Julius Mtatiro apandisha jazba kuhusu Tamko la Chadema kutoungana na CUF Bungeni

Wakimaliza wanasema Mtatiro ana ongea bila kufikiri je yale yalifanyika pale arusha ndo kufikiri kote kwa viongozi wa chadema? they all the same, i dont trust them. na ukitaka kupima hayo yote angalia yasemwayo humu, watu hawana hekima, wala hawana muda wa kutafakari, na wanajiita wasomi, full kufata upepo, bora chadema imesema hivi, woote wanaunga mkono, kama mazezeta. namna hii taifa hili halina mkombozi, hadi tuweze kutofautisha ushabiki na reality.

Siku watanzania wakijua kupambanua hizo nyekundu ndio utakuwa mwanzo wa safari kuelekea Tanzania mpya yenye matumaini....
 
Mtatiro akaendelea kusema hivi

CHADEMA ni chama popo sana, hawajui wanachofanya, wamelewa madaraka na kuchanganyikiwa vibaya baada ya kupata majimbo 20 Tanganyika, sasa hawana haja na CUF na vyama vingine, wanadhani majimbo 20 ndio Ukombozi wa Tanzania umemalizika.
 
Akasema Zaidi

Alisema ni wazi CHADEMA wanaiogopa CUF, huku wakifahamu fika kuwa chama hicho kina mtandao mkubwa na kina mbinu ya kujiimarisha bara na hatimaye kuongoza nchi.
 
Kulikuwa kuna Ulazima gani wa Kutumia maneno kama Popo, Wajinga, Wanafiki, Waoga nk? I think Mtatiro could have done better than what he did yesterday, mimi simtofautishi na wale Viwaji Jeshi wa CCM walionda ktuoa tamko la kulaani Dowans kisha wakatumia muda Mwingi kumtukana Slaa ambaye na yeye huwa anapinga the Same DOWANS
 
Hizi ndo dua zenu watu wa cuf, dua la kuku halimpati mwewe,
cdm ilianza kufanya siasa tangu kupata usajili kama vyama vingine,
cdm imekuwepo bungeni tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995,
cdm imewaunga mkono nccr mageuzi 1995 nafasi ya urais,
cdm imewaunga mkono cuf 2000 nafasi ya urais,
cdm imekuwa ikiongeza idadi ya wabunge kidogo kidogo 1995, 2000, 2005 na 2010,
cdm imeonyesha kwamba ina viongozi makini hadi kukiwezesha kukubalika na watanzania wengi
cdm imekuwa na ustawi kutoka kuwa chama kidogo nyuma ya cuf, nccr na udp mwaka 1995 hadi kuwa chama kikuu cha upinzani mwaka 2010, wakati udp iko icu, nccr ndo imezinduka usingizini baada ya kuwa icu muda mrefu na cuf imesimama pale pale hadi kupigwa overtake na cdm. Kwahiyo yeyote anayetabiri kifo cha cdm anaota ndoto za mchana.
cuf imesaini maridhiano zenji bila kushirikisha vyama vingine na hilo kwenu mnaona sawa,
cuf imeshirikiana na ccm kuunda serikali zanzibar kufuatia maridhiano ya kibinafsi kati ya cuf na ccm,
cuf hao hao wanaounda serikali ya zanzibar wanataka kujumuishwa kambi ya upinzani bunge la jamhuri ya muungano,
cdm kukataa kuwashirikisha cuf kuunda kambi ya upinzani bungeni kwa kuwa tayari wao wanaunda serikali wanaanza kupiga mayowe.
Hebu wapambe wa cuf kubalini ukweli, nyie mnaunda serikali mtakuwaje tena upande wa upinzani???

Maneno yako mengi ni ya ukweli na napenda kukueleza yalioikuta NCCR na UDP yanaweza kuikuta CDM pia.

Si kweli CUF wamejichukulia madaraka kuingia kwenye serikali ya kitaifa, kura za maoni zilipita baada ya mapendekezo ya CUF kutaka serikali ya umoja wa kitaifa kuonekana una mantiki. Waliopiga kura ndio sina uhakika kama walikuwa wa CCM na CUF tu peke yao. Lakini nina uhakika kuwa chama chochote kitakachopata kiti cha uwakilishi kitaingia kwenye Serikali ya kitaifa sasa naumiza kichwa sifahamu CDM wanaviti vingapi vya uwakilishi na kwanini wamekataliwa kuingia kwenye Serikali ya kitaifa kule zanzibar? CUF wabinafsi sana kwa kujipendelea na kuwaacha wawakilishi wa CDM na UDP kando..... mhn vitu vingine havihitaji nguvu sana kuvifikiria unaweza ukawana na ubongo kumbe jipande la nyama tu halifanyi kazi na unaweza ukawa na macho kipofu wa kupapasa akakushinda kuona!

What I can say well CUF imewasaliti tufanye hiyo ndio kweli je CDM wapo tayari kuwaingiza UDP na NCCR Mageuzi kwenye KUB? Kwanini hawataki? sitaki nimalizie kusema kuwa hawataki kwasababu ni wabinafsi, wachoyo na wananjaa kwani wakikwakaribisha wengine hawatashiba!

Great Thinkers mpoooo?
 
Akiongea kwa hasira na kupanic, ameshangaa tamko la chadema eti haiwezi kuungana na CUF bara kwa sababu CUF visiwani wameungana na CCM. Hata hivyo aliahidi kwamba CUF bara itaendea kushirikiana na vyama vingine vya upinzani ili kutekeleza majukumu yake.

Source Channel ten taarifa ya habari saa moja usiku

Kwa sababu MDOMO ni mali yake halali ana kila sababu ya kuutumia kikamilifu kutoa PUMBA zake. Pengine baada ya kutua upupu wake amepata relief fulani mwilini.
 
Na kwa hali hii, na unafiki huu wa watu wa jf ccm itatawala daima. Hata Kenya waliitoa KANU kwa kuungana, lakini nyie chadema mnaojidai you can do it alone, wait for a suprise, maana hata presidential material hakuna huko. CCM itaendelea kutawala saana nawambia, mark my words.

ficha ujinga wako usifiche busara/akili yako
 
Hivi kwa nini Unaitwa Muafaka wa CUF na CCM? Hili nitakuja kulianzishia Mjadala wake maana nataka kufahamu ni vipi vyama vingine vilihusishwa katika kufikia muafaka huo
 
Mbali na kauli yake juu ya kauli ya Chadema, binafsi Mtatiro si-mkubali hata kidogo
Anaongea wakati mwingine vitu ambavyo havielewi vizuri, ni juzi tu alisema Prof Safari hawezi kukumbukwa kwa lolote na CUF akitolea mfano kuwa hajawahi hata kutoa michango ya hali na mali kifedha katika kuichangia CUF, ni kweli Safari hakufanya lolote CUF? Mtatiro anaamini katika nguvu zaidi kuliko kushindana kwa hoja.

CUF wasimpe wadhifa wa juu atawaharibia huyu kijana, anafanya mambo kwa pupa sana na katika siasa zetu za tanzania za maji taka, hila na ufisadi wa hali ya juu hawezi!
 
nitajie hao vijana kwanza kaka. mimi si mkali bali sioni logic ya watu kumshambulia mtatiro kisa ka oppose chadema, why, he has that right ya kuwa chama anachokipenda kama nyie mlivyo chadema, msilazimishe akubali reasoning yenu, muache areason anavyotaka yeye. na hata weqwe unajua kwa umri wake na uchanga wake katika siasa yuko mbali kushinda wote mnaopiga kelele kwenye keyboard hapa, na wakati hata maandamano ya kupinga dowans yakiitishwa hamtokei.

Kama umenisoma vizuri na kwa umakini ungegundua kwamba sijamshambulia mtatiro in personal aspect. Mimi ninachopingana na homeboy wangu ni yeye(offcourse ndio msimamo wa cuf-wanachama na mashabiki wake) kulalamikia kitendo cha chadema kukataa kuwashirikisha kwenye kambi ya upinzani. Kwakuwa sababu ya cdm ni kwamba cuf ni moja bara na visiwani kama ilivyo ccm,na cdm na vyama vingine, itawezekana vipi watu wanaounda serikali wapitie mlango wa nyuma kuingia kambi ya upinzani? Hajatoa sababu za msingi za kuonyesha na kuthibitisha kwamba cuf si sehemu ya utawala wa nchi hii. Wapi uliwahi kuona chama kimoja kinaunda serikali na hapo hapo kinaunda kambi ya upinzani, hebu tuanzie hapo kwanza dada yangu.
Kama ni ubinafsi, hilo linawatafuna zaidi cuf kwakuwa wanafaidi matunda ya kuwemo serikalini lakini hapohapo wanataka tena kile kidogo wanachofaidi chadema nao wagawiwe. Kitu msichotaka kukiweka bayana ambacho kinawatoa machozi cuf ni zile posho za "shadow cabinet" hakuna kingine.

Kwa suala la kuandamana dada yangu usitupimie kabisa, sisi wengine tumefuzu kwenye kuitisha na kuongoza hata migomo sio maandamano tu.
 
Mkuu hilo haliwezekani hapa, ni lazima watu wawe na mapenzi na watetea upande wao. Bora tu wewe ungetoa mawazo yako kama unadhani kwamba CUF inaweza kuwa chama tawala Zanzibar na wakati huo huo kikawa chama cha Upinzani Bara. Ukizingatia chama kinachotawala Zanzibar ndicho kinachotawa bara.[/QUOTE
Nakubaliana sn na ww na endapo CHADEMA watafanya hivyo watavurugwa ss hivi ktk misimamo na mipango yao.

Una kwamba kwa kuwa katiba ya sasa ya Zanzibar inaruhusu uchaguzi unapoisha kuundwe serikali ya kitaifa je CDM siku moja ikishinda Zanzibar hawata wakaribisha waliowakaribia kwa kura na majimbo kwasababu watawavurugia mipango yao? mipango gani hiyo "ulaji" au kuwatumikia wananchi?

Je CDM one day wameshika nafasi ya pili kwa viti vya uwakilishi na kura za urais watakataa kuingia kwenye serikali kama katiba inavyosema?

Hapo ndio utajua kuna kitu nyuma ya pazia na sio kuwa CUF wapo kwenye serikali ya kitaifa na CCM zanzibar na ni bora kiwekwe wazi watu wajue. Naamini polepole wenye akili watajua.
 
Una kwamba kwa kuwa katiba ya sasa ya Zanzibar inaruhusu uchaguzi unapoisha kuundwe serikali ya kitaifa je CDM siku moja ikishinda Zanzibar hawata wakaribisha waliowakaribia kwa kura na majimbo kwasababu watawavurugia mipango yao? mipango gani hiyo "ulaji" au kuwatumikia wananchi?

Je CDM one day wameshika nafasi ya pili kwa viti vya uwakilishi na kura za urais watakataa kuingia kwenye serikali kama katiba inavyosema?

Hapo ndio utajua kuna kitu nyuma ya pazia na sio kuwa CUF wapo kwenye serikali ya kitaifa na CCM zanzibar na ni bora kiwekwe wazi watu wajue. Naamini polepole wenye akili watajua.

Hivi kwa nini Unaitwa Muafaka wa CUF na CCM? Hili nitakuja kulianzishia Mjadala wake maana nataka kufahamu ni vipi vyama vingine vilihusishwa katika kufikia muafaka huo
 
Siku watanzania wakijua kupambanua hizo nyekundu ndio utakuwa mwanzo wa safari kuelekea Tanzania mpya yenye matumaini....

Hivi kwa nini Unaitwa Muafaka wa CUF na CCM? Hili nitakuja kulianzishia Mjadala wake maana nataka kufahamu ni vipi vyama vingine vilihusishwa katika kufikia muafaka huo
 
wanafiki ni nyie mnaoshinda mkipigana na keyboard wakati hamna mikakati yoyote ya kuiondoa ccm madarakani IDIOT

Hivi kwa nini Unaitwa Muafaka wa CUF na CCM? Hili nitakuja kulianzishia Mjadala wake maana nataka kufahamu ni vipi vyama vingine vilihusishwa katika kufikia muafaka huo
 
Fanyeni kwa vitendo si kubaki mtatiro kafanya hivi mtatiro kafanya vile, acheni hizo, hajawazuia kuingia kwenye siasa na nyie mkafanye mjuavyo. wote hamna direction, sasa badala ya kukaa na kumlaumu yeye, si mkae chini na mtafakari namna ya kukomboa taifa hili? Hao chadema wako wapi, mbona sijasikia tamko lolote la kuipinga dowans? si wao pia wamenyamaza tu kama ccm? au nao wana hisa?
 
Mwita Maranya,

Anataka kutuambia CDM wakishinda wataongoza Serikali peke yao vyama vinavyofuatia vitabaki kuwa vya upinzani. Wao wana sera zao "ubinafsi" na hawakubaliani na sera za kijinga "sharing of power" pengine mimi ninavyoona wananjaa sana na mwenye njaa akimkaribisha mtu anaona hata shiba!

Chama chochote cha siasa kilicho makini lengo lake kubwa ni kushinda uchaguzi na kuunda serikali.
Kama kunakuwa na sheria ma misingi fulani ya kuwalazimisha kuunda serikali ya mseto ama ya umoja wa kitaifa inafanyika hivyo.
Mbona ccm wamekuwa wakiunda serikali peke yao miaka na mikaka na hatuwalazimishi kuwajumuisha wapinzani?
Hivi cuf haiwezi kuendesha siasa bila kushirikisha cdm.
Kama ni njaa basi cuf ndo wenye njaa mbaya, wameunda serikali kule unguja, wanatumia kodi zetu kama wanavyotaka.Lakini kutokana na ubinafsi wao na njaa zao wanataka tena washirikishwe kuunda kambi ya upinzani, sasa hapo huoni wao ndo wana njaa zaidi?
 
Fanyeni kwa vitendo si kubaki mtatiro kafanya hivi mtatiro kafanya vile, acheni hizo, hajawazuia kuingia kwenye siasa na nyie mkafanye mjuavyo. wote hamna direction, sasa badala ya kukaa na kumlaumu yeye, si mkae chini na mtafakari namna ya kukomboa taifa hili? Hao chadema wako wapi, mbona sijasikia tamko lolote la kuipinga dowans? si wao pia wamenyamaza tu kama ccm? au nao wana hisa?

Tatizo na wewe unafanya kile ambacho unakataza wengine wasifanye Ushabiki Ushabiki tu
 
Back
Top Bottom