wa habari na vyombo vyake. Kitu muhimu ni uwapo wa sheria makini ambayo itazingatiwa na kila mmoja. Naishauri Serikali itekeleze suala hili ili kila Mtanzania atoe mchango wake,” alisema.

Chanzo: Mwananchi
Itakuwa hakuwepo
MwanaUKAWA na aliyekuwa BOSS wa Sumaye alipokuwa anafafanua hili
 
serikali iliziuza nyumba zake kwa watumishi ili ziweze kujengwa mpya na za kisasa.
kama kaduma ulizikosa hizo nyumba isiwe tabu wakati wako ulishapita
bei zilizoiziwa hizo nyuma haionyezhi utashi wa kujenga nyumba mpya na za kisasa; nyingi ziliuzwa kwa bei ya kiwanja na siyo bei ya soko la nyumba. hiyo ndo shida kubwa!
 
Huyu Mzee Kaduma atakuwa hakuona ile taarifa ya best wake waziri mkuu mstaafu Sumaye ktk utetezi Wa uuzwaji Wa nyumba za Serikali.

Naomba mods muweke ile clip ya waziri mstaafuu Sumaye akisema yeye ndio aulizwe na sio mtu mwingine.

Queen Esther

Kaduma.jpg

Mwanasiasa mkongwe nchini mbaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Ibrahim Kaduma

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Ibrahim Kaduma amemshauri Rais John Magufuli kurejesha nyumba za Serikali zilizouzwa kwa watu binafsi wengi wao wakiwa waliokuwa watumishi wa umma, akisema ndiyo njia ya “kujisahihisha”.

Kaduma, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, aliyasema hayo wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na gazeti hili kuhusu mambo kadhaa juu ya mwenendo wa CCM na Serikali yake katika kipindi ambacho chama hicho kimeadhimisha miaka 39 tangu kianzishwe.

“Kitu muhimu ambacho namshauri Rais, ni kuzirudisha nyumba za Serikali. Uuzaji wake haukuwafurahisha Watanzania walio wengi. Asimamie urudishaji huo ila afanye hivyo baada ya kutunga sheria ya maadili ya utumishi wa umma,” alisema.

Nyumba hizo za Serikali ziliuzwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Benjamin Mkapa kwa usimamizi wa Dk Magufuli wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi.

Alimtaka Rais Magufuli kurejea kitabu kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere cha ‘Tujisahihishe’ kwa yeye mwenyewe kuanza kujisahihisha kwa kurejesha nyumba ya Serikali aliyoinunua kwa utaratibu ule.

Alishauri kabla ya kufanya hivyo, Rais Magufuli atengeneze Sheria ya Maadili ya Taifa ambayo itamwambia kila mmoja amwogope Mungu na aseme ukweli wa mali wanazomiliki jinsi walivyozipata.

“Tujisahihishe maana yake kwa kiroho ni kutubu, Magufuli yeye mwenyewe angeanza kwa kutubu kwa wananchi, aeleze wazi kuwa CCM iliwakosea Watanzania (katika suala la uuzaji wa nyumba za Serikali).

Kuhusu CCM

Waziri huyo wa zamani wa mambo ya nje, alisema ili CCM iendelee kushika dola, haina budi kuirudia misingi iliyowekwa na waasisi wake ambayo imeachwa.

Alibainisha kuwa chama hicho kilirithi misingi ya vyama vya ukombozi vya Tanu na ASP, hivyo kinatakiwa kujitathmini kama kinatekeleza matakwa yaliyokusudiwa ya kuwakomboa Watanzania na kuwawezesha kupiga hatua ya maendeleo kwa wakati na kujikwamua kiuchumi.

“Taasisi yoyote yenye dhamira ya kuwaletea maendeleo wananchi wake ni lazima iwe na utamaduni wa kujitathmini. CCM ya sasa imepotoka na kusahau misingi yake. Endapo itarudi na kuisimamia, basi itatawala kwa muda mrefu ujao,” alisema.

Kaduma alisema kwa miaka kadhaa iliyopita, Taifa limesahau maadili ya uongozi na kujikuta likiyafumbia macho mambo yasiyofaa hasa yanapofanywa na viongozi wa Serikali.

Alitoa wito kwa wenye dhamana ya uongozi, kwa nafasi zao, kukubaliana juu ya maadili na misingi ya Taifa ili kwa pamoja, kusukuma gurudumu la maendeleo.

“Nchi hii tumeheshimu unafiki kuliko ukweli kwa kusahau maadili na misingi. Ni lazima tukae kama Taifa na tukubaliane juu ya namna tutakavyoiongoza nchi yetu,” alisema.

Kubana matumizi

Wakati Rais Magufuli akikaribia kutimiza siku 100 tangu aingie madarakani, Mzee Kaduma aliwataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono akisema tayari ameonyesha kuwajali na kuwafanyia kazi kama alivyoahidi.

Alisema amejitahidi kubana matumizi ya Serikali, kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma za jamii jambo ambalo mbali na kurejesha heshima ya nchi, litasaidia kuwapunguzia Watanzania umaskini.

“Kufuta safari za nje kwa watendaji wa Serikali kumewaudhi wengi kwa sababu walikuwa wanalipana fedha nyingi sana. Lakini hivi ndivyo tulivyoishi enzi za Mwalimu. Magufuli hana makuu na anawatetea wanyonge, nawaomba sana Watanzania tumuunge mkono.”

Mabadiliko ya sheria

Akizungumzia majukumu ya mkuu wa nchi katika utekelezaji wa utawala bora na demokrasia, Mzee Kaduma alisema ipo haja ya kufanya marekebisho katika baadhi ya sheria.

Alisema ni wakati muafaka sasa wa kuirekebisha Sheria ya Uchaguzi ili kutenganisha majukumu ya kiserikali na kichama kwa Rais.

“Tunahitaji Rais huru ambaye hatakuwa na minyororo ya chama chake ili atuongoze kwa umoja wetu. Yafaa matakwa ya mgombea kutokana na chama cha siasa yaondolewe ikiwa ni pamoja na kuzuia Rais kuwa mwenyekiti wa chama. Endapo Rais atakuwa huru, ataweza kuwaita wenyeviti wa vyama na kuzungumza nao bila upendeleo wowote,” alisema.

Pamoja na maoni hayo, alisema hana shaka na uongozi wa Rais Magufuli. “... Anafanana na Mwalimu Julius Nyerere. Wote wanawajali maskini na walifanya kila wawezalo ili kuwakomboa kutoka kwenye minyororo yote iliyofunga uhuru wao, iwe kiuchumi au kijamii, ili kuwafanya wafurahie rasilimali za Taifa lao.”

Mgogoro Zanzibar

Kaduma aliungana na wadau wengine ambao wanapinga kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar kwa maelezo kuwa maridhiano baina ya pande zinazosigana yana nafasi nzuri ya kutatua mgogoro uliopo.

“Katika suala la Zanzibar nadhani CCM tungekubali kushindwa. Mimi ni mwanaCCM lakini nasema tungekubali kushindwa. Ningekuwa (Dk Ali Mohamed) Shein ningelinda heshima yangu maana hii ni hatari,” alisema.

Mzee Kaduma alisema kwa kuwa suala la Zanzibar ni baina ya vyama vya CCM na CUF, mtu pekee wa kutafuta ukweli ni mwenyekiti wa CCM.

“Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kuweka mambo ya Zanzibar sawa maana yeye ndiye mwenyekiti wa CCM na suala lenyewe linakihusu CCM na CUF, ingawa kwa mbali sana Magufuli naye anaweza kufanya lolote kuondoa tatizo lililopo,” alisema.

Alisema anaamini CCM ingetenda haki kama ingepokea matokeo kama yalivyokuwa ambayo hata waangalizi wa ndani na nje wamesema hayakuwa na dosari.

“Ni vyema Rais Shein angekubali kushindwa. Chama pia kingefanya hivyo. Huko ndiko kujisahihisha. Kufanya hivyo Rais Shein angeondoka na heshima yake.”

Uhuru wa habari

Kuhusu hatua ya Serikali kuonekana kuminya uhuru wa vyombo vya habari kwa kufungia baadhi ya magazeti, Mzee Kaduma alisema: “Kama unataka kushinda ufisadi na rushwa, ni lazima vyombo vya habari viwe huru... ila waandike katika misingi iliyowekwa na inayokubalika kisheria.”

Akieleza jinsi vitendo vya rushwa na ufisadi vilivyotamalaki nchini kwa miaka ya hivi karibuni, alisema ili kufanikisha suala hilo ni lazima wadau wote washirikishwe.

Alisema suala hilo linahitaji ushiriki wa mihimili yote ya dola bila kusahau umuhimu wa vyombo vya habari. “Vita ya rushwa na ufisadi itapiganwa vyema endapo kutakuwa na uhuru wa habari na vyombo vyake. Kitu muhimu ni uwapo wa sheria makini ambayo itazingatiwa na kila mmoja. Naishauri Serikali itekeleze suala hili ili kila Mtanzania atoe mchango wake,” alisema.

Chanzo: Mwananchi
 
Acheni majungu! Mtu mzima ovyo. Watanzania walionunua wamepata, shida iko wapi? Ni nyumba zilikuwa chache, waliopata wamefaidi. Nawe subiri bahati yako. Au ulitaka nyumba wapewe ngedere ili wote mzikose ndiyo ungefurahia?

Kaduma.jpg

Mwanasiasa mkongwe nchini mbaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Ibrahim Kaduma

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Ibrahim Kaduma amemshauri Rais John Magufuli kurejesha nyumba za Serikali zilizouzwa kwa watu binafsi wengi wao wakiwa waliokuwa watumishi wa umma, akisema ndiyo njia ya “kujisahihisha”.

Kaduma, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, aliyasema hayo wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na gazeti hili kuhusu mambo kadhaa juu ya mwenendo wa CCM na Serikali yake katika kipindi ambacho chama hicho kimeadhimisha miaka 39 tangu kianzishwe.

“Kitu muhimu ambacho namshauri Rais, ni kuzirudisha nyumba za Serikali. Uuzaji wake haukuwafurahisha Watanzania walio wengi. Asimamie urudishaji huo ila afanye hivyo baada ya kutunga sheria ya maadili ya utumishi wa umma,” alisema.

Nyumba hizo za Serikali ziliuzwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Benjamin Mkapa kwa usimamizi wa Dk Magufuli wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi.

Alimtaka Rais Magufuli kurejea kitabu kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere cha ‘Tujisahihishe’ kwa yeye mwenyewe kuanza kujisahihisha kwa kurejesha nyumba ya Serikali aliyoinunua kwa utaratibu ule.

Alishauri kabla ya kufanya hivyo, Rais Magufuli atengeneze Sheria ya Maadili ya Taifa ambayo itamwambia kila mmoja amwogope Mungu na aseme ukweli wa mali wanazomiliki jinsi walivyozipata.

“Tujisahihishe maana yake kwa kiroho ni kutubu, Magufuli yeye mwenyewe angeanza kwa kutubu kwa wananchi, aeleze wazi kuwa CCM iliwakosea Watanzania (katika suala la uuzaji wa nyumba za Serikali).

Kuhusu CCM

Waziri huyo wa zamani wa mambo ya nje, alisema ili CCM iendelee kushika dola, haina budi kuirudia misingi iliyowekwa na waasisi wake ambayo imeachwa.

Alibainisha kuwa chama hicho kilirithi misingi ya vyama vya ukombozi vya Tanu na ASP, hivyo kinatakiwa kujitathmini kama kinatekeleza matakwa yaliyokusudiwa ya kuwakomboa Watanzania na kuwawezesha kupiga hatua ya maendeleo kwa wakati na kujikwamua kiuchumi.

“Taasisi yoyote yenye dhamira ya kuwaletea maendeleo wananchi wake ni lazima iwe na utamaduni wa kujitathmini. CCM ya sasa imepotoka na kusahau misingi yake. Endapo itarudi na kuisimamia, basi itatawala kwa muda mrefu ujao,” alisema.

Kaduma alisema kwa miaka kadhaa iliyopita, Taifa limesahau maadili ya uongozi na kujikuta likiyafumbia macho mambo yasiyofaa hasa yanapofanywa na viongozi wa Serikali.

Alitoa wito kwa wenye dhamana ya uongozi, kwa nafasi zao, kukubaliana juu ya maadili na misingi ya Taifa ili kwa pamoja, kusukuma gurudumu la maendeleo.

“Nchi hii tumeheshimu unafiki kuliko ukweli kwa kusahau maadili na misingi. Ni lazima tukae kama Taifa na tukubaliane juu ya namna tutakavyoiongoza nchi yetu,” alisema.

Kubana matumizi

Wakati Rais Magufuli akikaribia kutimiza siku 100 tangu aingie madarakani, Mzee Kaduma aliwataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono akisema tayari ameonyesha kuwajali na kuwafanyia kazi kama alivyoahidi.

Alisema amejitahidi kubana matumizi ya Serikali, kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma za jamii jambo ambalo mbali na kurejesha heshima ya nchi, litasaidia kuwapunguzia Watanzania umaskini.

“Kufuta safari za nje kwa watendaji wa Serikali kumewaudhi wengi kwa sababu walikuwa wanalipana fedha nyingi sana. Lakini hivi ndivyo tulivyoishi enzi za Mwalimu. Magufuli hana makuu na anawatetea wanyonge, nawaomba sana Watanzania tumuunge mkono.”

Mabadiliko ya sheria

Akizungumzia majukumu ya mkuu wa nchi katika utekelezaji wa utawala bora na demokrasia, Mzee Kaduma alisema ipo haja ya kufanya marekebisho katika baadhi ya sheria.

Alisema ni wakati muafaka sasa wa kuirekebisha Sheria ya Uchaguzi ili kutenganisha majukumu ya kiserikali na kichama kwa Rais.

“Tunahitaji Rais huru ambaye hatakuwa na minyororo ya chama chake ili atuongoze kwa umoja wetu. Yafaa matakwa ya mgombea kutokana na chama cha siasa yaondolewe ikiwa ni pamoja na kuzuia Rais kuwa mwenyekiti wa chama. Endapo Rais atakuwa huru, ataweza kuwaita wenyeviti wa vyama na kuzungumza nao bila upendeleo wowote,” alisema.

Pamoja na maoni hayo, alisema hana shaka na uongozi wa Rais Magufuli. “... Anafanana na Mwalimu Julius Nyerere. Wote wanawajali maskini na walifanya kila wawezalo ili kuwakomboa kutoka kwenye minyororo yote iliyofunga uhuru wao, iwe kiuchumi au kijamii, ili kuwafanya wafurahie rasilimali za Taifa lao.”

Mgogoro Zanzibar

Kaduma aliungana na wadau wengine ambao wanapinga kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar kwa maelezo kuwa maridhiano baina ya pande zinazosigana yana nafasi nzuri ya kutatua mgogoro uliopo.

“Katika suala la Zanzibar nadhani CCM tungekubali kushindwa. Mimi ni mwanaCCM lakini nasema tungekubali kushindwa. Ningekuwa (Dk Ali Mohamed) Shein ningelinda heshima yangu maana hii ni hatari,” alisema.

Mzee Kaduma alisema kwa kuwa suala la Zanzibar ni baina ya vyama vya CCM na CUF, mtu pekee wa kutafuta ukweli ni mwenyekiti wa CCM.

“Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kuweka mambo ya Zanzibar sawa maana yeye ndiye mwenyekiti wa CCM na suala lenyewe linakihusu CCM na CUF, ingawa kwa mbali sana Magufuli naye anaweza kufanya lolote kuondoa tatizo lililopo,” alisema.

Alisema anaamini CCM ingetenda haki kama ingepokea matokeo kama yalivyokuwa ambayo hata waangalizi wa ndani na nje wamesema hayakuwa na dosari.

“Ni vyema Rais Shein angekubali kushindwa. Chama pia kingefanya hivyo. Huko ndiko kujisahihisha. Kufanya hivyo Rais Shein angeondoka na heshima yake.”

Uhuru wa habari

Kuhusu hatua ya Serikali kuonekana kuminya uhuru wa vyombo vya habari kwa kufungia baadhi ya magazeti, Mzee Kaduma alisema: “Kama unataka kushinda ufisadi na rushwa, ni lazima vyombo vya habari viwe huru... ila waandike katika misingi iliyowekwa na inayokubalika kisheria.”

Akieleza jinsi vitendo vya rushwa na ufisadi vilivyotamalaki nchini kwa miaka ya hivi karibuni, alisema ili kufanikisha suala hilo ni lazima wadau wote washirikishwe.

Alisema suala hilo linahitaji ushiriki wa mihimili yote ya dola bila kusahau umuhimu wa vyombo vya habari. “Vita ya rushwa na ufisadi itapiganwa vyema endapo kutakuwa na uhuru wa habari na vyombo vyake. Kitu muhimu ni uwapo wa sheria makini ambayo itazingatiwa na kila mmoja. Naishauri Serikali itekeleze suala hili ili kila Mtanzania atoe mchango wake,” alisema.

Chanzo: Mwananchi
 
KAMA MTUMBUA MAJIPU ANAWEZA KUJITUMBUA JIPU LAKE MWENYEWE!!! TUKIANZIA PALE KEBBYS! NTAKUNYA! HAPA HADI BUKOBA! HU! HUH! HUH!.
 
Kama Rais anaweza kurudisha viwanda na mashamba, kwanini hili la nyumba limshinde?
Mkuu wewe unaweza ukarudisha kitu ulichokiuza na risiti ukatoa,na vingine ukawapa wapendwa wako kwa raha zako?kujitumbua jipu yataka moyo mgumu kama chuma cha pua
 
Kama Rais anaweza kurudisha viwanda na mashamba, kwanini hili la nyumba limshinde?
Tofauti sana, viwanda vilibinafsishwa ili vizalishe na kujenga uchumi. Nyumba zile ni makazi tu ya watu.
 
Kaduma.jpg

Mwanasiasa mkongwe nchini mbaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Ibrahim Kaduma

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Ibrahim Kaduma amemshauri Rais John Magufuli kurejesha nyumba za Serikali zilizouzwa kwa watu binafsi wengi wao wakiwa waliokuwa watumishi wa umma, akisema ndiyo njia ya “kujisahihisha”.

Kaduma, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, aliyasema hayo wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na gazeti hili kuhusu mambo kadhaa juu ya mwenendo wa CCM na Serikali yake katika kipindi ambacho chama hicho kimeadhimisha miaka 39 tangu kianzishwe.

“Kitu muhimu ambacho namshauri Rais, ni kuzirudisha nyumba za Serikali. Uuzaji wake haukuwafurahisha Watanzania walio wengi. Asimamie urudishaji huo ila afanye hivyo baada ya kutunga sheria ya maadili ya utumishi wa umma,” alisema.

Nyumba hizo za Serikali ziliuzwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Benjamin Mkapa kwa usimamizi wa Dk Magufuli wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi.

Alimtaka Rais Magufuli kurejea kitabu kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere cha ‘Tujisahihishe’ kwa yeye mwenyewe kuanza kujisahihisha kwa kurejesha nyumba ya Serikali aliyoinunua kwa utaratibu ule.

Alishauri kabla ya kufanya hivyo, Rais Magufuli atengeneze Sheria ya Maadili ya Taifa ambayo itamwambia kila mmoja amwogope Mungu na aseme ukweli wa mali wanazomiliki jinsi walivyozipata.

“Tujisahihishe maana yake kwa kiroho ni kutubu, Magufuli yeye mwenyewe angeanza kwa kutubu kwa wananchi, aeleze wazi kuwa CCM iliwakosea Watanzania (katika suala la uuzaji wa nyumba za Serikali).

Kuhusu CCM

Waziri huyo wa zamani wa mambo ya nje, alisema ili CCM iendelee kushika dola, haina budi kuirudia misingi iliyowekwa na waasisi wake ambayo imeachwa.

Alibainisha kuwa chama hicho kilirithi misingi ya vyama vya ukombozi vya Tanu na ASP, hivyo kinatakiwa kujitathmini kama kinatekeleza matakwa yaliyokusudiwa ya kuwakomboa Watanzania na kuwawezesha kupiga hatua ya maendeleo kwa wakati na kujikwamua kiuchumi.

“Taasisi yoyote yenye dhamira ya kuwaletea maendeleo wananchi wake ni lazima iwe na utamaduni wa kujitathmini. CCM ya sasa imepotoka na kusahau misingi yake. Endapo itarudi na kuisimamia, basi itatawala kwa muda mrefu ujao,” alisema.

Kaduma alisema kwa miaka kadhaa iliyopita, Taifa limesahau maadili ya uongozi na kujikuta likiyafumbia macho mambo yasiyofaa hasa yanapofanywa na viongozi wa Serikali.

Alitoa wito kwa wenye dhamana ya uongozi, kwa nafasi zao, kukubaliana juu ya maadili na misingi ya Taifa ili kwa pamoja, kusukuma gurudumu la maendeleo.

“Nchi hii tumeheshimu unafiki kuliko ukweli kwa kusahau maadili na misingi. Ni lazima tukae kama Taifa na tukubaliane juu ya namna tutakavyoiongoza nchi yetu,” alisema.

Kubana matumizi

Wakati Rais Magufuli akikaribia kutimiza siku 100 tangu aingie madarakani, Mzee Kaduma aliwataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono akisema tayari ameonyesha kuwajali na kuwafanyia kazi kama alivyoahidi.

Alisema amejitahidi kubana matumizi ya Serikali, kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma za jamii jambo ambalo mbali na kurejesha heshima ya nchi, litasaidia kuwapunguzia Watanzania umaskini.

“Kufuta safari za nje kwa watendaji wa Serikali kumewaudhi wengi kwa sababu walikuwa wanalipana fedha nyingi sana. Lakini hivi ndivyo tulivyoishi enzi za Mwalimu. Magufuli hana makuu na anawatetea wanyonge, nawaomba sana Watanzania tumuunge mkono.”

Mabadiliko ya sheria

Akizungumzia majukumu ya mkuu wa nchi katika utekelezaji wa utawala bora na demokrasia, Mzee Kaduma alisema ipo haja ya kufanya marekebisho katika baadhi ya sheria.

Alisema ni wakati muafaka sasa wa kuirekebisha Sheria ya Uchaguzi ili kutenganisha majukumu ya kiserikali na kichama kwa Rais.

“Tunahitaji Rais huru ambaye hatakuwa na minyororo ya chama chake ili atuongoze kwa umoja wetu. Yafaa matakwa ya mgombea kutokana na chama cha siasa yaondolewe ikiwa ni pamoja na kuzuia Rais kuwa mwenyekiti wa chama. Endapo Rais atakuwa huru, ataweza kuwaita wenyeviti wa vyama na kuzungumza nao bila upendeleo wowote,” alisema.

Pamoja na maoni hayo, alisema hana shaka na uongozi wa Rais Magufuli. “... Anafanana na Mwalimu Julius Nyerere. Wote wanawajali maskini na walifanya kila wawezalo ili kuwakomboa kutoka kwenye minyororo yote iliyofunga uhuru wao, iwe kiuchumi au kijamii, ili kuwafanya wafurahie rasilimali za Taifa lao.”

Mgogoro Zanzibar

Kaduma aliungana na wadau wengine ambao wanapinga kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar kwa maelezo kuwa maridhiano baina ya pande zinazosigana yana nafasi nzuri ya kutatua mgogoro uliopo.

“Katika suala la Zanzibar nadhani CCM tungekubali kushindwa. Mimi ni mwanaCCM lakini nasema tungekubali kushindwa. Ningekuwa (Dk Ali Mohamed) Shein ningelinda heshima yangu maana hii ni hatari,” alisema.

Mzee Kaduma alisema kwa kuwa suala la Zanzibar ni baina ya vyama vya CCM na CUF, mtu pekee wa kutafuta ukweli ni mwenyekiti wa CCM.

“Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kuweka mambo ya Zanzibar sawa maana yeye ndiye mwenyekiti wa CCM na suala lenyewe linakihusu CCM na CUF, ingawa kwa mbali sana Magufuli naye anaweza kufanya lolote kuondoa tatizo lililopo,” alisema.

Alisema anaamini CCM ingetenda haki kama ingepokea matokeo kama yalivyokuwa ambayo hata waangalizi wa ndani na nje wamesema hayakuwa na dosari.

“Ni vyema Rais Shein angekubali kushindwa. Chama pia kingefanya hivyo. Huko ndiko kujisahihisha. Kufanya hivyo Rais Shein angeondoka na heshima yake.”

Uhuru wa habari

Kuhusu hatua ya Serikali kuonekana kuminya uhuru wa vyombo vya habari kwa kufungia baadhi ya magazeti, Mzee Kaduma alisema: “Kama unataka kushinda ufisadi na rushwa, ni lazima vyombo vya habari viwe huru... ila waandike katika misingi iliyowekwa na inayokubalika kisheria.”

Akieleza jinsi vitendo vya rushwa na ufisadi vilivyotamalaki nchini kwa miaka ya hivi karibuni, alisema ili kufanikisha suala hilo ni lazima wadau wote washirikishwe.

Alisema suala hilo linahitaji ushiriki wa mihimili yote ya dola bila kusahau umuhimu wa vyombo vya habari. “Vita ya rushwa na ufisadi itapiganwa vyema endapo kutakuwa na uhuru wa habari na vyombo vyake. Kitu muhimu ni uwapo wa sheria makini ambayo itazingatiwa na kila mmoja. Naishauri Serikali itekeleze suala hili ili kila Mtanzania atoe mchango wake,” alisema.

Chanzo: Mwananchi
kwa mtu mwenye akili timamu kama mimi atakubaliana na mimi kuwa Kaduma ameongea kitu cha maana sana kuhusu nyumba za umma zilizotapanywa kama njugu na kuhusu kushindwa kwa ccm huko visiwani. na rudia tena, haya ni kwa mtu mwenye akili timanu tu kama mimi.
 
Back
Top Bottom