Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Wakuu nimepata mail hii nikaona niwajulishe wengine humu ndani. Samahani MODS kama nitakuwa nimeweka sehemu ambayo haistahili. Nina kazi hapa imenibana sana.
Jukwaa la Katiba Tanzania linakukaribisha kwenye mdahalo wa wazi kujadili
Masuala ya Katiba Mpya kwa Makundi yote ya Jamii, Utakaorushwa moja kwa
moja (LIVE) na ITV/ Radio One
MAHALI: Hoteli ya Blue Pearl -Ubungo Plaza
TAREHE: 1/09/2012, Jumamosi
MUDA: SAA 8:30 Mchana - 12:00 Jioni
HAKUNA KIINGILIO, WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA!!
TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII KWA WANANCHI WENGI ZAIDI!
Jukwaa la Katiba Tanzania linakukaribisha kwenye mdahalo wa wazi kujadili
Masuala ya Katiba Mpya kwa Makundi yote ya Jamii, Utakaorushwa moja kwa
moja (LIVE) na ITV/ Radio One
MAHALI: Hoteli ya Blue Pearl -Ubungo Plaza
TAREHE: 1/09/2012, Jumamosi
MUDA: SAA 8:30 Mchana - 12:00 Jioni
HAKUNA KIINGILIO, WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA!!
TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII KWA WANANCHI WENGI ZAIDI!