Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Kilitime,
Tatizo hapo sio wananchi, tatizo ni hao wanaotoa hizo data ambazo hata hawawezi kutuhakikishia wamezitoa wapi.
Kujua au kuelewa analysis za uchumi sio lazima usomee uchumi. Na kwa taarifa tu siku hizi kwenye nchi nyingi za West, wanaopewa kazi kwenye mashirika ya maana yanayoshughulikia na mambo ya investments sio wale waliosomea uchumi na badala yake ni wasomi wa hesabu. Ukisikia hao watu wa city wanaopata malaki, wengi wao ni universities wamesomea maths.
Kitendawili hapa ni hao wanaojaribu kutulisha data ambazo haziendani na realities huko wilayani.
Mzee ukishajua Hesabu ndio mwisho wa mambo yote!!! Usinikumbushe Analysis za Clansen pale UDSM,,,!!!
Prove that zero devide by any number [0/x; Where x is a real number) is equal to 0 [zero]!!! Ukikosea step moja... swali la marks 18 ndio limepotea hivyo!!! no longolongo...