huyu ndo rais tuliyenaye!huwa namshangaa sana vitu anavyoongea!UDINI aliuasisi yeye.ameona wananchi wamemdharau hasa christians leo anataka kuwafanya viongozi wa kikristu kunyoosheana vidole!ana hila ya kuwagawa.ana tabia za ajabu ajabu.ni mfitini sana.Akiwa kama rais wa nchi anatakiwa aongee mambo kwa uhakika na afanyie kazi anachokisema sio upupu anaoutoa!SHAME ON HIM