Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
Acha uwongo mweupe bid????Kwani hizi nyumba ziliuzwa kwa tenda, kumpa fursa mtumishi yeyote wa serikali ku bid ili apewe fursa ya kununua na kuzijenga mpya za kisasa kama unavyosema au ni utaratibu gani uliotumiwa kuchagua waliopewa.