Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
sikubaliani na hili hata kidogo
mtu mnayekutana naye mkiwa na meno 32 habadili unachokiamini.
Mwanamke wa aina huyo anakuwa cheater toka huko alikotoka. Hapo anakuwa kapata stimulus tu hamna lolote
mtu mnayekutana naye mkiwa na meno 32 habadili unachokiamini.
Mwanamke wa aina huyo anakuwa cheater toka huko alikotoka. Hapo anakuwa kapata stimulus tu hamna lolote
Wanaume ndio wamefanya wanawake wabadilike,wamechoka kulia kila siku peke yao ndani huku Mume anarudi asubuhi nayeye kwa vile ni binadamu anahitaji faraja.