William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Quote:-
"Tumieni vyombo vya habari kueneza sera za chama na sio kwenda kujitangaza wenyewe na kutaka kuonekana kwenye TV kila siku. Kama ni umwamba wenu si onyesheni kwenye vikao vya CHADEMA? Huko toeni hoja za nguvu na pambaneni kimawazo lakini mkitoka hapo, mnatekeleza lile mlilokubaliana nalo."
Maneno mazito sana mkuu, na yanahitaji kuzingatiwa na wahusika.
"Tumieni vyombo vya habari kueneza sera za chama na sio kwenda kujitangaza wenyewe na kutaka kuonekana kwenye TV kila siku. Kama ni umwamba wenu si onyesheni kwenye vikao vya CHADEMA? Huko toeni hoja za nguvu na pambaneni kimawazo lakini mkitoka hapo, mnatekeleza lile mlilokubaliana nalo."
Maneno mazito sana mkuu, na yanahitaji kuzingatiwa na wahusika.