Nini kinaendelea kwa upande wa Saanane na Zitto?
PM
Hiyo nayo ni sehemu ya kugombanisha. Ni mwendelezo uleule wa kuzusha mambo bila aibu. Wagombea katika chama chetu hupendekezwa katika vikao. Niambie ni kikao gani kilinipendekeza na hatimaye nikatemwa.
Ninachojua ni kwamba kuelekea uchaguzi mkuu ujao migogoro mingi itapikwa ndani ya CHADEMA kwa sababu CCM hawana namna ya kushinda uchaguzi ujao zaidi kuhakikisha wanazua migogoro. Wala hili jambo si geni. Walifanikiwa kuutengeneza mgogoro wa NCCR na wakaisambaratisha. Na walitumia njia hiihii wanayotaka kuitumia leo ya kutengeneza makundi mawili, kundi moja lionekane la wazalendo na lingine lionekana la wasaliti. Na lengo ni kwamba ifike mahala kundi linaloonekana ni la wasaliti likimbie chama na hapo mgawanyikao utakuwa umetokea.
Tuwatoe wasiwasi wanachama wa CHADEMA na wapenda mabadiliko kwamba tutayashinda haya mawimbi na tutaingia katika uchaguzi mkuu ujao tukiwa wamoja. Mawimbi ni makali, lakini tumejipanga kuyashinda na tutayashinda. Tutatumia akili zetu zote kuhakikisha kwamba yaliyoikumba NCCR hayatokei tena katika chama chetu. Vikao vya chama ni imara sana na siku zote mambo yamejadiliwa na kuhitimishwa maturely and responsibly.
lakini ukizama zaidi huu mgogoro sio mkubwa ila ulichochewa na viongozi wakuu na hapa Mbowe na Slaa hawakosekani kwani walibaki nalo hili huku wakijua madhara yake ni makubwa! sasa wasubiri matokeo yake kwani ccm wamekaa kimya wakitizama wapi kwa kukamata ili wakuze na mwisho wavuruge chama
Niliisha yasema haya
Chadema kila mchaga anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa
Kama wewe sio mchaga basi ujue hapo wanakutumia kupata wafuasi tu .
Hawa wote wanaomtukana Zito hapa wamejiunga na chadema juzi juzi tu na hata historia ya chadema ilianzia wapi hawaijui. leo hii wanakuja hapa kumtukana mtu aliekipigania chama toka akiwa chuo kikuu na ukiangalia kwa undani utagundua sababu kuu ni kuwa jamaa ni muisilamu na sio mchaga hivyo hatakiwi kwenye chama.
Mie sio mtabiri lakini nawakikishieni hiki chama kimejengwa kwa msingi wa barafu na jua litakapowaka kitabomoka kama vile kimepigwa na bomu la atomiki kwa sababu hakitabaki kitu hata mbowe mwenye atakimbia sijui nani atabaki.
Chadema na uamsho kuna tofauti gani
WOTE WANATOKA POVU KWA MITUSI NA JAZBA tofauti yao ni kuwa chadema ni wakristo wa kichaga na Uamsho ni waisilamu wa kipemba
[h=1]Huu mgogoro ni mkubwa, bonya hapa:-
Udhibitisho wa kazi maalumu ya ben saanane na hujuma za dr.slaa kwenye siasa za juliana shonza[/h]
Sidhani kuwa anaweza kuendelea kujibu haya. I knew this day was coming.nyabhingi,
I expect him to provide evidence to support his careless assertion. I respect him on this forum and elsewhere, but his standard is steadily falling to gutter level. So I will consider his evidence more reliable. I'm out for now!
Mkuu hio ndio facts... CCM kuna kitu wanakosea, nadhani intel zao zimeanza either kuwa dhaifu au zinawafanyizia wenyewe. wait october na november 2013 utaona wao sasa wanavurumushana
I THINK CCM NA TIMU YAO NDOGO NDANI YA CHADEMA WANA-UNDERESTIMATE POWER YA NEW THINKING AND NEW BLOOD. THEY NEED TO GO BACK TO CHINA AND GET BACK WITH SOMETHING ELSE
Huhitaji kumwamini Ben na wala hulazimishwi kumwamini.La muhimu hapa, ni kwamba hisia zetu zinaelekea kuwa kweli kuwa zitto wa 2005-2009 na wa 2010-2012 ni mwingine kabisa.