Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,464
- 4,374
Mahakama ya kadhi inapingwa (we side B) kwasababu kuu mbili tu:-
(a) Kuingizwa kwenye katiba ya nchi, kutamaanisha kwamba masuala ya taasisi za kidini yanaingizwa moja kwa moja katika ideology ya Serikali yetu.
(b) Uendeshaji wa Mahakama hiyo kuwa chini ya Serikali, yaani kadhi Mkuu, wasaidizi wake na wafanyakazi wengine kuwa watumishi wa Serikali yaani walipwe mishahara, marupurupu ya nyumba, usafiri, ulinzi nk pia gharama za ujenzi wa majengo na ununuzi wa samani. Bila gharama hizo ni kubwa kubebwa na wananchi wa ambao baadhi yao si waislamu (hawafaidiki na mahakama hiyo).
Logic: Waislam waanzishe hiyo mahakama ya kadhi bila kuihusisha Serikali na wao wawe responsible kuiendesha. Mpeni Kikwete break, hali imeshakuwa mbaya.
(a) Kuingizwa kwenye katiba ya nchi, kutamaanisha kwamba masuala ya taasisi za kidini yanaingizwa moja kwa moja katika ideology ya Serikali yetu.
(b) Uendeshaji wa Mahakama hiyo kuwa chini ya Serikali, yaani kadhi Mkuu, wasaidizi wake na wafanyakazi wengine kuwa watumishi wa Serikali yaani walipwe mishahara, marupurupu ya nyumba, usafiri, ulinzi nk pia gharama za ujenzi wa majengo na ununuzi wa samani. Bila gharama hizo ni kubwa kubebwa na wananchi wa ambao baadhi yao si waislamu (hawafaidiki na mahakama hiyo).
Logic: Waislam waanzishe hiyo mahakama ya kadhi bila kuihusisha Serikali na wao wawe responsible kuiendesha. Mpeni Kikwete break, hali imeshakuwa mbaya.