Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,791
- 1,233
Topical, Ritz, Ami etc sidhani kama angekuwa ndugu yenu mngesema utumbo mnaousema sasa hivi!
Serikali ya CCM+CCM wachunge sana maana umauti kama huo unaweza kuwapata viongozi wao na wanachama wao pia. Nadhani Tanzania tunapitia kwenye uongozi mbaya kupita yote iliyotangalia na tuombe Mungu tusije kupata uongozi mbovu kama huu tena.
Serikali ya CCM+CCM wachunge sana maana umauti kama huo unaweza kuwapata viongozi wao na wanachama wao pia. Nadhani Tanzania tunapitia kwenye uongozi mbaya kupita yote iliyotangalia na tuombe Mungu tusije kupata uongozi mbovu kama huu tena.