Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Sasa utaona kitu ambacho watu wanataka siyo Kadhi (kwani tayari wapo na wanatambulika kisheria) lakini wanachotaka ni kuwa Kadhi awe Hakimu pia.[/QUOTE]
Nimekusoma Mkuu,
Sasa kwa mtazamo wako unadhani jambo hili ni baya?,na linaweza kuhatarisha amani ya taifa?
Nimekusoma Mkuu,
Sasa kwa mtazamo wako unadhani jambo hili ni baya?,na linaweza kuhatarisha amani ya taifa?