Kweli watu wameamua, yaani topic ya jwtz daily haikomi, au kuna kitu nini jeshini hebu tuambizane jamani. Ila kuwa na subira tu bro lazima watatoa, while waiting for that nakushauri endelea na michakato mingine, wanaweza wakatoa then ukakosa vigezo vingine kama afya na umri
Kweli watu wameamua, yaani topic ya jwtz daily haikomi, au kuna kitu nini jeshini hebu tuambizane jamani. Ila kuwa na subira tu bro lazima watatoa, while waiting for that nakushauri endelea na michakato mingine, wanaweza wakatoa then ukakosa vigezo vingine kama afya na umri
kaka jishughulishe na dili nyingine, jwtz siku hizi ni kimya kmya wala hutakaa usikie, watu tulisubri tukachoka, now tunapiga maishu mengine, tumepotezea kabisa hizo ishu za offisa kadets!
Nakushauri achana na maneno ya kuunganishwa kimyakimya kama baadhi ya watu walivyochangia. Eti kimya kimya alafu wametokea JKT sasa hapo kimyakimya kiko wapi? Tuanche kuendekeza uongo na kupenda sifa za kijinga eti hii ni Tanzania je ukiwa UGANDA kila kona mtoto wa KIGOGO mngesemaje tena?
Cha kufanya ni write in process. Andika barua makao makuu ya jeshi eleza uwezo wako, ni engineer wa kitu gani mfano chemical engineer, civil engineer au medical engineer. usisubiri waite apply kadiri uwezavyo. Ikishindikana cheki na ubalozi wa Canada wanauhitaji mkubwa wa human resource kule kwao hasa Jeshini.
Nakutakia kila la kheri