Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Makala yake imekuwa attached hapo Chini jisomee kwauangalifu.
0.1 Katika gazeti la Rai (Toleo Na.667 (ISSN 0856-4973) la 11/5/ 2006 ) muliandikwa makala ndefu sana ya Mhe. Hussein Siyovelwa yenye kichwa cha maneno yasemayo "Muungano wetu hauna mwisho mwema ".
0.16 Hivi karibuni imetangazwa kwamba aliyemtesa Mbwa wa mzungu kule Mererani amefungwa muda usiopungua mwaka mmoja.....Habari zinaendelea kwenye attachment.
1.19 Mwaka 1993 kundi lilojiita G55 walijaribu kurejesha Serikali ya Tanganyika kwa Azimio la Bunge. Mhe. Njelu Kasaka alieleza kwa ufasaha kabisa hoja hii. Amri ya Mwalimu Nyerere ambae wakati ule hakua Mbunge wala Rais akazuia Azimio la Bunge kutekelezwa badala yake Bunge likaazimia kukitaka chama na Serikali ya Jamhuri ya Muungano kutayarisha mazingira ya kuifanya Tanzania kua na Serikali moja.Yaani badala ya kusahihisha makosa ya miaka yote ya uhai wa Muungano wakubwa hao wakalenga kumaliza pale palipo baki pa kuuwa taifa la Zanzibar ambalo 1964 waliungana nalo kwa hiari.
0.1 Katika gazeti la Rai (Toleo Na.667 (ISSN 0856-4973) la 11/5/ 2006 ) muliandikwa makala ndefu sana ya Mhe. Hussein Siyovelwa yenye kichwa cha maneno yasemayo "Muungano wetu hauna mwisho mwema ".
0.16 Hivi karibuni imetangazwa kwamba aliyemtesa Mbwa wa mzungu kule Mererani amefungwa muda usiopungua mwaka mmoja.....Habari zinaendelea kwenye attachment.
1.19 Mwaka 1993 kundi lilojiita G55 walijaribu kurejesha Serikali ya Tanganyika kwa Azimio la Bunge. Mhe. Njelu Kasaka alieleza kwa ufasaha kabisa hoja hii. Amri ya Mwalimu Nyerere ambae wakati ule hakua Mbunge wala Rais akazuia Azimio la Bunge kutekelezwa badala yake Bunge likaazimia kukitaka chama na Serikali ya Jamhuri ya Muungano kutayarisha mazingira ya kuifanya Tanzania kua na Serikali moja.Yaani badala ya kusahihisha makosa ya miaka yote ya uhai wa Muungano wakubwa hao wakalenga kumaliza pale palipo baki pa kuuwa taifa la Zanzibar ambalo 1964 waliungana nalo kwa hiari.
Attachments
Last edited: