Walimuua chadema (wale vijana wakala wenzake) baada ya kuhisi kuwa n msaliti..
Na ujue hawaamini waislamu wote katika hicho chama...so muslims youngs watch out..
Kwa hiyo mmemuua kijana wa kiislam ili kutisha wengine wasije? Hizo propaganda zilitumika sana lakini bado watu walisimama kudai haki zao.
Kumbuka damu nzito na damu ya mtu haipotei bure.
Hili jambo linakuzwa mno. Gazeti la Rostam la MTANZANIA leo limeiandika habari hii kwa "mbwembwe" ili ionekane ameuawa na CCM. Gazeti la CHADEMA ambalo ni TANZANIA DAIMA lenye uhusiano na EL na RA nalo limetoka na habari kuhusu Benno Malisa akimshutumu NAPE. Ni kampeni na propaganda zinazopikwa. Tunafahamu namna baadhi ya waandishi wa habari wa magazeti haya wakiwemo baadhi ya wahariri wao walivyowekwa mfukoni na akina EL na RA. Ikumbukwe hakuna mahali popote duniani mafisadi na majambazi walishinda vita. Wanaweza wakashinda kwa muda lakini mwishowe haki hutendeka.
Walimuua kijana wa kiislam kwasababu ya ubaguzi na chuki zao kwa waislamu
Hawaamini any muslim kwenye hicho chama..
Hawamuamini zitto itakuwa wakala..
Kijana wa kiislam ni vitim wa ubaguzi katika chadema period
Mkw er e nchi imemshinda watu wake wanauliwa na chama chake na hapo hapo anatoa msamaha kwa wauaji walio muua kwa makusudi Gen Kombe, wanachi wakijichukulia sheria mkononi nani alaumiwe?
Poleni sana wanafamilia Mungu amrehemu Mbwana Masud
Burial has taken place, sensitive picture has been removed, please do not repost. Thanks !
11th October 2011 19:26
Maiti za wanawake wawili zimeokotwa jana katika msitu wa kijiji cha Ulaya, Kata ya Nkinga wilayani Igunga zikiwa zimeharibika vibaya.
Wakati uchunguzi unaendelea, taarifa za awali zinaeleza kuwa mmoja wao ambaye ni mama wa makamo, anajulikana kuwa ni shabiki mkubwa wa Chadema na Mhamasishaji maarufu mwenye ushawishi wa kisiasa, alikuwepo siku Helikopta ya CHADEMA ilipotua Nkinga na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa ajili ya kampeni siku ya J'4 kabla J'2 ya uchaguzi, Baada kumalizika mkutano huo muda wa jioni sana, mama huyo alikuwa akirudi kijijini kwake, lakini kuna kikundi cha vijana wa makambi wa CCM walionekana wakimfuatilia, wakiwemo watoto wawili wa Diwani wa kata hiyo ambao ni maarufu kwa ujambazi lakini mara zote wanakingiwa kifua na baba yao kwa wadhifa wake wa udiwani, mama huyo hakuonekana tena hadi maiti yake ilipookotwa jana msituni ikiwa bila nguo (zimetundikwa juu ya mti) na imeharibika vibaya na kuliwa na wadudu.
Upande wa pili wa barabara alipookotwa mama huyo kulikutwa maiti nyingine ya mwanamke mwingine aliyeuawa kwa staili ileile na kuachwa bila nguo, ila kutokana na kiwango cha kuharibika kwake inaelekea aliuawa siku tofauti na kuja kutupwa hapo, pembeni yake wauaji hao waliweka kitambulisho cha mtu wanaetaka ahusishwe na mauaji hayo, dalili zote zinaonesha wauaji ni walewale, inasemekana mwanamke huyo ametokea kata jirani ya Ndembezi.
Polisi zaidi ya kuchukua maiti hizo kwa pamoja na kuondoka nazo haijasema lolote, jitahada kubwa zinafanywa kulifunika suala hili liishe kimyakimya lisije likaleta kashfa kubwa ya mauaji kwa chama tawala, baada ya Nape Nauye kuahidi kuwa watafanya hivyo na wasilaumiwe kwa kuwa kuna kijana wao amemwagiwa tindikali.
Inaelekea kuna maiti nyingi zaidi hazijapatikana maporini na nyingine zimefukiwa huku ndugu zao wakidhani wamesafiri au wako kwenye mihangaiko, lakini kwa kuwa La Kuvunda Halina Ubani, basi kitaeleweka tu!
Picture removed, please do not repost. Thanks !
Hawa lazima watakuwa CDM tu toka lini wakawa na mapenzi na Waislam? Wamemua Muislam bana
Bakwata haiongozwi na watu majuha.Hatuwezi kujiingiza kwenye jambo la dhana.Pale Igunga tulipolaani tuliwaona Chadema wakimkokota bi Fatma Kimaro kweupee.Hii kwamba maiti imekutwa nyuma ya gereza si lazima wauwaji wawe CCM.Uwezekano ni kuwa ni Chadema wakiwa na shutuma fulani kwa Mbwana kwamba kwa vile ni muislamu aliwasaidia CCM.