everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,627
- 15,017
Mylove yaani leo nilikosa raha achaaa lakini nashukuru Rooney kairejesha furaha tena....Ahsante sweetheart, match ya kumi mfululizo hii tunashinda
Naona na wewe Rooney anakutoa kimasomaso
Mylove yaani leo nilikosa raha achaaa lakini nashukuru Rooney kairejesha furaha tena....Ahsante sweetheart, match ya kumi mfululizo hii tunashinda
Naona na wewe Rooney anakutoa kimasomaso
Duhhhh!!!! Nakucheki tu no comment.....Ila kumbuka sweet hapo juzi Kati ulikuwa mbovu balaa.....anyway ka mpito tu enzi zetu zitarudi .... loh!!! sijakasirika ukaninyima bure tamu yangu...lolSiwezi angalia mpira mbovu kama huo, kelele nyiingi halafu match yenyewe bora niangalie Lipuli Vs Stand Utd
Mtajipa presha wenyewe, kina Higuan na Hamsik majino nje, wanajua mwaka wao huu, Mancini kashaanza kutafuta mchawi
Duhhhh!!!! Nakucheki tu no comment.....Ila kumbuka sweet hapo juzi Kati ulikuwa mbovu balaa.....anyway ka mpito tu enzi zetu zitarudi .... loh!!! sijakasirika ukaninyima bure tamu yangu...lol
Hongera naona Napoli yako imeua ntu ...S.s Napoli vs Sampdoria kwenye dimba la luigi Ferrari. Machampion watarajiwa wakiwa kwenye ubora wao. Game inapigwa saa 17:00 kwa muda wa kibongo. Upande wa pili ni As roma waliojichokea dhidi ya vibibi vizee vya turin. Game ni katika dimba la olimpico mjini roma. Saa 22:30 saa za kibongo. Usikose
Maombi yamegoma. Forza Juventus. Yan huyu dyabala haishi utamu kumwangalia. Inasadikika gang chomba anatumia muda mwingi kumtazama dyabala kuliko hata ss wanajuventino waukweli .
Maombi yamegoma. Forza Juventus. Yan huyu dyabala haishi utamu kumwangalia. Inasadikika gang chomba anatumia muda mwingi kumtazama dyabala kuliko hata ss wanajuventino waukweli .
Gang Chomba amekua mwanamazingaombwe, jana alikua na show kitunda primary
Hongereni kwa ushindi wa jana.Zamu ya Genoa kushika ukuta, Dybala na Morata wanaanza leo pale mbele
Forza Bianconero