FT: Bianconeri 3-1 Wadada wa Viola
Daaaaah naona tumepewa bayern. Wasiwasi wangu upo kwenye ukuta pale nyuma. Chielini naona anakaba sana kwa macho siku hizi. Sehemu ya kumfata mtu man to man anakaba kwa kuangalia. Ila bora kuliko kukutana na balaa la MSN mapema.
Juve is backkkkkkkkkkkk!!!!! Darling nilikwambia huu ni upepo tu yataisha....bado point 6 kwa inter tumtoe pale juu, Ziroseventytwo kaka upoooo?? Next week tunakupita na Napoli yako....lol
kweli mourinho, mm ninaimani na bianconeri msimu huu. Sturaro naona anapevuka kila mechi. Hapa inabidi wale viungo watano siku hyo nimuone sturaro, pogba, marchisio, khedira na sandro. Kwa mwendo wa sturaro kama ataendelea kukaba vile mechi hyo inamuhusu. Akicheza lichsteiner tukamweka nje sandro basi morata itabidi aanze na dybala sababu morata hategemei mipira ya cross kama mandzukic. Alafu morata anauwezo wa kufuata mipira maeneo ya pembeni. Mechi ni ngumu ila timu ikipangwa vizuri tunaenda robo kiulaini.
Hivi huyu dogo rugani mbona hawampi uzoefu. Au mfumo unambana.
Sweetheart nitafarijika tukimnaniiiih mkoloni wa Bavaria, huku kwetu wapinzani wetu na ubavu wao wa soda hata hawaninyimi usingizi, Roma wanacheza kama ile Bolton ya Big Sam, Napoli hawana tofauti na Wigan na Milan imekua Mji Mpwapwa ya Italia, Inter na Mancini wao dawa yao anayo Dybala
Juve is backkkkkkkkkkkk!!!!! Darling nilikwambia huu ni upepo tu yataisha....bado point 6 kwa inter tumtoe pale juu, Ziroseventytwo kaka upoooo?? Next week tunakupita na Napoli yako....lol
Juve kwa sasa wamerudi kwenye form. Wamekuja kuongeza ladha pale juu. Ndio maana Mourinho karudi kwa nguvu zote. Wakati walipokuwa wanachechemea alisusa kijiwe.
Mkuu wangu siwezi isusa Bianconeri, hata nikijaribu huwa nashindwaaa nashindwaaa, nilipigwa ganzi na upotevu wa Mabuluda wenzangu humu
Asee Serie A imenikinai, nataka ndoo la Ulaya kwa hiyo hata nimalize wa tatu sio dhambi ingawa naona tukilitetea tena taji la Scudeto
Gang Chomba nimemuona juzi anatia huruma kwelikweli, hana namba hata kwenye team yake ya wachuja nafaka, Abajalo, alikua bench mkono shavuni na mawazo telee, muwekeni kwenye maombi huyu bwanaNi kweli mabuluda kibao wamekimbia kijiwe. Huwezi kuamini hata Gang Chomba anachungulia tu na kukimbia. juve2012 ndio simwelewi kabisa. pachanya, C.E.O. Viper myao wa tunduru woote hawa kitambo hawajaonekana.