Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
yes na JF pia unapatikana mpk kwa mama ntiliye
yes na JF pia unapatikana mpk kwa mama ntiliye
we hupendi chakula kitamu?Akijitangaza hadharan ye ni chakula tena kitamu na kinacholiwa naacha kutumia mitandao yake
na Pengine kamuiga Mr.Warren Buffet.....Huyu mzee lifestyle yake ni ya kipekee sana..
Kwani hata ukiwa na nyumba ya USD 100M unalala vyumba vingapi?ila mm warren buffet naona kama adanganya umati, ww mtu una networth ya 70 billion usd hlf uishi nyumba ya 30,000USD kama c uongo na kudanganya uma ni nini, labda kama hela zake zina mashart ya kichawi..lkn let us be honest sasa ina maana gani mtu uwe na pesa nyingi na miradi mingi inayokuingizia hela kila cku hlf still unajibana, bora utoe mali zako zote kwa charity ubaki na pesa ya kawaida au uwe maskini ujue moja,,
Yani kuna watu hela haiwazuzui. Na maisha ya kifahari hayawavutii hata kama wanayaweza. Ni lifestyle tu ya mtu.ila mm warren buffet naona kama adanganya umati, ww mtu una networth ya 70 billion usd hlf uishi nyumba ya 30,000USD kama c uongo na kudanganya uma ni nini, labda kama hela zake zina mashart ya kichawi..lkn let us be honest sasa ina maana gani mtu uwe na pesa nyingi na miradi mingi inayokuingizia hela kila cku hlf still unajibana, bora utoe mali zako zote kwa charity ubaki na pesa ya kawaida au uwe maskini ujue moja,,
Sema jamaa mimi napenda sana his life although he is copying Bill gates ways of getting rich ila he his far more better than bills
ila mm warren buffet naona kama adanganya umati, ww mtu una networth ya 70 billion usd hlf uishi nyumba ya 30,000USD kama c uongo na kudanganya uma ni nini, labda kama hela zake zina mashart ya kichawi..lkn let us be honest sasa ina maana gani mtu uwe na pesa nyingi na miradi mingi inayokuingizia hela kila cku hlf still unajibana, bora utoe mali zako zote kwa charity ubaki na pesa ya kawaida au uwe maskini ujue moja,,
Inasemekana mke wake ni mtoto wa Jack Chan kuna ukweli wowote?
Huyu mark mzembe tu mtu Ana pesa anashindwa nn kuajili mafashonista Hata wawili yy akutage nguo ziko tayar..
Mganga wake ndo namwambia avaage hivyo