Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Tusisahau vile vile kwamba Dr Slaa alitangaza kule Morogoro kwamba anazo taarifa za uhakika za CCM kuingizaa silaha nchini.
Inaelekea matumizi yake ni kugawia watu kama Bosco watishie au waue Watanzania ili ikibidi CCM itawale kwa mtutu.
Makada wa CCM ni magaidi.
Inaelekea matumizi yake ni kugawia watu kama Bosco watishie au waue Watanzania ili ikibidi CCM itawale kwa mtutu.
Makada wa CCM ni magaidi.