afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
I know, I know.
Nimechungulia pale nikatoka haraka, embu hamieni kwa akubwa bana.
Mbona hata hamna la maana saaana. is just a Tampon. :yawn:
I know, I know.
Nimechungulia pale nikatoka haraka, embu hamieni kwa akubwa bana.
Mbona hata hamna la maana saaana. is just a Tampon. :yawn:
Ewwwwwww.
Mbona hata hamna la maana saaana. is just a Tampon. :yawn:
hahahahahaha lol umenifanya ni cheke lol..
usifanye kazi ninayoifanya sasa hahahaha lol
"unaijua" hutakula mwezi lol
Hahahaha ile nadhani naweza nikapiga moyo konde. Hii ya Ewwww naigopa na kuiogopa, yani hua naona kama vile sio safe.
Hahahaha sio wanapanga bana ila wanakua wamesababisha wenyewe bila kufikiria madhara yanayoweza kujitokeza huko mbeleni. Hiyo bold mimi kama mimi, bila kujali jamii inayonizunguka nachukulia mtu anaetoka nje ya mahusiano yake kua hamheshimu mwenzi wake. Kwasababu kucheat kunamzalilisha mwenzi huko nje kwa hao/huyo anaecheat nae pamoja na wale wanaojua kinachoendelea wakati yeye hajui.
Embu niambie wanaocheat ilhali hawakupanga ndio wanakuaje? Wamelewa au wameleweshwa?
What is a tampon?
:focus::focus:
What is a tampon?
That thing that uuuhhhm. . . women use. For more info ask Kurwa(Afro), ye ndie mtaalam.
Hahahaha ile nadhani naweza nikapiga moyo konde. Hii ya Ewwww naigopa na kuiogopa, yani hua naona kama vile sio safe.
Binafsi ningekua najua hizo sababu nisingeuliza, kama hujali naomba unifumbue macho walau kidogo.hapo bold....sawa tunakubaliana
hapo pengine, ni kama umeshajua 'kutabiri' maana ukifikiria zaidi utapata sababu lukuki zaidi ya 'kulewa'
Do you use it?
So what is it used for?
hahahahah haya bana ..
hiyo ni normal reaction kwa hichi kitu ...
periods.....
Nakaogopa kuliko mume mnyanyasaji.