Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Tangu mwaka 2007 nimelipia kadi kiasi cha (TZS 24,000) lakini mpaka leo sija pata kadi matokeo yake nikatumiwa namba eti kadi itakuwa na namba 1689... halafu viongozi wana lalamika hakuna pesa hivi kama kuna wapenzi wa simba mia tano kama mimi timu itakuwa imikosa kiasi gani kwa miaka 2 maana kama ningepata kadi mwaka 2007 nilipaswa kulipia tena 2008 na 2009 kiasi kisicho pungua 12,000 badala yake kila siku uzushi sasa wana JF naomba namba za simu za Mwina kaduguda au kiongozi yoyote wa juu ni mpandie huko huko juu anieleze kama ndiyo process bado zinafanyika au pesa yangu ilishaliwa nijue maana kama nikupiga simu kufatilia hiyo kadi nimechoka timu...au kama yuko humu anijibu tatizo nini..tz soka itabidi tusubili sana maendeleo maana kuanzia TFF, Simba, Yanga nk Uswahili mtupu juzi TFF wana Tuambia walipata milioni 230 umati wote huo ticket za 3000 ziliisha mapema hata za 5000 au walizificha ili tununue za bei ya juu c%^&*(*&%$&$^..
..............
..............