SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
hahahahahaaa wala hata nilikuwa simkodolei bhana, alshabab wale kwani mi napenda kulipuliwa!
Dah jana nilimuona mbabu mmoja kutoka huko tandahimba kwenu analalamika hakuna maji anapiga dash ya kuoga mpaka wiki
ya tandahimba we tuachiage wenyewe tu, tena me naona habari za maji siku hizi nafuu kwani tunapataga kamgao ka mvua from sir god! Korosho tumekopesha toka mwezi wa oct.2011. Mpaka leo tunapigwa sound tu, yale yale ya kuku na vifaranga mtanyonya kesho!