Just a friend na matatizo yake.....

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,886
Hivi kuna ambao wanafanikiwa kuwa best friends au just friends
huku ni jinsia tofauti bila kutokea matatizo ya
wivu,mapenzi,sex na kadhalika?????

kwa upande wangu naona ni ngumu saana

siku zote naona kuna mmoja anakuwa 'anaumia' kwa chini chini.....

je nyinyi mna uzoefu gani na hili??????????
 
Kwa nini isiwezekane The Boss? akili yako ukiitwin kingonongono basi utamtamani hata Boss wako ofisini kwako kama ni mwanamke. akili za ngono zikikutawala unaweza hata ukakunja goti lako na ukalifananisha na utupu wa mwanamke!!
Nina Rafiki alikuwa nawatamani dada zake kwa sababu wamenona, je kama una feelings za kijinga au come unaweza kumfeel dada yako wa damu kimapenzi?
 
Kwa nini isiwezekane The Boss? akili yako ukiitwin kingonongono basi utamtamani hata Boss wako ofisini kwako kama ni mwanamke. akili za ngono zikikutawala unaweza hata ukakunja goti lako na ukalifananisha na utupu wa mwanamke!!
Nina Rafiki alikuwa nawatamani dada zake kwa sababu wamenona, je kama una feelings za kijinga au come unaweza kumfeel dada yako wa damu kimapenzi?

umezungumza upande mmoja tu
as if ni wanaume tu ndo wanashindwa kuwa 'just friends'

na wadada pia hutokea wakashindwa pia
na ikasababisha other effects......sijui hapo unasemaje?
 
umezungumza upande mmoja tu
nikikwambia kwangu mimi ni wadada ndio wanashindwa kuwa just friends na mimi utasemaje?
Siwezi kuwa msemaji wao, wapo hapa na watasema wao wenyewe ni vigumu kwangu kufeel hisia zao kwa mwanaume zinabase kwenye nini!! maana kuna mdada aliwahi kuniambia anapenda sana utangazaji wa yule repota wa ITV ambaye umaliziagi kwa kusema Ni mimi Georgeeeeeeeeee Maratooooooooo wa I TEEEEEEEEEEEEVEEEEEEEEEEEEEEEEE!! U can imagine huyu mtangazaji mimi huwa akianza kutangaza tu ni lazim nibadilishe station maana sitaki hata kumsikia.
 
Siwezi kuwa msemaji wao, wapo hapa na watasema wao wenyewe ni vigumu kwangu kufeel hisia zao kwa mwanaume zinabase kwenye nini!! maana kuna mdada aliwahi kuniambia anapenda sana utangazaji wa yule repota wa ITV ambaye umaliziagi kwa kusema Ni mimi Georgeeeeeeeeee Maratooooooooo wa I TEEEEEEEEEEEEVEEEEEEEEEEEEEEEEE!! U can imagine huyu mtangazaji mimi huwa akianza kutangaza tu ni lazim nibadilishe station maana sitaki hata kumsikia.
h
iyo ya tv ni tofauti

mimi nazungumzia watu mliozoeana na kufahamiana tayari
 
inawezekana sana tu.nilikuwa nina rafiki yangu wa kiume,amini usiamini nilishibana nae hasa,sikuwa na feelings nae.nilikuwa namuona mshikaji tu.na kwa upande wake ni hivyo hivyo.ila alipopata girlfriend,urafiki nikaupunguza huyo dada asije akanifikiria vibaya.
 
mwanamke na mwanamme wakiwa marafiki, at a certain point mmoja atampenda mwenzake na kuumia kimya kimya hadi atakapozoea.

Kuna muda James atampenda Mary, wakati James keshazoea, Mary naye atampenda James.

Hii hutokea mara nyingi japo sio sheria.
 
This depends on the source of the friendship at the first place.kama ni marafiki na wote mkawa mpo single honestly you may turn up to be a wonderful couple, coz katika ndoa nyingi na mahusiano mengi yanahusisha watu ambao hawakuwahi kuwa marafiki, hii inawanyima fursa ya kusomana vizuri.Dating a friend not bad.

kwa upande mwingine freindship btn opposite sex holds kama mmoja wenu au nyote mpo kwenye committed relation ship na third parties, na mkawa wazi juu ya hili., U wezekano mwiungine kama kila mmoja ana muona rafiki yake syo type yake hii pia inaweza ku hold.

Otherwise time will come na mtajua kama ni friends tu au Friends with Benefits(FWB)
 
Kwanza inawezekana sana.
Kama hamna aliye attracted na mwenzake kuwa marafiki hakutobadilisha hilo. Mtapendana, mtaelewana, mtajaliana ila kila mmoja atapenda kwingine kimapenzi. Na hii ni kwasababu unaweza kumpenda mtu (fikra/mawazo/tabia yake/ushawishi wake) bila kuvutiwa nae kimapenzi.

Pili Kama mmoja anavutiwa na mwenzake hata wasingekua marafiki bado upo uwezekano mkubwa tu kwamba angevutiwa nae, na kama uwezekano wa kuwa nae nao ungekuwepo basi wangekua pamoja. Sasa bora kipi. . . kufall inlove with your (best) friend, mtu ambae mnafahamiana zaidi ya watu wengine wavyofahamiana au mtu tu anaeibuka out of nowhere?

Alafu kama hujagundua jaribu kuchunguza msichana na mvulana ambao ni marafiki wazuri/wa karibu sana huku wakiwa wana wapenzi wao. Utagundua kwamba kwa kiasi kikubwa wale wapenzi na bestfriend ni tofauti kabisa. Kama rafiki ni mchangamfu/mchokozi chokozi sana utakuta mpenzi ni mpole, kama mpenzi sio mtu wa movie/music kwa sana utakuta rafiki anapendelea. Kwa maana nyingine watu(sio wote) hua wanakua na marafiki wenye yale wasiyonayo wapenzi wao/yanayowavutia kua mpenzi na mtu ni tofauti na yanayowavutia kwenye urafiki. That way anatengeneza balance. . . akichoka kukaa nyumbani na kuboreka na mpenzi anamtafuta rafiki yake achangamke kidogo, akichoka na maneno mengi kwa mpenzi anamtafuta rafiki yake akili itulie kidogo.

So ndio inawezekana kuliko ambavyo watu wanapenda kukubali.
 
Hivi kuna ambao wanafanikiwa kuwa best friends au just friends
huku ni jinsia tofauti bila kutokea matatizo ya
wivu,mapenzi,sex na kadhalika?????

kwa upande wangu naona ni ngumu saana

siku zote naona kuna mmoja anakuwa 'anaumia' kwa chini chini.....

je nyinyi mna uzoefu gani na hili??????????

mi naona inawezekana. Mi nnao friends wa kike kibao na hata sina wazo
 
Hiyo kitu ngumu sana mtaishia ku do tu au at least mta kiss halafu mtakumbushana kwamba bana sisi marafiki tusifanye.
 
urafiki unaweza kuwepo mradi tu usiwe na ukaribu kwani ukaribu wowote wa jinsia mbili husababisha tafrani ya ngono baadae ...
 
urafiki unaweza kuwepo mradi tu usiwe na ukaribu kwani ukaribu wowote wa jinsia mbili husababisha tafrani ya ngono baadae ...

Urafiki mzuri bila ukaribu ni urafiki wa aina gani?
 
The Boss hiyo kitu ni ngumu sana hasa inapotokea wote mko single,
Hata km haitakuwa haraka ila on the way ya urafiki mtajikuta mkizoena,then mnamissiana then kawivu kanaanza,na ikishafikiaga tu kwenye wivu kwisha habari yenu hapo kitakachofata ni kuhalalisha na mapnz yanaendelea,

Ila ikiwa kila mtu ana mtu wake urafiki wa hivo unawezekana kbs,
Na watu wanaheshimiana na urafiki uadumu tu vizuri,
 
Tatizo ni kwamba matatizo mengi ya watu yanatokea kwenye mapenzi, unakosana na gf/bf au husband /wife na kama wka bahati mbaya una rafiki wa jinsia tofauti ndio anakuwa kimbilio lako.

Na ogopa sana mtu ambaye yupo kwenye maumivu ya mapenzi anapofarijiwa, awe mwanamke au mwanaume yani ikitokea akaamini kabisa kwamba rafiki yake ndio kimbilio na wa jinsia tofauti hapo lazima wataishia kwenye mambo mengine.

Kuna mchekeshaji mmoja wa kimarekani anaitwa anaitwa Chriss Rock anasema kila mtu anamjua mtu ambaye atakuja ku "do" na mpenzi wake na inawezekana ushakutana nae huyu jamaa/dada mshapeana mikono au ameshakuja kwako amekunywa juice yako, pilau lako ,wine yako n.k
 
chatting na simu ila kama kutakuwa na mazoea ya kuonana itajitokeza hali isiyo ya kawaida

KUchati na simu ndio mbaya zaidi, sababu watu hawaonani watu wakiongea face to face afadhali sababu uso umeumbwa na haya
 
chatting na simu ila kama kutakuwa na mazoea ya kuonana itajitokeza hali isiyo ya kawaida

Kwahiyo wewe ukiwa na mazoea ya kuonana na mwanamke/mwanaume yeyote yule bila kujali alivyo lazima ijitokeze 'hali isiyo ya kawaida'?
 
TB, hii inawezekana japokuwa kuna ugumu wake, hutokea masuala ya wivu yanakuwepo tena sana, sio ajabu 'just friend kuwa wapenzi'.

Iliwahi kutokea 'just friends' kuoneana wivu na mwisho wa siku walikuja kuwa wapenzi na wanaendelea vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom