Kabla ya kupeleka gesi yetu Kenya tutafakari kwanza kuhusu haya yafuatayo

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,331
12,647
Watanzania tuna ugoigoi katika kutekeleza na kufanikisha yale tunayoyafikiria, tunayoyapanga na hata yale tuliyoamua kuyatekeleza. Mfano, hata wimbo wa kuhamia dodoma uliimbwa kwa miaka mingi sana kabla ya kutekelezwa'

Siku ambayo gesi yetu itafika Kenya, kesho yake tu asubuhi nishati ya gesi hiyo

1. itasambazwa kwenye viwanda vyote vya uzalishaji kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu ambazo zitakuja kuuzwa tanzania kwa bei nafuu kuliko zetu.
2. magari yao yote yatatumia gesi hii nafuu
3, kaya zao nyingi zitapikia gesi wakati sisi tukiendelea kupika na mkaa na kuni.
4. Watajenga kiwanda kikubwa cha mbolea wakayotumia kwenye kilimo chao na nyingine kuja kuuzwa tanzania na kwingine.
5. Vifaa na vipuli rahisi, imara na bora vya vifaa vinavyotumia gesi vitajaa kenya na kuingizwa Tanzania pia kuuzwa.
6. Gesi ya kupikia majumbani itatoka Kenya.

Sisi kwetu pamoja na kuwa na gesi kwa miaka mingi lakini tuna umeme ghali, tunapikia kuni na mkaa, na tunaagiza mbolea kutoka ng'ambo.

Watatuchekaaa saaaana, watatuimbaaa saaaana na watatuona mazombie.

Tukazane sisi kupata matunda ya gesi kabla yao badala ya kuongea sana bila vitendo.
 
Maadui wakubwa wa maendeleo ya nchi za kiafrika ni viongozi wao wanajiwaza wao na matumbo yao kwanza,
gesi yetu ni kama haija tufaidisha kabisa, Kila siku gesi ya kupikia inapanda bei, bei ya umeme imepanda, elfu 5 ilikua ni unit 42 zikashuka hadi 14 sasa hivi unapewa 10
Hapo hujagusa sekta nyingine kama ya maji nilishangaa Sana eti kigoma mjini walio karibu kabisa na ziwa Tanganyika Wana kaa hadi siku 7 bila maji, yani Kila sehemu ni upuuzi tuu
 
Watanzania tuna ugoigoi katika kutekeleza na kufanikisha yale tunayoyafikiria, tunayoyapanga na hata yale tuliyoamua kuyatekeleza. Mfano, hata wimbo wa kuhamia dodoma uliimbwa kwa miaka mingi sana kabla ya kutekelezwa'

Siku ambayo gesi yetu itafika Kenya, kesho yake tu asubuhi nishati ya gesi hiyo

1. itasambazwa kwenye viwanda vyote vya uzalishaji kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu ambazo zitakuja kuuzwa tanzania kwa bei nafuu kuliko zetu.
2. magari yao yote yatatumia gesi hii nafuu
3, kaya zao nyingi zitapikia gesi wakati sisi tukiendelea kupika na mkaa na kuni.
4. Watajenga kiwanda kikubwa cha mbolea wakayotumia kwenye kilimo chao na nyingine kuja kuuzwa tanzania na kwingine.
5. Vifaa na vipuli rahisi, imara na bora vya vifaa vinavyotumia gesi vitajaa kenya na kuingizwa Tanzania pia kuuzwa.
6. Gesi ya kupikia majumbani itatoka Kenya.

Sisi kwetu pamoja na kuwa na gesi kwa miaka mingi lakini tuna umeme ghali, tunapikia kuni na mkaa, na tunaagiza mbolea kutoka ng'ambo.

Watatuchekaaa saaaana, watatuimbaaa saaaana na watatuona mazombie.

Tukazane sisi kupata matunda ya gesi kabla yao badala ya kuongea sana bila vitendo.
Una HAKIKA ni gesi yetu???

Tafuta mkataba kwanza ndo ushauri uyashauriyo.
 
Kama siyo gesi yetu basi tunaviongozi wapuuzi sana wanaoingia mikataba ya kipuuzi isiyonufaisha nchi.
Saa mbovu ya ndugaaaaiii Kuna wakati ilisema Kweli,

Tutapigwa mnada cku moja!!!!!

Pia usisahau msimamizi wa shamba ni yule mtoto wa Mzee naniiii!!!¡
 
Watanzania tuna ugoigoi katika kutekeleza na kufanikisha yale tunayoyafikiria, tunayoyapanga na hata yale tuliyoamua kuyatekeleza. Mfano, hata wimbo wa kuhamia dodoma uliimbwa kwa miaka mingi sana kabla ya kutekelezwa'

Siku ambayo gesi yetu itafika Kenya, kesho yake tu asubuhi nishati ya gesi hiyo

1. itasambazwa kwenye viwanda vyote vya uzalishaji kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu ambazo zitakuja kuuzwa tanzania kwa bei nafuu kuliko zetu.
2. magari yao yote yatatumia gesi hii nafuu
3, kaya zao nyingi zitapikia gesi wakati sisi tukiendelea kupika na mkaa na kuni.
4. Watajenga kiwanda kikubwa cha mbolea wakayotumia kwenye kilimo chao na nyingine kuja kuuzwa tanzania na kwingine.
5. Vifaa na vipuli rahisi, imara na bora vya vifaa vinavyotumia gesi vitajaa kenya na kuingizwa Tanzania pia kuuzwa.
6. Gesi ya kupikia majumbani itatoka Kenya.

Sisi kwetu pamoja na kuwa na gesi kwa miaka mingi lakini tuna umeme ghali, tunapikia kuni na mkaa, na tunaagiza mbolea kutoka ng'ambo.

Watatuchekaaa saaaana, watatuimbaaa saaaana na watatuona mazombie.

Tukazane sisi kupata matunda ya gesi kabla yao badala ya kuongea sana bila vitendo.
Sasa wewe umekatazwa kufanya hayo? Ni serikali ya Kenya ndio itazalisha hizo bidhaa?

Wewe umejenga kiwanda ukangimwa gas?

Ujinga na hofu za kipuuzi kama.hizi ndizo zinafanya hii Nchi iwe Mkiani kwenye Kila kitu licha ya kuwa na kila rasilimali..

Changamana na wenye uwezo Ili unifunze kwao vinginevyo ukijifungia utaishia kurithisha ujinga Kwa vizazi na vizazi..In fact tunatakiwa kufuta viza hapa EAC Ili tuweze kujifunza kwa wenzetu kuwa aggressive kwenye biashara nk badala.ya ulalamishi na mentality za kutegemea serikali.
 
Watanzania tuna ugoigoi katika kutekeleza na kufanikisha yale tunayoyafikiria, tunayoyapanga na hata yale tuliyoamua kuyatekeleza. Mfano, hata wimbo wa kuhamia dodoma uliimbwa kwa miaka mingi sana kabla ya kutekelezwa'

Siku ambayo gesi yetu itafika Kenya, kesho yake tu asubuhi nishati ya gesi hiyo

1. itasambazwa kwenye viwanda vyote vya uzalishaji kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu ambazo zitakuja kuuzwa tanzania kwa bei nafuu kuliko zetu.
2. magari yao yote yatatumia gesi hii nafuu
3, kaya zao nyingi zitapikia gesi wakati sisi tukiendelea kupika na mkaa na kuni.
4. Watajenga kiwanda kikubwa cha mbolea wakayotumia kwenye kilimo chao na nyingine kuja kuuzwa tanzania na kwingine.
5. Vifaa na vipuli rahisi, imara na bora vya vifaa vinavyotumia gesi vitajaa kenya na kuingizwa Tanzania pia kuuzwa.
6. Gesi ya kupikia majumbani itatoka Kenya.

Sisi kwetu pamoja na kuwa na gesi kwa miaka mingi lakini tuna umeme ghali, tunapikia kuni na mkaa, na tunaagiza mbolea kutoka ng'ambo.

Watatuchekaaa saaaana, watatuimbaaa saaaana na watatuona mazombie.

Tukazane sisi kupata matunda ya gesi kabla yao badala ya kuongea sana bila vitendo.
Bora ubaki na ndege mmoja mkononi kuliko kufukuza wawili porini..TPDC badala ya kuanza kujenga bomba la gesi kwenda dodoma wanatumia pesa na muda eti kutafiti mafuta wembere..ridiculous!
Gesi ipo tele hujaitumia unaanza kitu kingine tofauti wakati mazingira yako yanateketea. Katiba mpya iweke utaratibu wa namna ya kupata CEO's wa mashirika ya umma kupitia open public interview vinginevyo maamuzi ya aina hii hayataisha..jirani anakuja kukuamsha lakini bado umelala.
 
Sasa wewe umekatazwa kufanya hayo? Ni serikali ya Kenya ndio itazalisha hizo bidhaa?

Wewe umejenga kiwanda ukangimwa gas?

Ujinga na hofu za kipuuzi kama.hizi ndizo zinafanya hii Nchi iwe Mkiani kwenye Kila kitu licha ya kuwa na kila rasilimali..

Changamana na wenye uwezo Ili unifunze kwao vinginevyo ukijifungia utaishia kurithisha ujinga Kwa vizazi na vizazi..In fact tunatakiwa kufuta viza hapa EAC Ili tuweze kujifunza kwa wenzetu kuwa aggressive kwenye biashara nk badala.ya ulalamishi na mentality za kutegemea serikali.
Atakayegharimia kujenga hilo bomba kutoka Tanzania kwenda Kenya ni wafanyabiashara au serikali ya Kenya? Ni Wajibu wa serikali kupeleka bomba la gesi karibu na watumiaji..bomba ni km barabara, kabla ya kupeleka gesi Kenya, inatakiwa gesi iwe imefika mwanza kwanza.
 
Hakuna gas inapelekwa Kenya boss, zile ni porojo za kisiasa za miaka yote. Kuna makubaliano ya kuanzisha sarafu ya pamoja ya east Afrika, toka enzi Mwai Kibaki na Mkapa wakiwa maraisi, lakini hakuna lolote limetekelezwa hadi sasa! Kupeleka Gas Kenya haitapungua $2t, nani ana hizo pesa sasa hivi wakati hata gas yenyewe mikataba yake haieleweki?

Zile zilikuwa ni porojo za kufurahisha genge ili viongozi wapige imprest vizuri. Inshort ogopa story za viongozi matapeli.
 
Hakuna gas inapelekwa Kenya boss, zile ni porojo za kisiasa za miaka yote. Kuna makubaliano ya kuanzisha sarafu ya pamoja ya east Afrika, toka enzi Mwai Kibaki na Mkapa wakiwa maraisi, lakini hakuna lolote limetekelezwa hadi sasa! Kupeleka Gas Kenya haitapungua $2t, nani ana hizo pesa sasa hivi wakati hata gas yenyewe mikataba yake haieleweki?

Zile zilikuwa ni porojo za kufurahisha genge ili viongozi wapige imprest vizuri. Inshort ogopa story za viongozi matapeli.
Unamaanisha nini kusema..NANI ANA HIZO PESA SASA HIVI..r you serious? Unalinganishaje suala la sarafu moja na ishu ya gesi? Potential ya kenya kwa sasa ni viwanda na wanajua hilo..lkn ndio akili za watanzania kila kitu ni mizaha mizaha..
 
Unamaanisha nini kusema..NANI ANA HIZO PESA SASA HIVI..r you serious? Unalinganishaje suala la sarafu moja na ishu ya gesi? Potential ya kenya kwa sasa ni viwanda na wanajua hilo..lkn ndio akili za watanzania kila kitu ni mizaha mizaha..

Tuna miradi ya bwawa la umeme $3.5, na SGR ya $7.5t na hakuna uliofika hata nusu. Kenya hapo ananuka mzigo wa madeni, ni wapi tutapata $2+ kujenga bomba la gas boss? Hebu nitajie wapi tutapata hizo pesa za kujenga bomba, sisi au Kenya, au wote kwa pamoja?
 
Nikikumbuka jinsi muswada wa uchimbaji ges ulivyopitishwa bungeni Tena usiku bila hata kutafakar et n mkataba wa dharula wenye manufaa nchini

Nabaki kuwashangaa viongoz wetu hasa KIKWETE sijui nia yao ilikuwa n ipi

Matokeo yake ges Bei juu umeme unakatika hovyo kila siku

Nasubir ajabu jingne la bwawa la stiglers gorge (JNHEP)

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama iko kwenye territory yetu basi ni mali yetu..mikataba siyo Bible au Koran inaweza badilishwa wakati wowote.

Si hayo hapo madini Magufuli aliishia kusema tunadai $192b, sasa hivi akina Kabudi wanaruka porojo zao, na bado Barrick wanachimba madini yaliyo kwenye nchi yetu? Nadhani hujui mikataba ya kimataifa ina ugumu gani kuibadili kutokana na matamanio yetu.
 
Si hayo hapo madini Magufuli aliishia kusema tunadai $192b, sasa hivi akina Kabudi wanaruka porojo zao, na bado Barrick wanachimba madini yaliyo kwenye nchi yetu? Nadhani hujui mikataba ya kimataifa ina ugumu gani kuibadili kutokana na matamanio yetu.
Kabla ya timu ya kina kabudi Twiga minerals Corp.. ilikuwepo? ilitarajiwa hata kuwepo? Kuna mabadililo hata km ni 20% si haba, ndiyo maana ya kuwa mikataba hiyo si misahafu inaweza kubadilishwa any time..tukijielewa.
 
Tuna miradi ya bwawa la umeme $3.5, na SGR ya $7.5t na hakuna uliofika hata nusu. Kenya hapo ananuka mzigo wa madeni, ni wapi tutapata $2+ kujenga bomba la gas boss? Hebu nitajie wapi tutapata hizo pesa za kujenga bomba, sisi au Kenya, au wote kwa pamoja?
AfDB..
 
Kabla ya timu ya kina kabudi Twiga minerals Corp.. ilikuwepo? ilitarajiwa hata kuwepo? Kuna mabadililo hata km ni 20% si haba, ndiyo maana ya kuwa mikataba hiyo si misahafu inaweza kubadilishwa any time..tukijielewa.

Huo mkataba wa Twiga minerals umeona au waliokuambia tunadai $192b ndio wanakuambia? Unaweza kuweka hapa hadharani kwa uhakika tija ya hiyo kampuni?
 
Kwa hiyo usipowauzia Kenya hiyo gesi ndio utakuwa umefaidikaje?

Si hata hizo bidhaa utazikosa au kuagiza nchi ya mbali kwa bei ghali zaidi?
Na je Watanzania wamepigwa marufuku kutumia hiyo gesi?

Una mentality ya kichawi sana, yaani kwa kuwa wewe umeshindwA kutumia maji kulima unakataa kumuuzia jirani yako ili wote mfe njaa??
 
Huo mkataba wa Twiga minerals umeona au waliokuambia tunadai $192b ndio wanakuambia? Unaweza kuweka hapa hadharani kwa uhakika tija ya hiyo kampuni?
Usionyeshe kama una matatizo ya akili kijana..lini mikataba iliwahi kuwekwa hapa ukasoma? Unashindwa kutafsiri maana ya badiliko la muundo wa umiliki kutoka Barrick kwenda Twiga una gani..sawa, faida moja, kugawana mapato kwa asilimia zilizokubaliwa ikiwemo ile 16% ya lazima ya umiliki wa rasilimali zote chini ya ardhi..sambamba na mrahaba na kodi zote, pili kushiriki kwenye maamuzi yanayohusu uendeshaji mgodi..kufahamu mikopo kama ipo na riba zake..faida au hasara, kiwango cha gharama za uendeshaji mgodi nk, yote hayo hayakuwepo kabla. Narudia tena mikataba si misahafu inaweza kubadilishwa..labda km unataka kuleta ubishani wa simba na yanga ambao unaweza amua kuwa mjinga hata kama ukweli unaujua.
 
Back
Top Bottom