Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,900
- 4,624
Kuna mchungaji mmoja aliwahi niambia kuwa, 'pale magogoni kwa sasa, pana koti lililowekwa kwenye kiti cha urais mpaka hapo taifa hili litapopata rais'. Hii ilikuwa ni baada ya jk kaulikwa na kuongea kwenye mkutano wa wachungaji wa kilutheri, kama miaka mitatu hivi iliyopita.
Sikua nimeipata kwa kina maana halisi ya maneno ya mchungaji yule, ila kwa sasa ndio nimeyatambua.
.
Sikua nimeipata kwa kina maana halisi ya maneno ya mchungaji yule, ila kwa sasa ndio nimeyatambua.
.