Siyo kwamba ni haters tu wamemzushia hilo mkuu?Yeye ni 2 in 1, anakula na kuliwa.
Naunga mkono hoja
Mhhhhanaliwa?
Sema jamaa mimi napenda sana his life although he is copying Bill gates ways of getting rich ila he his far more better than billsna Pengine kamuiga Mr.Warren Buffet.....Huyu mzee lifestyle yake ni ya kipekee sana..
W.B way back alishaanza kutengeneza empire yake..Sema jamaa mimi napenda sana his life although he is copying Bill gates ways of getting rich ila he his far more better than bills
na Pengine kamuiga Mr.Warren Buffet.....Huyu mzee lifestyle yake ni ya kipekee sana..
HahahMatajiri wengi wenye pesa ya uhakika maisha yao ni kawaida sana akiwemo Bill Gates mwenyewe!! Sasa ungeoneshwa kabati la nguo la hawa wakwepa kodi wetu ndio ungeshangaa suti zilivyojaa, nyingine hata hawazivai lakini bado wanazivundika!!
Umejuaje kuwa utajiri wake ni wa ndagu?Ndagu mbaya sana hahahaahha
Akili ya mwafrika hiyo....Umejuaje kuwa utajiri wake ni wa ndagu?
Ukipenda ua penda na boga lake... Unaempenda analiwaSema jamaa mimi napenda sana his life although he is copying Bill gates ways of getting rich ila he his far more better than bills
nimechaka hadi machozi. Asante mkuuMatajiri wengi wenye pesa ya uhakika maisha yao ni kawaida sana akiwemo Bill Gates mwenyewe!! Sasa ungeoneshwa kabati la nguo la hawa wakwepa kodi wetu ndio ungeshangaa suti zilivyojaa, nyingine hata hawazivai lakini bado wanazivundika!!
Wazungu kwenye hilo wla hawanaga konakona angeshajitangaza kitambo sanaKwani huyu si ni chakula ????
Ww jamaa ni mvivu kusoma!! Uzembe wake upo wapi??Huyu mark mzembe tu mtu Ana pesa anashindwa nn kuajili mafashonista Hata wawili yy akutage nguo ziko tayar..
Mganga wake ndo namwambia avaage hivyo