Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Assad amesema hakujua kama ana maadui wengi kiasi hiki! Ni kweli, hata wewe kajamba nani pangu pakavu unamchukia Assad? Mna laana nyie
Nimeshtuka kusoma hayo maoni. Yanatisha.Ndio mimi mimi.
Nimeshtuka kusoma hayo maoni. Yanatisha.
Mi nilidhani umemuona kumbe wanasema?Wanasema alikuwapo tu
Wewe unayetukana watu ovyo mitandaoni ndio CAG wa wapumbavu tanzania.Hii nchi tumejaliwa kuwa na wapumbavu wa kutosha..Ukiwemo na wewe.
Tatizo LA Profesa ni dini yake tu, same to JK.Mihimili iko mitatu tu,na unapoteuliwa usije ukajisahau kwamba kuna mwenye serikali,sio kwamba nakutisha we kachape kazi,,,,,
leo saa sita kamili usiku ndo mda wa aleipita utaisha,wewe kesho uende kazini,
kazi ya rais mojawapo ni kuteua na kutengua,Rais asieweza kutengua teuzi zako huyo basi hafai kuwa rais.......
Mihimili ni mitatu tu
Unaongea kama hujaelimika, kama unadhani kuna wanasiasa nyuma yake wataje humu ni sehemu huru.
Otherwise ongea chumbani na mchepuko wako haya unayoyafikiri na sii kuleta humu
Mkuu mbona una fikiri kitoto sana? Mtu akiwa nje ya nchi ukimpigia si utajua tu yupo nchi gani? Hivyo waulize waliompigia wakwambie maana ingekuwa uongo wao ndiyo wangesema kuwa mzee mbona upo +255 na sio code nyingine?
Au wewe unadhani kuwa nje ya nchi inakuwaje?
Ivi uzalendo ndo nn?
Sijawahi kumuunga mkono Membe. Ila awamu hii ya tano inakuwaje kiongozi wetu wa nchi anakuwa na chuki ya wazi dhidi ya wapinzani na sisi waislamu? Angalia Muislamu mwenzatu tena muadilifu anatolewa kazini kwa ajili ya uislamu wake, kisha anapewa mkristo tena mzembe kazini? Kwa ajili ya uislamu wake alidhalilishwa huko bungeni mpaka kuvuliwa viatu hadharani, na aliyemfanyia hivyo ni mkristo. Kisha sasa amefukuzwa kazi tena kwa dharau kubwa. Kibaya zaidi aliyepewa anafahamika kabisa ni mzembe ila ukristo wako umembeba. Nakuuliza, wapinzani na sisi waislamu tumemkosea nini rais huyu?
Sitaki kuamini au kutoamini, nataka kujua.
Kama huwezi kuthibitisha, huo ni umbea tu.
Kama unahisi alionesha dharau ni kwa sababu wewe ni duni kuliko yeye. Vumiliantu hakuna namna.
Baba wa Taifa mwalimu Nyerere aliwahi kusema mwanasiasa aliyeishiwa hoja hujificha kwenye dini au kabila ili kutafuta huruma ya Wananchi
Wapinzani kwisha habari hahah
KabisaaHii nchi tumejaliwa kuwa na wapumbavu wa kutosha..Ukiwemo na wewe.