Juma Nature: Nina miaka 37 sijafika hata 40

Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.

My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?

37 as thirty seven au??
 
Ninavyomfahamu JUma Nature ni kwamba alizaliwa mwaka 1980 na kwa sasa ana 43, sababu mwenzake Mulla na mmoja wao kwenye kundi lao la muziki la TMK nimemsahau jina, niliwapita madarasa mawili pale Kibasila nilikuwa naishi nao jirani kota za Bora pale Keko
Juma Nature amesoma na Doro darasa moja Mkuu. Na wakakutana na kuwa pamoja kwenye TMK na Wachuja Nafaka. Wote ni wa 1980.
 
Hahhah,mimi nina miaka 18.Huyu Juma mimi nipo primary ninamsikia mimi nina 36 na July ninagonga 37.Yeye ana 37 haya bwana.
Duh! Nilikuwa nakuona kama mmama hivi kumbe duh! Nisalimie kaka yako!
Aisee kumbe nimekula chumvi kiasi 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🚬🚬🚬
 
Ninavyomfahamu JUma Nature ni kwamba alizaliwa mwaka 1980 na kwa sasa ana 43, sababu mwenzake Mulla na mmoja wao kwenye kundi lao la muziki la TMK nimemsahau jina, niliwapita madarasa mawili pale Kibasila nilikuwa naishi nao jirani kota za Bora pale Keko
Yeye mwenyewe anasema ana 37 na ameomba asikilizwe, kwahiyo hatuna namna acha tumsikilize tu
 
Back
Top Bottom