JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

Nashangaa sana viongozi wa JWTZ wanapogoma kujiuzuru kwa madai ya kuwa JESHI SI SIASA. Nishindwa waelewa kwani jeshi lipo chini ya Wizara ya Ulinzi ambayo msingi wa Siasa, na inaongozwa na Waziri ambaye nae ni Mwanasiasa! Hapa wanapaswa kujiuzuru kwa ile tunasema MINISTERIAL RESPONSIBILITY, Wanapaswa jiuzuru coz hili c tukio lao la kwanza, wanatakiwa wawe Accauntable (wawajibike) kwa matendo yao, wajiuzuru kuepuka balaa siku za usoni, wajiuzuru coz siku 3 kabla ya milipuko walifanya ukaguzi ulioshindwa baini tatizo na pengine yaweza kuwa wao ndio chanzo cha hyo milipuko, wajiuzuru kwa sababu wamelitia taifa hasara, kwan siku c nyingi waliingiza silaha mpya ambazo nazo zimeteketea, viongozi wa jeshi wajiuzuru kwa sababu waweshindwa kutulinda, wamesababisha vifo vya raia na kutishia usalama wa taifa. Ni jambo la kushangaza kwa jeshi lililokuwa bega kwa bega na kampeni za uchaguzi kukana leo kuwa sio la siasa. Wote twajua jeshi letu limejawa na wanasiasa wenye kadi za chama fulani, wanaosubilia nafasi fulani serikalini, so WAJIUZURU KWA SABABU ZA KISIASA "ministerial responsibility", wajiuzuru kwa kuwa wemeshindwa tupa ulinzi sisi raia!

Hebu tusaidie kitaalamu haya matukio yamesababishwa na nini hasa?. Naomba majibu yasiwe ya CCM Vs CDM naomba sababu za kitaalamu nadhani wenzetu mnaweza kuwa na fununu kidogo.
 
Nashangaa sana viongozi wa JWTZ wanapogoma kujiuzuru kwa madai ya kuwa JESHI SI SIASA. Nishindwa waelewa kwani jeshi lipo chini ya Wizara ya Ulinzi ambayo msingi wa Siasa, na inaongozwa na Waziri ambaye nae ni Mwanasiasa! Hapa wanapaswa kujiuzuru kwa ile tunasema MINISTERIAL RESPONSIBILITY, Wanapaswa jiuzuru coz hili c tukio lao la kwanza, wanatakiwa wawe Accauntable (wawajibike) kwa matendo yao, wajiuzuru kuepuka balaa siku za usoni, wajiuzuru coz siku 3 kabla ya milipuko walifanya ukaguzi ulioshindwa baini tatizo na pengine yaweza kuwa wao ndio chanzo cha hyo milipuko, wajiuzuru kwa sababu wamelitia taifa hasara, kwan siku c nyingi waliingiza silaha mpya ambazo nazo zimeteketea, viongozi wa jeshi wajiuzuru kwa sababu waweshindwa kutulinda, wamesababisha vifo vya raia na kutishia usalama wa taifa. Ni jambo la kushangaza kwa jeshi lililokuwa bega kwa bega na kampeni za uchaguzi kukana leo kuwa sio la siasa. Wote twajua jeshi letu limejawa na wanasiasa wenye kadi za chama fulani, wanaosubilia nafasi fulani serikalini, so WAJIUZURU KWA SABABU ZA KISIASA "ministerial responsibility", wajiuzuru kwa kuwa wemeshindwa tupa ulinzi sisi raia!

Uelewa wako wa sheria iliyounda JWTZ ni mdogo.
Soma kwanza sheria husika ndio uwatake makamanda wajiuzulu.
 
watu wenyewe darasa la saba, msiwasimange buree makamanda wa watu waliopewa leseni za kuua

pamoja na sentiments zilipo katika tukio hili la kusikitisha...tujitahidi kutokupayuka mradi tu tunajua kupayuka kwa keyboard.hapo kwenye bold... Una uhakika? Maneno kama haya ya mtaani ndio hufanya hata michango humu saa nyingine kuonekana ya kijiweni zaidi na kukosa mashiko.

Fanya kautafiti kidooogo uone..huenda hata wewe wamekuzidi madarasa kwa mbali sana...
Samahani kama nimekukwaza maana naongea kwa ufahamu nilio nao zaidi.

Tofautisha kyeshi la enzi zileeee na jeshi la sasa mkuu!
 
Nashangaa sana viongozi wa JWTZ wanapogoma kujiuzuru kwa madai ya kuwa JESHI SI SIASA. Nishindwa waelewa kwani jeshi lipo chini ya Wizara ya Ulinzi ambayo msingi wa Siasa, na inaongozwa na Waziri ambaye nae ni Mwanasiasa! Hapa wanapaswa kujiuzuru kwa ile tunasema MINISTERIAL RESPONSIBILITY, Wanapaswa jiuzuru coz hili c tukio lao la kwanza, wanatakiwa wawe Accauntable (wawajibike) kwa matendo yao, wajiuzuru kuepuka balaa siku za usoni, wajiuzuru coz siku 3 kabla ya milipuko walifanya ukaguzi ulioshindwa baini tatizo na pengine yaweza kuwa wao ndio chanzo cha hyo milipuko, wajiuzuru kwa sababu wamelitia taifa hasara, kwan siku c nyingi waliingiza silaha mpya ambazo nazo zimeteketea, viongozi wa jeshi wajiuzuru kwa sababu waweshindwa kutulinda, wamesababisha vifo vya raia na kutishia usalama wa taifa. Ni jambo la kushangaza kwa jeshi lililokuwa bega kwa bega na kampeni za uchaguzi kukana leo kuwa sio la siasa. Wote twajua jeshi letu limejawa na wanasiasa wenye kadi za chama fulani, wanaosubilia nafasi fulani serikalini, so WAJIUZURU KWA SABABU ZA KISIASA "ministerial responsibility", wajiuzuru kwa kuwa wemeshindwa tupa ulinzi sisi raia!

Kweli uelewa wako ni mdogo sana. Inavutia sana kuona ni jinsi gani watanzania wamejenga negative attitude dhidi ya jeshi lao wenyewe. This is very useful to the enemy (your current friend). Inasikitisha sana pale watu wanaposhindwa kutambua kuwa silaha zimekuwa positioned ili kuwalinda ninyi mnaodai kwamba jeshi limeshindwa kuwalinda. Si ajabu mbunge mmoja alihoji kwa nini jeshi linunue silaha wakati vita hakuna. Hujui kwamba wewe unapata nafasi ya kuandika hate posts hapa kwa sababu tu kuna watu wanatembea na hayo mabomu kwenye mapeki yao ili wewe uwe salama. Amani inalewesha vibaya sana. Haiyumkini wewe utataka jeshi liwe disolved kwa "kushindwa majukumu yake" japo kuwa mipaka ni salama. Kiazazi kisichotizama mambo kwa mapana yake. Inakera sana. Think outside the box. Sio tu kwamba kila siku utaamka na kwenda biicanas au kariakoo kama unavyotaka. Ni katika kipindi cha amani pale jeshi linapojipanga katika mkao wa kivita. So stop hate posts na mlete constructive ideas. Mods, naona sasa jamii forums inatumika kuchukua rumours mtaani ni kuzileta kama breaking news. Posts kama "kuna jamaa yangu ameniambia kwamba wanajeshi walitaarifiwa kuondoa family zao mapema" mzichunguze kwa kina. Kuna asilimia kubwa ya wanajeshi wanaoishi kuzunguka kambi la gongolamboto. And their families suffered in the same degree like everybody else. Kama hamjui watu wenye walikimbilia kwenye family za wanajeshi kujua nini cha kufanya. Please make JAMII FORUMS THE HOME OF GREAT THINKERS and not great gossipers.
PATRIOTISM.
 
Kweli uelewa wako ni mdogo sana. Inavutia sana kuona ni jinsi gani watanzania wamejenga negative attitude dhidi ya jeshi lao wenyewe. This is very useful to the enemy (your current friend). Inasikitisha sana pale watu wanaposhindwa kutambua kuwa silaha zimekuwa positioned ili kuwalinda ninyi mnaodai kwamba jeshi limeshindwa kuwalinda. Si ajabu mbunge mmoja alihoji kwa nini jeshi linunue silaha wakati vita hakuna. Hujui kwamba wewe unapata nafasi ya kuandika hate posts hapa kwa sababu tu kuna watu wanatembea na hayo mabomu kwenye mapeki yao ili wewe uwe salama. Amani inalewesha vibaya sana. Haiyumkini wewe utataka jeshi liwe disolved kwa "kushindwa majukumu yake" japo kuwa mipaka ni salama. Kiazazi kisichotizama mambo kwa mapana yake. Inakera sana. Think outside the box. Sio tu kwamba kila siku utaamka na kwenda biicanas au kariakoo kama unavyotaka. Ni katika kipindi cha amani pale jeshi linapojipanga katika mkao wa kivita. So stop hate posts na mlete constructive ideas. Mods, naona sasa jamii forums inatumika kuchukua rumours mtaani ni kuzileta kama breaking news. Posts kama "kuna jamaa yangu ameniambia kwamba wanajeshi walitaarifiwa kuondoa family zao mapema" mzichunguze kwa kina. Kuna asilimia kubwa ya wanajeshi wanaoishi kuzunguka kambi la gongolamboto. And their families suffered in the same degree like everybody else. Kama hamjui watu wenye walikimbilia kwenye family za wanajeshi kujua nini cha kufanya. Please make JAMII FORUMS THE HOME OF GREAT THINKERS and not great gossipers.
PATRIOTISM.


Nimeipenda hii post Mkuu! I wish u were near I would have give you a pat on ur back!

hizo bold..haters wasome kwa makini waelewe na waache kuonyesha ignorance unprecedented!
This get me thinking...ingekuwa JF ni public arena ambapo watu wanaitwa kwa majina kuzungumza mbele ya kadamnasi nadhani kuna watu wangezomewa pale wanapoanza kufuangua mdomo..na kuna wengine wangenyamza kama bubu .... bora uwe bubu kuliko kufungua mdomo na kutoa pong of nonesense!
 
Mambo mengine siongei, ila hili la mavazi huyo afande yupo sawa kutokana na kitengo chake, DCI Manumba wa Polisi hata anapomwakilisha IGP huvaa kiraia pia.

Napingana na wewe kigodo sababu kwa mifumo tuliyochukua na tunayotumia jeshi ni tofauti na Polisi. Kitengo cha CID ni tofauti na kitengo zna intelligence cha jeshi. Wao CID (kama vile FBI au hata CIA) wanafanya intelligence ambayo sehemu kubwa inahusiana na raia kwa hiyo ndio maana kitengo hicho kinakuwa kikibwa na institionalized kama tofauti na jeshi. Kwa hiyo mkurugenzi wa CID ana haki ya kuonekana kiraia kwa niaba ya Mkuu wa polisi, kama wanavyofanya FBI au CIA. Hao CID yetu, CIA na FBI wanavaa kiraia ili kufanikisha cover yao wakati wanapeleleza uraiani.

Lakini jeshi ni vingine sababu intelligence yao sana sana ni ndani ya jeshi lao (kama vile Military Police (MP) na kwa hiyo kitengo hiki hakituhusu sisi raia moja kwa moja kama polisi. Hata kama bosi wa jeshi ni mkuu wa MP, wakati wa emergency kama hii si lazima tumuone na sare zake za MP lakini za jeshi na za kivita.

Kama nilivyosema awali, mlipuko wa mabomu kama huu kwa upande wa jeshi lazima uchukuliwe kama vita, kwa hiyo na wao lazima waoneshe picha hiyo ili kutupa sisi raia confidence, na si kutokea hadharani kama mtu anakwenda dukani! Ni kwa sababu tu na jeshi letu limepitwa na wakati (hasa top brass) lakini kwa nchi zilizoendelea kwa hiyo milipuko wasinge rule out sabotage haraka kama sisi. Je, wamechunguzaje haraka haraka within a few hours kuona kwamba hakuna mtu aliye temper na hayo mabomu mazee yakalipuka? Ni kwa sababu hawataki kwenda kiundani kisayansi kwa hiyo wanachukulia mambo kirahisi rahisi tu (kizamani). Mimi si mtaalam wa mabomu lakini naona kwa namna jeshi letu linavyofanya kazi, ni rahisi sana mtu kutumia njia za kisayansi (mambo ya change of pressure, temperature, humidity, etc) kutushambulia wakati sisi tumelala kutokana na tabia yetu iliyokomaa ya kutojali uhai wa watu, kutokuwa makini na kwenda na wakati kisayansi na teknologia.

Kwa hiyo point wangu ni kwamba kwa muda wote ambao wanashungulikia suala hili jeshi lingetakiwa ku react kama vile tumevamiwa na kutoa picha halisi ya jeshi. Kwa hiyo si ajabu hata hivi sasa tukivamiwa somebody kutoka jeshi atatokea hadharani na nguo za kiraia na kutoa kauli za mkuu wa jeshi sababu tu yeye ni kitengo cha Intelligence au daktari wa jeshi!
 
Sidhani kama JWTZ wana uelewa mdogo bali kukosekana kwa utashi wa kisiasa katika kushughulikia matatizo yanayolikabili JWTZ.
 
Waandishi na JF mtakaokuwepo mumuulize maswali kwanini hajajiuzulu na waziri wake?

Mkuu Masa, hizi ni habari nyeti haziruhusiwi kabisa kuulizwa popote pale. Si unakumbuka ile kasheshe ya wizi wa $155m za meremeta jinsi ulivyozimwa kiaina aina kwa kudai kwamba Meremeta ilihusu pia jeshi na kwa kuwa jeshini kuna nyeti nzito basi hakutakuwa na maswali yoyote wala mjadala. Kauli hii ilitolewa na Pinda.
 
Wanaweza kujiuzulu..lakini tujiulize jee wakifanya hivo ndio itakuwa dawa ya haya mabomu kuripuka hovyo ? Jibu bila shaka ni hapana...kuna uwezekano mkubwa ni kwamba jeshi letu lina uhaba wa utaalam wa kuhifadhi silaha hasa za kisasa. Walishazoea kuwa na silaha zile za kirusi za world war ii ..sasa hizi silaha mpya ziko more delicate zinahitaji care ya haali juu sio kuyatupa tu kwenye ghala kama magunia ya mchele..yataendelea kuripuka kama jeshi letu halita tafuta njia bora ya kuhifadhi silaha.
Kama hizi silaha zinaripuka hovyo namna hii na zinahifadhiwa ndani ya ghala za wazi tu basi hatari sio kwa ajali kama za mbagala na gongo la mboto tu basi hata usalama wetu kujilinda kama nchi itaingia vitani basi adui ni rahisi kwa kutumia surface to surfce missiles ama ndege kuweza ku destroy armour ama ghala za silaha na kufanya kambi nzima kutokalika na hii ikitokea basi italeta madhara makubwa kwa jeshi letu kuweza kushinda. Hii ilitokea katika vita ya misri na israel vya 1967 -7 days war ambapo israel walizichakaza ndege zote za misri pamoja na ghala za silaha kwa sababu tu zilikua zimehifadhiwa kwa uwazi na uwanjani na silaha zilikuwepo ndani ya ma warehouse tu.....hatimaye kila mtu anajua israel walichukua eneo lote la sinai na jeshi la misri lilikua totaly paralysed.
Jeshi letu linatakiwa kujenga bunkers za kuhifadhi silaha .katika kila kambi inatakiwa kuwa na bunker ambazo zinaweza ku resists any attacks....na ndani ya hizo bunkers kuwe na separate rooms kwa ajili ya kuhifadhi silaha katika kila chumba ili kama chumba kimoja kikiripuka basi athari haifiki njee wala kwenye chumba chengine.

Hii ni just underground concrete bunkers ambazo naamini jeshi lina ma engineers ambao wanajua bunker gani za kujenga.
Nashauri wizara ya ulizi iweke katika bajeti yake ya mwaka huu fungu la kujenga bombs resistance bunkers katika kambi zote za tanzania.

Mungu ibariki tanzania
 
Napingana na wewe kigodo sababu kwa mifumo tuliyochukua na tunayotumia jeshi ni tofauti na Polisi. Kitengo cha CID ni tofauti na kitengo zna intelligence cha jeshi. Wao CID (kama vile FBI au hata CIA) wanafanya intelligence ambayo sehemu kubwa inahusiana na raia kwa hiyo ndio maana kitengo hicho kinakuwa kikibwa na institionalized kama tofauti na jeshi. Kwa hiyo mkurugenzi wa CID ana haki ya kuonekana kiraia kwa niaba ya Mkuu wa polisi, kama wanavyofanya FBI au CIA. Hao CID yetu, CIA na FBI wanavaa kiraia ili kufanikisha cover yao wakati wanapeleleza uraiani.

Lakini jeshi ni vingine sababu intelligence yao sana sana ni ndani ya jeshi lao (kama vile Military Police (MP) na kwa hiyo kitengo hiki hakituhusu sisi raia moja kwa moja kama polisi. Hata kama bosi wa jeshi ni mkuu wa MP, wakati wa emergency kama hii si lazima tumuone na sare zake za MP lakini za jeshi na za kivita.

Kama nilivyosema awali, mlipuko wa mabomu kama huu kwa upande wa jeshi lazima uchukuliwe kama vita, kwa hiyo na wao lazima waoneshe picha hiyo ili kutupa sisi raia confidence, na si kutokea hadharani kama mtu anakwenda dukani! Ni kwa sababu tu na jeshi letu limepitwa na wakati (hasa top brass) lakini kwa nchi zilizoendelea kwa hiyo milipuko wasinge rule out sabotage haraka kama sisi. Je, wamechunguzaje haraka haraka within a few hours kuona kwamba hakuna mtu aliye temper na hayo mabomu mazee yakalipuka? Ni kwa sababu hawataki kwenda kiundani kisayansi kwa hiyo wanachukulia mambo kirahisi rahisi tu (kizamani). Mimi si mtaalam wa mabomu lakini naona kwa namna jeshi letu linavyofanya kazi, ni rahisi sana mtu kutumia njia za kisayansi (mambo ya change of pressure, temperature, humidity, etc) kutushambulia wakati sisi tumelala kutokana na tabia yetu iliyokomaa ya kutojali uhai wa watu, kutokuwa makini na kwenda na wakati kisayansi na teknologia.

Kwa hiyo point wangu ni kwamba kwa muda wote ambao wanashungulikia suala hili jeshi lingetakiwa ku react kama vile tumevamiwa na kutoa picha halisi ya jeshi. Kwa hiyo si ajabu hata hivi sasa tukivamiwa somebody kutoka jeshi atatokea hadharani na nguo za kiraia na kutoa kauli za mkuu wa jeshi sababu tu yeye ni kitengo cha Intelligence au daktari wa jeshi!

Kazi ya jeshi ni kulinda nchi pamoja na mipaka yake, nchi ni ardhi na vyote vilivyomo ikiwemo watu. Hivi jeshi linapofanya, kwa mfano, upelelezi wa uslama wa mipaka ya nchi si ni vema wawe undercover. Lakini ukitaka kujua zaidi kazi ya jeshi hebu rejea kesi za uhaini zilizowahi tokea Tanzania, mimi mwenzio nilipata picha fulani kwamba hao jeshi wamejitanua mpaka uraiani kwa siri.
 
Katika taarifa yake,Baraza la Usalama la Taifa limeongelea vipengele 14,viwili kati ya hivyo ni pongezi kwa JWTZ.Moja, kwa kuokota mabomu yaliyozagaa ambalo ni jukumu lake kwa tukio lililosababishwa na shughuli zake na pili, kuzima moto uliosababishwa na mlipuko wa mabomu yao ambao wasingeuacha uendelee kuwaka!

Pongezi hizi hazina mantiki na zinaonekana kama kuwasanifu watu waliopoteza wapendwa wao na watu waliopoteza viungo vyao na mali zao. Ingekuwa busara kwa Baraza la Usalama kuzungumza mengine kwenye ripoti yake bila kuhusisha pongezi kwa mtu yeyote au kwa taasisi yoyote kwenye kipindi hiki cha msiba mkubwa.

Kwangu mimi,nazichukulia pongezi hizo kama kumpongeza mtu aliyekojoa ndani ya nyumba kwa kudeki mkojo wake baada ya mkojo huo kusababisha mtu mwingine ateleze,aangukie kisogo na kufa!

Kabla ya tukio,JWTZ walipaswa kujua kuwa mabomu hayo yangelipuka, hawakuchukua hatua kudhibiti hali hiyo. Wakati wa tukio, JWTZ iliona watu wakihangaika kuhama eneo la mlipuko, haikutoa mabasi na malori kusaidia kuhamisha watu.Baada ya tukio, JWTZ, yenye hospitali kubwa ya Lugalo na madaktari wataalam wa hali ya juu haikusaidia tiba kwa baadhi ya majeruhi. Hata kutoa ambulance kuwapeleka huko huko Amana na Muhimbili hawakutoa. Hata chakula cha msaada na mahema hayakutolewa toka JWTZ licha ya kuwa navyo vingi mno!

Watu kama hawa wasiowajali wananchi wenzao walioteseka kwa suala linalohusu shughuli yao (ya JWTZ) wamepewa pongezi ya nini?
 
Sidhani kama JWTZ wana uelewa mdogo bali kukosekana kwa utashi wa kisiasa katika kushughulikia matatizo yanayolikabili JWTZ.

Wanajeshi wetu wana uelewa lakini kutokana na shida wa kiingereza wanashindwa kwenda na mabadiliko ya kisasa ya sayansi na teknolojia kwa hiyo ujuzi wao umedumaa ("crude"). Ndio maana selection ya kwenda kwenye peace keeping missions inapokuja Tanzania wengi wao hawachukuliwi (wanafeli) na hii ni kwa wanajeshi na polisi.
 
Kazi ya jeshi ni kulinda nchi pamoja na mipaka yake, nchi ni ardhi na vyote vilivyomo ikiwemo watu. Hivi jeshi linapofanya, kwa mfano, upelelezi wa uslama wa mipaka ya nchi si ni vema wawe undercover. Lakini ukitaka kujua zaidi kazi ya jeshi hebu rejea kesi za uhaini zilizowahi tokea Tanzania, mimi mwenzio nilipata picha fulani kwamba hao jeshi wamejitanua mpaka uraiani kwa siri.

Kazi za jeshi nazifahamu lakini hoja kuu ni ku justify mwakilishi wa mkuu wa jeshi kuzungumzia hilo janga akiwa kavaa kiraia kwa sababu yeye ni undercover!
 
02_11_bttu57.jpg

Jacob Nyajiego (mwenye suti nyeusi) akipita kutoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yaliyohifadhi miili ya marehemu mke wake, Rozi Nyajiego (34) na watoto wake wawili, Clementina Nyajiego (4) na Stella Nyajiego (miezi 3) waliokufa kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba wakati wa milipuko ya mabomu. Ibada ya kuwaaga ilifanyika nyumbani kwake Mzambarauni, Gongo la Mboto Dar es Salaam. Miili ya marehemu hao ilisafirishwa kwenda Rorya, mkoani Mara kwa maziko. (Picha na Fadhili Akida).
 
Monday February 21, 2011 Tanzanians have been failed twice

MY condolences to the families of the victims of Gongo la Mboto bomb explosions, it is a real tragedy. As usual, politicians will begin politicizing the issue; everyone will have something to say about it.

Some will come up with theories about the causes of the explosions: sabotage (who is sabotaging who?), expiration of the bombs, overheating – all of the sudden, everyone is explosives expert. Some say it was done to divert attention from the power crisis; if so, then big fail cause now some people are blaming Tagisco (Tanzania Giza Supplying Company) for it!

I do not blame the speculations; if the real experts are not giving answers, then everyone will come up with an answer, go on speculate.

It is about two years since the Mbagala explosions but to date, no official report as to what happened down there has ever been made public, so we do have lots of questions.

And now this, well we do not expect to be given any answers; maybe they think we are too dumb to understand them anyway. But when accidental series of bomb explosions happen for the second time in two years, killing our loved ones, I think we deserve answers more than the free lunches and compensations.

Maybe our armed forces are bored of The Island of Peace title, because seriously, from what I saw on TV, we are no different from Darfur – 4,000 people displaced in one night is no joke! 20 people dead in less than 12 hours, it sure sounds like a country at war!

Maybe our security forces are too tired to be sitting idle. When was the last time they went to a real war? Not the Anjuwn; that was child's play. I am talking about something serious like the Kagera war.

May be they should be asking for friendly wars with other peaceful countries, the likes of Botswana, Zambia and Malawi. Or we should provoke someone, like the Somali pirates, who are making our imports expensive. Using our ammunitions on them would surely be useful for our crippling economy!

I do not have problems with the proximity between the camps and the residential areas. I am no explosive expert but I sure know that ammunitions do not go off unless they are triggered off! So, the question is who triggered the Mbagala bombs? What triggered the Gongo la Mboto bombs?

In my candid opinion, Defence Minister Hussein Mwinyi and Chief of Defence Forces (CDF) General Davis Mwamunyange, should step down! They should take along whoever they think should go down with them. They had told us that the Mbagala was an accident and that it won't happen again. This, to us, means that the Gongo la Mboto accident was pure negligence!

I know that being the top guys; they did not have anything to do with what happened at Mbagala and Gongo la Mboto. Yet, someone under their domains did not do their job properly. This means that the top guns did not supervise their subordinates well to make sure the job was well done. In the bottom line, it happened under their watch twice. They have, therefore, failed Tanzanians twice!

Of course, they shouldn't worry about their careers, Tanzanians forget fast, and if history has anything to do with it, Dr Mwinyi might in future become the Prez, just like his daddy!

On top of that, two years ago the two leaders promised us that ‘this will not repeat again'. People living in Upanga, Ukonga, Lugalo, Changanyikeni, Mgulani should please start moving o relatively safe areas. For I also take it that when they say that it will not take place again, the opposite shall be the truth.

Thinking about it, all Dar es Salaam residents should move out – which part of Dar does not a have a military camp? We are all sitting on a time bomb which is ready to explode at any minute.

With this game we are playing, one day a bomb might land on the country's seat of power, the State House. This is the same country in which motor vehicles in a presidential motorcade were filled with adulterated oil, and guess what: The petrol station that was involved in the scandal is still operating and it is business as usual!
 
Back
Top Bottom