Rafiki yangu ambaye anatarajia kufunga ndoa mwanzoni mwa mwezi wa Tano, baada ya kumtaka mapenzi mpenzi wake kabla ya kufunga ndoa, mpenzi huyo amemkatalia katakata kwa kile alichodai kuwa anaweza akapata ujauzito kabla ya kufunga ndoa hivyo kama vipi wahamie MABWEPANDE, sasa nilichoulizwa mimi na huyu best wangu ni kuwa huko Mabwepande kunauhusiano gani na swala zima na mahusiano? Mimi nahisi huyo binti anataka nini ila nikaona kabla sijamjibu niwaulize wana JF Hiyo mabwepande inakujaje hapo?