JWTZ na Jeshi la China wakiwa katika mafunzo ya kijeshi, Kigamboni Dar es salaam

sasa mtu akija na bunduki hizo karate zitasaidia nini?? tena mtu mwenyewe sniper!! watu siku hizi wanapiga kwa ndege tu tena nyingine hazina hata rubani....manowari inatia nanga huko international waters wanabonyeza button tu huku majengo yanakuwa kifusi....hizo karate mtazifanyia nini???

Huyo sniper bila kujua mazoezi ya mwili atadandanda kwenye magorofa au kupinduka upande wa pili akiwa mzito kama gunia?
 
Yaani baada ya hayo mazoezi alafu inakuwaje? Me nilijua wanakuja kuwafundisha technologia za kurusha ndege zisizo na ruban, sasa ngumi za mikono wap zinatumika duniani......? aha ok ok labda zile za kugombea wanawake bar.....wat a waste of Resources?

huenda wanataka kwenda kupigana na islamic state kule iraq na syria ambao wanafikiri duniani zile style za vita ya badr ya karne ya saba bado zinafanya kazi, watu hawana muda wa kupiga ngumi tom hawk zinadondosha tani za demokrasi toka angani hakuna kiumbe anabaki hata akiwa na ghazabu kiasi gani.
 
Wewe ni punguani na haujui art of war hata ukasome kinyumenyume bado utakuwa punguani tu.

Hawa walikuwa angani?


huenda wanataka kwenda kupigana na islamic state kule iraq na syria ambao wanafikiri duniani zile style za vita ya badr ya karne ya saba bado zinafanya kazi, watu hawana muda wa kupiga ngumi tom hawk zinadondosha tani za demokrasi toka angani hakuna kiumbe anabaki hata akiwa na gadhabu kiasi gani.
 
Jeshi la China liko mbele kuliko majeshi yote duniani ikiwemo marekani.Jeshi la CHINA ndilo jeshi pekee duniani lenye makombora ya kutungulia satellite zilizoko anga za juu.Vita vya kisasa vinatumia teknolojia inayotegemea satelite kuanzia ndege zisizo na rubani,makombora n.k Sasa mchina ukianzisha vita naye leo wala hakulengi wewe anachofanya anavurumisha kombora anga za juu ziliko satelite zako.Akizitungua mawasiliano yote yanakufa kuanzia ya simu,internet,mawasiliano ya kivita n.k yote yanakufilia mbali anabakia yeye tu na mawasiliano yake na hapo mziki ndio utaanza wa kivita ndio utamjua mchina ni nani.

Marekani wanawaogopa mno toka wajue wana makombora ya kutungua satelite.Ndio maana marekani haongelei kuilaani china kuhusu haki za binadamu,mambo ya vyama vingi na upuuzi mwingine anaotuvalia njuga dunia ya tatu.Kaufyata kimya.ANAOGOPA MCHINA.

Nani amesema? Unafikiir vita ni kama kuamka kutoka kwenye kitanda cha mkeo?
Vita sio lazima kuchukua silaha pekee yake. Halafu unasema kutungua satellites? Nani alianzisha internet? Nani anajua tech kushind amwenzake? Hujui lolote kuhusu america. Na hii simaanishi nataka vita kati yao.
 
Yani nimesikitishwa sana na watu wa humu ndani kweli kabisa mtu hawezi kutofautisha Air Force na navy jamani????? Kama hujui ni bora ukae kimya kuliko unakurupuka na kuongea usichokijua........sasa drone zinatokea wapi kwenye mafunzo ya navy? Na nani kasema jeshi la china dhaifu?katika majeshi yenye nguvu duniani china ni top 3 halafu wewe unaekaa mbagala unaita jeshi dhaifu wakati vibaka wanakushinda......it is really funny.......namalizia kwa kusema Ebola kills fast but ignorance kills even faster.......
 
...nini hizo!,jeshi la china dhaifu duniani......sasa watu wanapiga toka angani,mwaka 2016 Unaintroduce armed robotic soujer,kunfu za kazi gani kama sio kututisha ili waendelee kutuibia?.Sasa ni zama za space war.

For inaonekana bado uko shallow sana kwenye Hui mambo ila u mwerevu kwenye cheap politics. Jaribu ku google powerful army in the world uone hao wachina walivyojipanga.

Lakini pia unazungumzia space war sijui maroboti ambayo tayari imeshaanza kitambo. Mchina mwaka huu analalaunch silaha za laser marekani anahaha. Sasa we suburi space mwenzio anatungua satelite kama marekani itafua dafu au unadanganywa na movie?

Kingine ujue kama ilikua ni technolojia tu kina Mwakibolwa wangemalizwa kule DRC. Jeshi ili kazima liwe na skills, discipline, ailaha, technolojia na commitment
 
Haya si mafunzo ya vita, haya ni mafunzo ya kuzima ghasia za siasa. Na ndiyo maana yanaonyeshwa kwenye vyombo vya habari ili myaone.
 
Haya si mafunzo ya vita, haya ni mafunzo ya kuzima ghasia za siasa. Na ndiyo maana yanaonyeshwa kwenye vyombo vya habari ili myaone.

Ghasia za siasa zizimwe na Jeshi la Wananchi?!!!
Tena kwa mafunzo "drill ya mwezi mzima"??!!!

Hebu liheshimu jeshi mkuu
 
Ghasia za siasa zizimwe na Jeshi la Wananchi?!!!
Tena kwa mafunzo "drill ya mwezi mzima"??!!!

Hebu liheshimu jeshi mkuu

Mkuu ulifuatilia yaliyotokea kule Misri? Uliona jinsi jeshi lao lilivyozima ghasia za siasa?
 
Mkuu ulifuatilia yaliyotokea kule Misri? Uliona jinsi jeshi lao lilivyozima ghasia za siasa?
JWTZ ni jeshi lenye nidhamu na linajua wajibu wake, sheria na wapi pa kuelekeza nguvu na kiasi cha kufanya hivyo pindi itapohitajika!!!!!

Kuhusisha shughuli za kijeshi za kawaida na jambo hili unaloongelea sio tu ni kulikosea heshima ila pia ni dalili ya mawazo hasi juu ya Jeshi!!!

Labda kama unachokiwaza sio unachoandika!!!
 
Na njaa tulizonazo hatuhitaji kuwa na ndege zisizo na rubani. Tunahitaji kuwa na maarifa ya kutosha ili tuendeshe mambo kisayansi
 
JWTZ ni jeshi lenye nidhamu na linajua wajibu wake, sheria na wapi pa kuelekeza nguvu na kiasi cha kufanya hivyo pindi itapohitajika!!!!!

Kuhusisha shughuli za kijeshi za kawaida na jambo hili unaloongelea sio tu ni kulikosea heshima ila pia ni dalili ya mawazo hasi juu ya Jeshi!!!

Labda kama unachokiwaza sio unachoandika!!!
Imekuwa rahisi sana watu kuandika tu katika kila kilichopostiwa. Wengine tunataka hivi na wengine vile. Tunapofika kwenye masuala ya JWTZ lazima tujue kuwa jeshi letu limejipanga , liko makini na linambinu endelevu kulingana na wakati.. mgawanyo Wa vitengo katika jeshi si rahisi kuuelewa kama tunavyoandika humu na operations za jeshi ni nyingi zikiwemo zile za ushirikiano na majeshi ya mataifa mbali kama china,japan, Germany na us. Nalipongeza jeshi langu. Na nathubutu kusema kuwa. Ningeambiwa ni kazi gani ningestahili kuifanya hata Kwa kujitolea maisha yote ningechagua Jwtz.
 
Haya si mafunzo ya vita, haya ni mafunzo ya kuzima ghasia za siasa. Na ndiyo maana yanaonyeshwa kwenye vyombo vya habari ili myaone.
wanasiasa hawezi kuwa na mawazo yaliyo nje ya siasa. Hata tufanye nin hatuwezi kuwazuia watu kuwaza. Jeshi lipoteze muda vijimambo vya vurugu za maandamano ya mtaani tu. Hili sidhani kama ni sawa. Kazi ya jeshi kusimamia ulinzi na usalama Wa nchi katika kila jambo linalohusu amani ndani katika mipaka
 
Uliyeweka taarifa hii jukwaa hili siyo Mzalendo na wala huna sifa za kuwa Mtumishi wa Umma wala JWTZ. Acheni kuleta usera mitandao kwenye mambo nyeti ya nchi. ole wako ukijulikana utaenda kuogelea madimbwi ya maji machafu Vingunguti.
 
Back
Top Bottom